Yako Atta
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 279
- 455
Mnafahamu kuwa Same yote ilikuwa n wilaya ya Tanga?Teh teh! Wasambaa wameitamani ndungu, kihurio na hedaru! Hamegi mtu mkoa hapa! Tutazichapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafahamu kuwa Same yote ilikuwa n wilaya ya Tanga?Teh teh! Wasambaa wameitamani ndungu, kihurio na hedaru! Hamegi mtu mkoa hapa! Tutazichapa
Wanaimegaje Kilimanjaro ndogo kama sufuria badala ya kuunda Mkoa mwingine kuimega Morogoro inayoanzia kusini mpaka Kaskazini!Mkoa mpya wa Korogwe utaimega mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro.
Ngoja tuone.
Devide and rule, hapo wanapanua tabaka la watawala ili kudhibiti kundi fulani la wanyongeMikoa mingi ya nini na maendeleo ya kusua sua.
[emoji23][emoji23]wazaramo Wana nyumba mjini ipi hyo wameuza dar yote na bagamoyo nayo waliuza maeneo kucheza ngoma wanazidi tu kwenda mbali ya miji huko. Hapa Dar ni nani atapanga kwa mzaramo tu let's be honest jamaniKwa taarifa yako nyumba rahisi Bei nafuu kwa hao machangudoa wenu wa Moshi wasiotaka kulaoa geto hupanga nyumba za wazaramo za Bei nafuu Hakuna Cha Kodi ya miezi sita Wala mwaka . Nyumba za wachaga hapangi Asante kuletea wapangaji kwa wamiliki nyumba wazaramo wakati Moshi Nyumba za kupanga wanalala panya na mende kwani zipo tu kwa ajili ya wafiwa na misiba na Christmas kufikia lakini haziingizi hata Mia!!! Mtu anabweka ohhh nimejenga nyumbani !! Ok umejenga inaingiza shilingi ngapi wakati hiyo nyumba kazi kuu kupokea tu maiti na waombolezaji na vacation home ya Krismasi tu ? Muda ukiobaki wanalala mende na panya? Mzaramo Yuko juu nyumba yake full time ina watu hata iwe na umeme au la na wapangaji wakubwa machangudoa wa kichaga walioletwa kama wahudumu bar na grocery waliochoka kulala geto
Yap kweli. Hapo umenena.Njombe kilimo Cha miti na mbao kinasaidia na swala sio kugaiwa huo mkoa mzee. Ingekuwa kugawa ni maendeleo basi Manyara ingeshapaa kiuchumi ukiongeza na katavi
Same itakutolewa Kilimanjaro?Mkoa mpya wa Korogwe utaimega mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro.
Ngoja tuone.
Hiv ili mkoa uwe mkoa Nini kinazingatiwa??Mkoa mpya wa Korogwe utaimega mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro.
Ngoja tuone.
Mla panya buku!Kama hilo mataga ulipandisha uzi huu
UselessMla panya buku!
Wameishiwa maarifa ya kuwashawishi wananchiKatika mikoa yote kama kuna mkoa ulipaswa kugawanywa kwa sasa ni morogoro tu, hiyo korogwe kutaka kufanywa mkoa kama hizo tetesi ni kweli basi ni mahangaiko tu ya serikali hakuna sababu yoyote ya maana ni kama vile chato tu!!
Hao Warundi ni wale walioletwa na Wakoloni kuja kukata Mkonge (Manamba),na waliacha sifa moja kuu ya uchapaji wa kazi.Hao Warundi nimekutana nao kadhaa. Korogwe inamchanganyiko haswa.
Kwanini wasiiupe jina la Milima ya Usambara,wauite Mkoa wa Usambara.Sina tatizo na Hilo nimependekeza tu mkoa uitwe Handeni makao makuu ya mkoa kuwa Korogwe ruksa
Usambara milima yake inapakana na mikoa mingapi? Ila una hoja ya kutangaza utalii .Kwanini wasiipe jina la Milima ya Usambara,wauite Mkoa wa Usambara.
Tangu lini?Mnafahamu kuwa Same yote ilikuwa n wilaya ya Tanga?
Wamalizane na mkoa wa Chato kwanza.Mkoa mpya wa Korogwe utaimega mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro.
Ngoja tuone.
Mmh mm nimpare ila huwezi mfananisha mchaga na mzaramo ,mzaramo akipata hela yy anawaza kwenda kwenye ngoma na ngonoKwa taarifa yako nyumba rahisi Bei nafuu kwa hao machangudoa wenu wa Moshi wasiotaka kulaoa geto hupanga nyumba za wazaramo za Bei nafuu Hakuna Cha Kodi ya miezi sita Wala mwaka . Nyumba za wachaga hapangi Asante kuletea wapangaji kwa wamiliki nyumba wazaramo wakati Moshi Nyumba za kupanga wanalala panya na mende kwani zipo tu kwa ajili ya wafiwa na misiba na Christmas kufikia lakini haziingizi hata Mia!!! Mtu anabweka ohhh nimejenga nyumbani !! Ok umejenga inaingiza shilingi ngapi wakati hiyo nyumba kazi kuu kupokea tu maiti na waombolezaji na vacation home ya Krismasi tu ? Muda ukiobaki wanalala mende na panya? Mzaramo Yuko juu nyumba yake full time ina watu hata iwe na umeme au la na wapangaji wakubwa machangudoa wa kichaga walioletwa kama wahudumu bar na grocery waliochoka kulala geto
Sawa lakini nyumba ya Bei nafuu si kakupangisha? Kuliko kulala geto ya mchaga wakati kwenu uchagani hujawahi kulala geto la wahudumu bar au grocery kibao?Mmh mm nimpare ila huwezi mfananisha mchaga na mzaramo ,mzaramo akipata hela yy anawaza kwenda kwenye ngoma na ngono