Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Ukiweka mikoa/Kanda yenye nguvu na raslimali itasumbua tu. Tz ina mikoa hiyo au nguvu hiyo ya kiuchumi ikizingatiwa kuwa hiyo mikoa ni full politike.Inasaidia kuzuia ukanda kwa kutengeneza jamii ndogo ndogo. Ethiopia wanateseka sasa hivi kwa sababu wana mikoa michache yenye nguvu yenye kutaka kujitawala