Mkoa nitakaoweza kutoboa kimaisha kirahisi kati ya Dar na Mwanza nikiwa na mshahara wa laki 5 na point

Mkoa nitakaoweza kutoboa kimaisha kirahisi kati ya Dar na Mwanza nikiwa na mshahara wa laki 5 na point

amoc thedon

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2016
Posts
345
Reaction score
531
Ndugu zangu Mimi ni mtumishi wa umma, mshahara wangu ni kati ya laki 5 mpaka 6 kwa mwezi nikiondoa makato na Kodi

Hivi Sasa naishi kwenye mkoa wa kawaida kutokana na location ya ajira , hivyo kutokana na ugumu wa maisha minaokumbana nao hapa ikiwa ni pamoja na kukosa kitu cha ziada cha kuongeza kipato nje ya mshahara imfanya kuanza kuona maisha ni magumu na nachelewa kufikia ndoto.

Hivyo nahitaji nitafute uhamisho na mikoa niliyochagua ni hayo majiji mawili yaani Dar es salaam na Mwanza, hivyo nahitaji ushauri Ili niweze kufanya chaguo sahihi la eneo nitakaloweza kufanikiwa kirahisi kwa kuangalia gharama zake za maisha kama makazi , chakula n.k. Pia ambapo naweza kuanza na biashara hata ndogo ndogo Ili ni boost mshahara.

NB: Sina mke nipo mwenyewe age ni 27 na muda wa kufanya kazi niliyoajiliwa nayo ni kuanzia saa 1 mpaka saa8 mchana

Nawaslisha
 
Ndugu zangu Mimi ni mtumishi wa umma, mshahara wangu ni kati ya laki 5 mpaka 6 kwa mwezi nikiondoa makato na Kodi ....................hivi Sasa naishi kwenye mkoa wa kawaida kutokana na location ya ajira , hivyo kutokana na ugumu wa maisha minao kumbana nao hapa ikiwa ni pamoja na kukosa kitu Cha ziada Cha kuongeza kipato nje ya mshahara imfanya kuanza kuona maisha ni magumu na nachelewa kufikia ndoto............hivyo nahitaji nitafute uhamisho na mikoa niliyo chagua ni hayo majiji mawili yaan dar es salaam na MWANZA......... Hivyo nahitaji ushauri Ili niweze kufanya chaguo sahihi la eneo nitakaloweza kufanikiwa kirahisi kwa kuangalia gharama zake za maisha kama makazi , chakula n.k ....... Pia ambapo naweza kuanza na biashara ata ndogo ndogo Ili ni boost mshahara..............
NB: Sina mke nipo mwenyewe age ni 27 na mda wa kufanya kaz niliyo ajiliwa nayo ni kuanzia saa1 mpaka saa8 mchana , nawaslisha
Yote majiji, ila Mwanza ni njema zaidi
 
Ndugu zangu Mimi ni mtumishi wa umma, mshahara wangu ni kati ya laki 5 mpaka 6 kwa mwezi nikiondoa makato na Kodi ....................hivi Sasa naishi kwenye mkoa wa kawaida kutokana na location ya ajira , hivyo kutokana na ugumu wa maisha minao kumbana nao hapa ikiwa ni pamoja na kukosa kitu Cha ziada Cha kuongeza kipato nje ya mshahara imfanya kuanza kuona maisha ni magumu na nachelewa kufikia ndoto............hivyo nahitaji nitafute uhamisho na mikoa niliyo chagua ni hayo majiji mawili yaan dar es salaam na MWANZA......... Hivyo nahitaji ushauri Ili niweze kufanya chaguo sahihi la eneo nitakaloweza kufanikiwa kirahisi kwa kuangalia gharama zake za maisha kama makazi , chakula n.k ....... Pia ambapo naweza kuanza na biashara ata ndogo ndogo Ili ni boost mshahara..............
NB: Sina mke nipo mwenyewe age ni 27 na mda wa kufanya kaz niliyo ajiliwa nayo ni kuanzia saa1 mpaka saa8 mchana , nawaslisha
Kote huko utapigika mpaka uchakae njoo Mbeya tulime viazi na tunywe ulanzi kupunguza matumizi .
 
Back
Top Bottom