The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
njoo dsm tule mihogo 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hizo mkuuKwa mshahara wako wa laki tano unataka kwenda dar?
Tatzo Sina mzuka na kilimo kabisaUliishi Mbeya mjini kwa wavivu
Njoo mbeya vijijini huku tunapiga kazi Kama hatuelewi yaani.
Mmh singida tena mjombasingidani
Kwanini nduguLabda segerea ama keko
Mbona wengine hawana kaz kabisa na wameenda na wakafanikiwa , we nipe ushauri usinidharauKwa mshahara wako wa laki tano unataka kwenda dar?
Asante ndugu pia me n mmiliki wa private car nlipanga nkihamia kati ya mikoa hyo nijisajiri na bolt, hyo pia imekaaje kwa hapo dar?Nashauri uje Dar-es-salaam, kikubwa akili.
Sio kulima tu Kaka ,kwani kwa upande wa nguvu za kupigana zipo ?Tatzo Sina mzuka na kilimo kabisa
Hahahaaa sawa Cha msingi ata nyie mmekula na mpo hainjoo dsm tule mihogo 😀
Nguvu zipo na hali ya kupambana ipo pia maana nimeishi hapa kwenye wilaya za Tanga lakini Sion kituSio kulima tu Kaka ,kwani kwa upande wa nguvu za kupigana zipo ?
Huku kazi ni nyingi kikubwa habari za uyesu uache huko huko Dar
Njoo Sasa tuwakopeshe wanakijiji hela za kahawa na viazi ,wakizingua ni kubeba mang'ombe na mambuzi mgongoni huku tunacheka kichina kakaNguvu zipo na hali ya kupambana ipo pia maana nimeishi hapa kwenye wilaya za Tanga lakini Sion kitu
Ukifanya maamuzi niambie nikutaftie geto kama Ni hapa mwanzaNdugu zangu Mimi ni mtumishi wa umma, mshahara wangu ni kati ya laki 5 mpaka 6 kwa mwezi nikiondoa makato na Kodi
Hivi Sasa naishi kwenye mkoa wa kawaida kutokana na location ya ajira , hivyo kutokana na ugumu wa maisha minaokumbana nao hapa ikiwa ni pamoja na kukosa kitu cha ziada cha kuongeza kipato nje ya mshahara imfanya kuanza kuona maisha ni magumu na nachelewa kufikia ndoto.
Hivyo nahitaji nitafute uhamisho na mikoa niliyochagua ni hayo majiji mawili yaani Dar es salaam na Mwanza, hivyo nahitaji ushauri Ili niweze kufanya chaguo sahihi la eneo nitakaloweza kufanikiwa kirahisi kwa kuangalia gharama zake za maisha kama makazi , chakula n.k. Pia ambapo naweza kuanza na biashara hata ndogo ndogo Ili ni boost mshahara.
NB: Sina mke nipo mwenyewe age ni 27 na muda wa kufanya kazi niliyoajiliwa nayo ni kuanzia saa 1 mpaka saa8 mchana
Nawaslisha
Dar ndiyo jiji ambalo lina fursa nyingi kwa Tanzania kwasababu pana muingiliano mkubwa sana wa watu, kwahiyo usafiri bado unahitajika sana, hivyo Bolt itakulipa Tu.Asante ndugu pia me n mmiliki wa private car nlipanga nkihamia kati ya mikoa hyo nijisajiri na bolt, hyo pia imekaaje kwa hapo dar?
Hahaaaa hapo ni mbeya maeneo Gani kakaNjoo Sasa tuwakopeshe wanakijiji hela za kahawa na viazi ,wakizingua ni kubeba mang'ombe na mambuzi mgongoni huku tunacheka kichina kaka
Nashukuru sana ndugu Kwa ushauri mzuri na usio katisha tamaa , hivyo ngoja nifuatilie na mwanza Kama ulivyo shauri , maana kweli hapa naenda fanya maamuzi yatakayo amua hatima yanguDar ndiyo jiji ambalo lina fursa nyingi kwa Tanzania kwasababu pana muingiliano mkubwa sana wa watu, kwahiyo usafiri bado unahitajika sana, hivyo Bolt itakulipa Tu.
Nikupe mfano mdogo, kuna mdogo wangu amemaliza chuo Mbeya, akaja Dar, nkamwambia akae miezi mi3 alisome jiji aangalie cha kufanya, nimboost.
Akaja na Idea ya bisi, Pana mwezi1 tu toka nimempa mashine ya bisi yenye matairi, anaingiza 15-20k kwa siku, mwezi ujao namfukuza akapange. 😆😆
NB: Lazima ujue mwanzo wa kila kitu ni mgumu, mda mwingine mambo hayataenda kama unavyotaka lakini ukiwa na Akili tu unasolve.
Japo fatilia pia data za Mwanza kwa kina ili ufanye uchaguzi sahihi, maana utapokwenda huenda ndipo pataamua hatma ya Maisha yako, Mimi Mwanza nilikwenda tu mara1 kwenye mazishi ya Mpambanaji mwenzetu.
Hamna shida ndugu yangu ngoja nichakateUkifanya maamuzi niambie nikutaftie geto kama Ni hapa mwanza
Mbeya vijijini nduguHahaaaa hapo ni mbeya maeneo Gani kaka
Mkuu download chatGPT, Inaweza kukusaidia kwa ufasaha sababu ina taharifa nyingi mno, Mfano nimeiuliza imejibu hivi;Nashukuru sana ndugu Kwa ushauri mzuri na usio katisha tamaa , hivyo ngoja nifuatilie na mwanza Kama ulivyo shauri , maana kweli hapa naenda fanya maamuzi yatakayo amua hatima yangu