Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

Sometimes kuna mada unaziangalia unawaza kama alieleta na wanaomuunga mkono wanatumia kushabu au la.


Kama kusema wakazi wakuu wa Ngorongoro ni Wasonjo inathibitisha haujui unalolisema.

Japo kuna vitu haviko sawa lakini sio kwa Arusha tu ni tatizo la nchi nzima hata Dar mjini kati nenda hapo Magomeni tu ni kubaya kinyama.

Sasa sijui kwanini wengi mnapenda kui single out Arusha. Nadhani ni wivu tu umewajaa.
Kwa hiyo Arusha ipo sawa Singida au Singida ipo juu zaidi

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mmmh hiii kali ipeni arusha heshima yake wakuu sioni sehemu nzuri ya kuishi zaidi ya arusha kwa sasa nmetembea kote still arusha ni heaven
 
Mmmh hiii kali ipeni arusha heshima yake wakuu sioni sehemu nzuri ya kuishi zaidi ya arusha kwa sasa nmetembea kote still arusha ni heaven
Mtoa mada hazungumzii Arusha mjini anazungumzia Hali ya wilaya zake

Je longido ni sehemu bora ya Kuishi?
 
Kwa kila sehemu kuna maeneo viwanja pia ni bei rahisi sana tu kwa mfano kwa mrombo viwanja watu wamenunua 10*10 mpaka laki tano kisongo pia heka mpaka muda huu kuna maeneo ni sh 7000000 sasa unafikiri arusha maeneo yote yana bei? Nyie vijana wa arusha mjaribu kutembea mikoa mingine mtajifunza kitu

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
kisongo heka laki 7, ngoja tukubali tu
 
Mji wa kitaliii [emoji848]na umaskini tena!

Hapo inakuwaje sie ambao tunapaskia tu mnatuchanganya yani[emoji23]
20220124_212230.jpg

wewe tulia huko kwenu magimbigwa, arusha hapakufai
 
Kwa jicho la Mzungu Bill Clinton, Arusha ilipaswa ipangiliwe kwa miundombinu na hali ya maisha ya watu, ili ifanane na jiji la Geneva.

Kwa jicho la mtu mweusi, Arusha imetelekezwa na kuhujumiwa, ikabakia na watu waswahili, maskini, walevi, na wenye kila aina ya matatizo.
Miundombinu imeachwa au kuendelezwa kimaskini hasa. Hatimaye imekuwa jiji la hovyo linalopitwa mpaka na vimji vidogo vidogo.

Siku mtu akisema mtu mweuzi yawezekana alilaaniwa mtapinga. Lakini ingependeza kama mtapinga kwa kutumia mafanikio na maisha halisi ya mtu mweusi.
 
Mimi nimesoma Karatu, huko hakuna la maana yani ni hovyo hovyo tu. Mashamba na maeneo makubwa ya estates wanamiliki wazungu, mahotel ya kitalii wanamiliki wazungu na wanao kuja ku-spend ni hao hao wazungu. Watu wamedhoofu sijui ndio miili yao ipo hivyo hakuna mishe mishe zaidi ya kuuza maji kwenye ma-bus na kulima vibarua. Vumbi tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom