Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Upendeleo Siku zote ufarakanisha watu, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitahadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo.

Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.

Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana hadharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani, anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.

Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
 
Ngoja waje ndugu zake mama Prof. wajibu mapigo.
 
Achana na hadithi za kupumbavu na za kitaahira. Mikoa yote imeanzishwa kwa kimegwa mikoa mingine.

Hakuna mkoa wa kabila flani nchi hii.

Kama mkoa wa Chato utaanzishwa utaanzishwa tu na wilaya za mikoa mingine, mtu atake asitake.
 
stupid, kama magufuli aliacha alama za utengano, uonevu lazima asemwe, tena atasemwa sana maana hakutenda haki

..nadhani MARIDHIANO ni mkoa wa Chato uundwe kwa kumega mikoa jirani isipokuwa mkoa wa Kagera.

..katika hali hiyo wanaolilia kuundwa kwa mkoa wa Chato watakuwa wamepata.

..Na wasiotaka mkoa wa Kagera umegwe nao watakuwa wamepata.
 
..ni suala ambalo halina mantiki.

..lakini sidhani kama Maza ana uwezo wa kulikataa.

..ndio maana nikapendekeza compromise ya kuunda mkoa wa Chato bila kumega Kagera.

..solution nyingine ni kubadili jina la mkoa wa Geita uitwe Chato.
Why Kagera isimegwe?

Yaani kuna hoja gani ya msingi Kagera isimegwe?
 
Achana na hadithi za kupumbavu na za kitaahira. Mikoa yote imeanzishwa kwa kimegwa mikoa mingine.

Hakuna mkoa wa kabila flani nchi hii.

Kama mkoa wa Chato utaanzishwa utaanzishwa tu na wilaya za mikoa mingine, mtu atake asitake.
Kaka hachana na wahuni wa chadema. Hawa ni wahuni kabisa. Wana macho lakini hawa oni wao kutwa kucha ni Magufuli wakati Magufuli hayupo.

Mwenyekiti wao yupo gerezani lakini wameshupalia Magufuli utadhani Magufuli ndio kamweka gerezani.

Magufuli atakumbukwa na watanzania wengi kwa mema aliyotutendea ila wahuni wachache ndio watamvunjia heshima Yake.

Nchi yetu sasa hivi IPO ipotu ni kama tumeachwa Yatima wahuni wamerudi kwa kasi nandio chadema inaendesha maisha kwa kutegemea dili zao hawana uzalendo wowote hawa mzalendo wa ukweli alikua Magufuli nchi hii.
 
Back
Top Bottom