Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

John Chenge alipigania na Alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao BARIADI ukaitwa Mkoa wa SIMIYU aliimega Mwanza na Shinyanga.

Edward Lowasa alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao MANYARA aliiimega Arusha.

MIZENGO PINDA alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao KATAVI aliiimega RUKWA.

Njombe ilianzishwa kwa Mkoa wa Iringa kumegwa. Mikoa yooote hii imeanzishwa 2012 au kabla.

Mkoa wa CHATO ili nao uanzishwe sharti mikoa jirani ya Geita na Kagera imegwe kwani siyo jambo geni halijaaanza leo wala jana. Pia MAGUFULI siyo Kiongozi wa kwanza kuanzisha Mkoa kwenye eneo alikozaliwa. Nimeweka Viongozi wengine hapo juu ambao wameanzisha Mikoa mipya kwenye maeneo walikozaliwa.
Tunapoijadili CHATO Tuangalie utimilifu wa vigezo vya kuanzisha mkoa bila kujali MUASISI, KABILA wala Ushabiki wenye mihemko vinginevyo hatujadili hoja bali viroja.
Maelezo y
John Chenge alipigania na Alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao BARIADI ukaitwa Mkoa wa SIMIYU aliimega Mwanza na Shinyanga.

Edward Lowasa alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao MANYARA aliiimega Arusha.

MIZENGO PINDA alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao KATAVI aliiimega RUKWA.

Njombe ilianzishwa kwa Mkoa wa Iringa kumegwa. Mikoa yooote hii imeanzishwa 2012 au kabla.

Mkoa wa CHATO ili nao uanzishwe sharti mikoa jirani ya Geita na Kagera imegwe kwani siyo jambo geni halijaaanza leo wala jana. Pia MAGUFULI siyo Kiongozi wa kwanza kuanzisha Mkoa kwenye eneo alikozaliwa. Nimeweka Viongozi wengine hapo juu ambao wameanzisha Mikoa mipya kwenye maeneo walikozaliwa.
Tunapoijadili CHATO Tuangalie utimilifu wa vigezo vya kuanzisha mkoa bila kujali MUASISI, KABILA wala Ushabiki wenye mihemko vinginevyo hatujadili hoja bali viroja.
Uanzishwaji huu wa mikoa ulio uonesha ni tofauti kabisa na hili suala la Chato na tofauti hii Ndiyo inayoleta hoja zenye ukakasi na hisia za upendeleo. Ona utofauti wake;

Mikoa yote uliyoitaja na iliyoanzishwa huko nyuma zili
chukuliwa wilaya chache ndani ya mkoa huo huo na kuunda mkoa mwingine. Ktk mifano uliyoitoa hakuna wilaya iliyomegwa kutoka mkoa mwingine. Mfano mkoa wa Katavi ulichukua wilaya mojawapo na kuigawa katika halmashauri nyingi na kuwa mkoa, haikumega wilaya yoyote ya mkoa mwingine jirani ama wa Tabora au Kigoma, au Mbeya.
 
Kwakuwa sisi huwa tunaiga Mazuri kutoka kwa Wazungu hebu PUPATE UZOEFU KWA UINGEREZA AU MAREKANI WANAVYOGAWA MAJIMBO YAO NA KUANZISHA WILAYA NA MIKOA MIPYA.
 
Tena namuomba Mhe.Rais atangaze Chato kuwa Mkoa naona ili kupunguza ukabila ktk ushoroba wa Kagera, Chato na Geita.
 
Tena namuomba Mhe.Rais atangaze Chato kuwa Mkoa naona ili kupunguza ukabila ktk ushoroba wa Kagera, Chato na Geita.
Umeona eeeeh, kuna WAHAYA, WAZINZA NA WASUKUMA kwenye huo Ushoroba na kila mmoja anataka ajenda yake ipite. Ule utani wao wa kuitana WazilaNkende ndio unafanya wadharauriane hadi leo. Mhaya na Mzinza kila mmoja anamwona mwenzake kama Mhamiaji toka Nchi jirani toka enzi na enzi.
 
Makao makuu yakawekwe Nyakanazi ili tuwatendee haki watu wa Bukombe, Kakonko, Biharamulo na Ngara!
 
Magufuli alikuwa mbinafsi na chuki kubwa dhidi ya wahaya kwa sababu ya historia yake yenye utata. Nashangaa watu wanaojiita viongozi kuendeleza upuuzi wa marehemu wakiamini anawaona na anafurahia akiwa kaburini
Kumbe shida ni wahaya kulpiza kisasi kwa magufuri kwa kuwa aliwtania sana?ndo maana manatafuta sbb zisizokuwa na miguu wala mikono
 
Makao makuu yakawekwe Nyakanazi ili tuwatendee haki watu wa Bukombe, Kakonko, Biharamulo na Ngara!
Na hiyo wahaya hawataki..kwani wanajihisi kama wilaya hizo zingine ni mateka yao
 
stupid, kama magufuli aliacha alama za utengano, uonevu, kuvunja Katiba na sheria, taratibu tulizojiwekea lazima asemwe, tena atasemwa sana maana hakutenda haki
Nani alishaawahi kutebda haki
 
Kaka hachana na wahuni wa chadema. Hawa ni wahuni kabisa. Wana macho lakini hawa oni wao kutwa kucha ni Magufuli wakati Magufuli hayupo.

Mwenyekiti wao yupo gerezani lakini wameshupalia Magufuli utadhani Magufuli ndio kamweka gerezani.

Magufuli atakumbukwa na watanzania wengi kwa mema aliyotutendea ila wahuni wachache ndio watamvunjia heshima Yake.

Nchi yetu sasa hivi IPO ipotu ni kama tumeachwa Yatima wahuni wamerudi kwa kasi nandio chadema inaendesha maisha kwa kutegemea dili zao hawana uzalendo wowote hawa mzalendo wa ukweli alikua Magufuli nchi hii.
Rudia tena kusoma ulichoandika. Je umemtaja Magufuli mara ngapi? Yaani Kila anaemkosoa Magufuli kwako ni Chadema??

Kwa taarifa yako nchi hii ipo ipo tu sasa kutokana na Uongozi wa huyo unaesema kwa sasa hayupo. 60% ya Wateule wake ni Makonda na Sabaya Types. Watu wa namna hiyo watamsaidiaje Hangaya?? Siyo Bunge siyo Mahakama wala Serikali. Wabunge wanapitisha sheria ya tozo Bungeni halafu wanakuja uraini kushangaa eti ilikuaje sheria hii ikapita??? Kweli???
Jaji Mahakamani anasema, Kwa "maoni yangu"....badala ya "kutokana na kifungu cha sheria ya.......

Tukosoane Kwa hoja kama ilivyokuwa zamani na siyo Kwa chuki kama ilivyo sasa ambapo utafikiri tumelogeana watoto au kama wale Wamama waliochukuliana hela kwenye vikoba.
 
.....and mkoa for what? umuhimu wake ni upi? kwa vile Magufuli anatoka huko? Never!
Kwahiyo kwa kuwa Magufuli anatokea Chatto ndiyo disqualification hata kama wanastahili? Chuki itawaua vibaraka wa mabeberu nyie.
 
Rudia tena kusoma ulichoandika. Je umemtaja Magufuli mara ngapi? Yaani Kila anaemkosoa Magufuli kwako ni Chadema??

Kwa taarifa yako nchi hii ipo ipo tu sasa kutokana na Uongozi wa huyo unaesema kwa sasa hayupo. 60% ya Wateule wake ni Makonda na Sabaya Types. Watu wa namna hiyo watamsaidiaje Hangaya?? Siyo Bunge siyo Mahakama wala Serikali. Wabunge wanapitisha sheria ya tozo Bungeni halafu wanakuja uraini kushangaa eti ilikuaje sheria hii ikapita??? Kweli???
Jaji Mahakamani anasema, Kwa "maoni yangu"....badala ya "kutokana na kifungu cha sheria ya.......

Tukosoane Kwa hoja kama ilivyokuwa zamani na siyo Kwa chuki kama ilivyo sasa ambapo utafikiri tumelogeana watoto au kama wale Wamama waliochukuliana hela kwenye vikoba.
Kwani sheria imemkataza kuchagua watu wake?
 
Kaka hachana na wahuni wa chadema. Hawa ni wahuni kabisa. Wana macho lakini hawa oni wao kutwa kucha ni Magufuli wakati Magufuli hayupo.

Mwenyekiti wao yupo gerezani lakini wameshupalia Magufuli utadhani Magufuli ndio kamweka gerezani.

Magufuli atakumbukwa na watanzania wengi kwa mema aliyotutendea ila wahuni wachache ndio watamvunjia heshima Yake.

Nchi yetu sasa hivi IPO ipotu ni kama tumeachwa Yatima wahuni wamerudi kwa kasi nandio chadema inaendesha maisha kwa kutegemea dili zao hawana uzalendo wowote hawa mzalendo wa ukweli alikua Magufuli nchi hii.
Kwa serikali iliyopo ni chadema?? punguani wewe
 
..Ben Saanane, Azory Gwanda, na mamia waliotumbukizwa ktk viroba na kutupwa baharini.
Wewe hayo mamia uliyaona Wapi; mbona hatujawai kusikia ndugu wakiandamana kutafuta hao mamia au walikuwa hawana ndugu?hizo zilizokuwa propaganda za akina Makatani (Kigogo 2014) kumchafua Magufuri kuonekana hafai kuongoza,mtu gani ataua mamia tusione hata ndugu wakilalamika?toeni upuuzi wenu huko.
 
Upendeleo Siku zote ufarakanisha watu, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitahadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo.

Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.

Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana hadharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani, anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.

Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
Tatizo hapa ni wahaya na uhaya wao, na uhaya wao umepuuzwa na kudekezwa na kuchekewa mno, Mkoa wa Songwe umetokana na Mbeya, Mkoa wa Njombe umetokana na Iringa, Simiyu imetoka Shinyanga, Geita imetoka Mwanza, Manyara imetokana na Arusha, Katavi imetokana na Rukwa sasa hawa Wahaya wao ni nani hadi sehemu ya Kagera isimegwe? Rais akiwa legelege kwenye hili atajiangusha mwenyewe. Tuna wilaya kibao zimetokana na wilaya zingine. Huyo kibibi Tibaijuka mwenyewe anaisha Dsm kwa nini hajaenda kuzeekea kwao Muleba?

Muhaya ukimwendekeza haufiki mwisho.
 
Upuuzi mtupu,Chato peke yake haijitoshelezi kuwa mkoa ndio sababu inataka wilaya za mikoa mingine it can't stand alone.
 
Maendeleo yanachelewa kwa kutoitwa Mkoa?.
Nadhani waongeze halmashauri katika maeneo husika na madaraka ya mkuu wa mkoa yashuke chini.
Mkuu wa mkoa awe na ratiba kuzifikia halmashauri kama ambavyo majaji hufika wilani kusikiliza kesi nakutatua.
 
Back
Top Bottom