Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Upuuzi mtupu,Chato peke yake haijitoshelezi kuwa mkoa ndio sababu inataka wilaya za mikoa mingine it can't stand alone.
Kama hitaji la mkoa kisheria linakidhi.
1.Makao makuu yawe nje ya Chato.
2.Jina la mkoa liwe nje ya Chato.
Ugomvu wote ni marehemu.
Angekuwa hai hata mkuu wa mkoa angekuwa tayari yupo Chato na hakuna wakubisha.
Jiji la Dodoma nani alijadili
 
Upendeleo Siku zote ufarakanisha watu, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitahadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo.

Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.

Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana hadharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani, anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.

Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
Wewe unatakaje mkuu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kwa upande mwingine chato kuwa Mkoa mpya sioni tatizo ... kiutawala kwa maana Tanziania yetu itabakuwa moja. Kwa legacy ya magufuli ingependeza tuu. Kwa maana chato kutoa Rais... tuipe kipaumbele ya kuwa mkoa kwa kumuenzi hayati Magufuli..

Sent using Jamii Forums mobile app
Butihama nayo iwe mkoa, wamege Serengeti, Musoma V, Bunda, Rorya na Tarime. Butihama ni ya mhasisi wa Taifa. Ala!
 
Hivi kwa nini kila siku ni kelele tu wengine wanasema Chato iwe mkoa na wengine wanasema Chato isiwe mkoa. Mimi nafikiri ni wakati sasa serikali ikaachana na hiyo hoja ya Chato kuwa mkoa mpaka kutakapokuwa na muafaka. Kwani kwa sasa mambo yanavyoenda ni kama vile hiyo hoja ya mkoa wa Chato imegeuka na kuwa ishu ya kikabila ambalo ni jambo la hatari sana kwenye umoja wa nchi yetu.

Kwa mtizamo wangu naona serikali kama inazo pesa za kuanzisha mkoa au mikoa mipya basi mikoa inayostahili kuanzishwa mikoa mipya ni Tabora na Morogoro kutokana na ukubwa wao na si vinginevyo.
 
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato ana kesi ya kutoa rushwa na uvuvi haramu, halafu wasukuma sio wasomi, unachanganyaje wasomi na wachunga ng'ombe
Wahaya wangetoa Rais au waziri mkuu. Msukuma ndio msomi kuliko hao
 
Pole. Kigoma walisharidhia siku nyingi
Kakonko iko mkoa wa Kigoma, inahusishwa vipi na huo mgogoro wenu wa ukabila? Anzisheni Mkoa wa Chato bila kuimega Kakonko kwa sababu hakuna vikao vilivyoridhia mkoa wa Kigoma kumegwa.[emoji848]
 
Hawa wanatapatapa tu, undeni Chato yenu iwe mkoa bila kuzigusa mikoa mingine. Tafuta clip ya JPM (RIP) akiwa Tunduru alafu mheshimiwa diwani na wewe utuletee hiyo aliyotoa ahadi hapo Chato iwe mkoa. Kwanza Chato ina hadhi gani ya kuwa mkoa?
Kwani Lindi ina hadhi gani ya kuwa mkoa ?
 
Wewe ebu tulia tukujuze. Mkoa wa Rukwa wakati unaundwa mwaka 1974 walimega Mpanda toka Tabora na Sumbawanga toka Mbeya au ulikuwa hujazaliwa ?
Maelezo y

Uanzishwaji huu wa mikoa ulio uonesha ni tofauti kabisa na hili suala la Chato na tofauti hii Ndiyo inayoleta hoja zenye ukakasi na hisia za upendeleo. Ona utofauti wake;

Mikoa yote uliyoitaja na iliyoanzishwa huko nyuma zili
chukuliwa wilaya chache ndani ya mkoa huo huo na kuunda mkoa mwingine. Ktk mifano uliyoitoa hakuna wilaya iliyomegwa kutoka mkoa mwingine. Mfano mkoa wa Katavi ulichukua wilaya mojawapo na kuigawa katika halmashauri nyingi na kuwa mkoa, haikumega wilaya yoyote ya mkoa mwingine jirani ama wa Tabora au Kigoma, au Mbeya.
 
Upendeleo Siku zote ufarakanisha watu, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitahadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo.

Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.

Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana hadharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani, anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.

Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
Hakuna cha chato ni takatifu, wahaya hatutaki wamege mkoa wetu iwe mvua au jua lazima tulipiganie hili, kwanza serikali ilishatutenga zamani, kitakachofuata mbeleni huko ni sisi kuangalia namna ya kuwa nje ya Tz. Na tena wakijichanganya wakaingiza ukabila kwenye hili sakata moto utakaovuka Kagera mbeleni utaenda kulikosesha taifa amani, chonde chonde taasisi zetu za ulinzi na usalama liwekeeni taswira hili suala mkizubaa halitakuwa na mwisho mzuri kwa sasa na siku zijazo.
 
Nani aliye hai ? CUF au CHADEMA ? CCM itaendelea kuongoza nchi hii mpaka ichoke yenyewe maana hatuwezi kuongozwa na magaidi. Aidha, hakuna chama mbadala wa CCM.
Tuwaache wafu wa kijani waendelee kuwazika wafu wao.
 
John Chenge alipigania na Alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao BARIADI ukaitwa Mkoa wa SIMIYU aliimega Mwanza na Shinyanga.

Edward Lowasa alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao MANYARA aliiimega Arusha.

MIZENGO PINDA alianzisha Mkoa wa Nyumbani kwao KATAVI aliiimega RUKWA.

Njombe ilianzishwa kwa Mkoa wa Iringa kumegwa. Mikoa yooote hii imeanzishwa 2012 au kabla.

Mkoa wa CHATO ili nao uanzishwe sharti mikoa jirani ya Geita na Kagera imegwe kwani siyo jambo geni halijaaanza leo wala jana. Pia MAGUFULI siyo Kiongozi wa kwanza kuanzisha Mkoa kwenye eneo alikozaliwa. Nimeweka Viongozi wengine hapo juu ambao wameanzisha Mikoa mipya kwenye maeneo walikozaliwa.
Tunapoijadili CHATO Tuangalie utimilifu wa vigezo vya kuanzisha mkoa bila kujali MUASISI, KABILA wala Ushabiki wenye mihemko vinginevyo hatujadili hoja bali viroja.
Kagera ilishamegwa, unataka imegwa mara ngapi ndugu.
 
Tabora haina vigezo. Ni mapori tu eneo kubwa.
Hivi kwa nini kila siku ni kelele tu wengine wanasema Chato iwe mkoa na wengine wanasema Chato isiwe mkoa. Mimi nafikiri ni wakati sasa serikali ikaachana na hiyo hoja ya Chato kuwa mkoa mpaka kutakapokuwa na muafaka. Kwani kwa sasa mambo yanavyoenda ni kama vile hiyo hoja ya mkoa wa Chato imegeuka na kuwa ishu ya kikabila ambalo ni jambo la hatari sana kwenye umoja wa nchi yetu.

Kwa mtizamo wangu naona serikali kama inazo pesa za kuanzisha mkoa au mikoa mipya basi mikoa inayostahili kuanzishwa mikoa mipya ni Tabora na Morogoro kutokana na ukubwa wao na si vinginevyo.
 
Wahangaza na wasubi si huwa mnawaita nyamahanga, leo wamekuwa watamu ? Tulieni sindano iwaingie, Chato lazima iwe mkoa
Hakuna cha chato ni takatifu, wahaya hatutaki wamege mkoa wetu iwe mvua au jua lazima tulipiganie hili, kwanza serikali ilishatutenga zamani, kitakachofuata mbeleni huko ni sisi kuangalia namna ya kuwa nje ya Tz. Na tena wakijichanganya wakaingiza ukabila kwenye hili sakata moto utakaovuka Kagera mbeleni utaenda kulikosesha taifa amani, chonde chonde taasisi zetu za ulinzi na usalama liwekeeni taswira hili suala mkizubaa halitakuwa na mwisho mzuri kwa sasa na siku zijazo.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hapa ni wahaya na uhaya wao, na uhaya wao umepuuzwa na kudekezwa na kuchekewa mno, Mkoa wa Songwe umetokana na Mbeya, Mkoa wa Njombe umetokana na Iringa, Simiyu imetoka Shinyanga, Geita imetoka Mwanza, Manyara imetokana na Arusha, Katavi imetokana na Rukwa sasa hawa Wahaya wao ni nani hadi sehemu ya Kagera isimegwe? Rais akiwa legelege kwenye hili atajiangusha mwenyewe. Tuna wilaya kibao zimetokana na wilaya zingine. Huyo kibibi Tibaijuka mwenyewe anaisha Dsm kwa nini hajaenda kuzeekea kwao Muleba?

Muhaya ukimwendekeza haufiki mwisho.
Imegwe mara ngapi

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom