Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Chato ilikuwa sehemu ya manamba miaka ya 50 na 60 waliotokea nchi za jirani wakitafuta green pastures wakifanya kwenye viwanda vya kuchambua pamba na kazi mbali mbali kama vibarua.
Machafuko kwa nchi za Rwanda ,Burundi Congo ilileta wakimbizi wengi waliotafuta usalama wao na mapato vile vile.
Hata Mwalimu Nyerere alikuwa very silent kwa wahutu na watusi hao,ndio sababu kubwa ya Tanzania kuchelewa kuwa na kitambulisho cha taifa.
Lakini vuu Mwalimu Nyerere Alistaafu wakazi walio wazawa walitoa malalamiko hasa kwa watusi na kweli ilipita sekeseke wakarudishwa makwao japo hawakuondoka wote.
Mara kaja chuma cha pua mwanajeshi Kanali Jakaya Kikwete kwelo he was game changer wameondolewa wengi mnoakitumia makamando wa kijeshi salute zote.
Lakini alipomaliza muhula wake kaja JPM mwanzoni walio wengi hatukumuelewa kumbe yule ni kuwa uraia na uhalali watu wa nchi za jirani wapewe ujalali sio tu wa kuishi lakini wakutawala nchi yetu.Na take from me mkoa wa Chato si bahati mbaya itakuja kuwa nchi kama Burundi au Rwanda.Ndio sababu ya huyo mwendazake alifanya vitu vya mkakati.Endelea kusifu lakini hidden agenda ndio hiyo.CCM kumbe wana poor Intelligence, Kikwete Saudia Mama
Hawawezi kuupata huo mkoa intelligence yetu ni imara sana, yaani mkoa uwe wa wakimbizi tu, waje watake kujitawala au kurudi Burundi na Rwanda yawe yale yale ya Tigray na vile wamepata madini, inakuwa rahisi kupandikizwa hao.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Nyinyi wahaya vilaza sana! Si kila siku mnajisifu mnamaprofesa wengi? Yaani mnakuja kuzidiwa na miji midogo kama kahama na geita? Yaani kusema kweli mnasikitisha sana mlipaswa muwe kama wenzenu wa kilimanjaro ila sasa habari yenu ishaisha huo ukanda miaka ya nyuma mliutawala, Wasukuma sasa hivi wananunua maeneo yenu na wanacontrol uchumi angalia mfano Katoro kwenda mpaka muleba! Hata mabasi kwenda huko bukoba mengi ni ya wasukuma! Popesni sana!
Vilaza na nyinyi, mlioishia kulala na ng'ombe mazizini, na mumetutibua tutawaswaga na kuwarudisha kwenu mkale vumbi la migodi yenu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hoja yako ya maeneo mengine nakubwa ambayo yanaweza kutoa mkoa nje ya Chato naikubali ila hoja ya watu wengine hawataki mkoa wao ugawanywe hao ni wapumbavu kama wapumbavu wengine.

Ardhi ni mali ya serikali, sio ya kabila ama mkoa fulani, serikali ikiamua kugawanya hayo maeneo hakuna anaetakiw akupinga.

Mkoa wa Kagera kugawanywa wala haiharibu umoja wetu wa kitaifa, ni watu wapumbavu tu wanaong'ang'ania eti mkoa wa Kagera usigawanywe.
Haya uliyoyaandika ni mawazo yako, kwahiyo na wewe kwa mawazo yako haya uitwe mpumbavu au

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Samia akikubali asikanyage kagera kuomba kura,,,,,Magufuli alitaka mgodi wa Kabanga Nikel usiinufaishe kagera,,,wanabukoba tunataka kwanza serikali Ijenge chuo kikuu bukoba mjn,stendi bora ya mabasi,soko la kimataifa,ukarabati wa barabara za manispaa,Ijenge barabara ya Kanazi-izimbya,kanazi-kyaka kiwango cha lami baada ya hapo wachukue Ngara na Biharamulo ila siyo Mleba sababu mleba ni ukamilisho wa kabila bora la wahaya wenye koo zao mbalimbali.
Wajaribu kuimega kagera, CCM 2025, hawataambulia jimbo hata moja, na najua kama wataamua kuumega mkoa mpaka uchaguzi upite.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Upendeleo Siku zote ufarakanisha watu, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitahadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo.

Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.

Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana hadharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani, anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.

Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
Nadhani ni uchache tu wakutokutaka kupanga watumishi na watendaji wengine katika hilo eneo lipya, kwani Mkoa mpya ukianzishwa si utarahisisha utoaji wa huduma kwa jamii haswa kupunguza umbali mrefu
 
Tukubaliane kwanza serikali ijenge tawi la Chuo kikuu cha Dar es salaam mjini Bukoba,,Ijenge stend bora ya mabasi,soko la kimataifa na Ukarabati mkubwa wa barabara za Manispaa vikikamilika hivyo vitu tutawaruhusu wachukue Ngara ila siyo Mleba,,,Ngara na baharamulo chukueni tu baada ya kujenga hivyo vitu ila Mleba hatukubali iende Chato hapo mtakuwa mnataka ugomvi
Yeah lazima wafanye hivyo kwanza, wameitelekeza kagera kwa kila kitu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Wakubali tu wajenge chuo kikuu bukoba,stend bora,soko la kimataifa,barabara za manispaa ziboreshwe,Barabara ya Kanazi-izimbya na kanazi- kyaka hapo hata wakitaka wachukue tu Ngara na Biharamulo ila Mleba ibaki Kagera ile ni alama ya Mhaya
 
Chato ilikuwa sehemu ya manamba miaka ya 50 na 60 waliotokea nchi za jirani wakitafuta green pastures wakifanya kwenye viwanda vya kuchambua pamba na kazi mbali mbali kama vibarua.
Machafuko kwa nchi za Rwanda ,Burundi Congo ilileta wakimbizi wengi waliotafuta usalama wao na mapato vile vile.
Hata Mwalimu Nyerere alikuwa very silent kwa wahutu na watusi hao,ndio sababu kubwa ya Tanzania kuchelewa kuwa na kitambulisho cha taifa.
Lakini vuu Mwalimu Nyerere Alistaafu wakazi walio wazawa walitoa malalamiko hasa kwa watusi na kweli ilipita sekeseke wakarudishwa makwao japo hawakuondoka wote.
Mara kaja chuma cha pua mwanajeshi Kanali Jakaya Kikwete kwelo he was game changer wameondolewa wengi mnoakitumia makamando wa kijeshi salute zote.
Lakini alipomaliza muhula wake kaja JPM mwanzoni walio wengi hatukumuelewa kumbe yule ni kuwa uraia na uhalali watu wa nchi za jirani wapewe ujalali sio tu wa kuishi lakini wakutawala nchi yetu.Na take from me mkoa wa Chato si bahati mbaya itakuja kuwa nchi kama Burundi au Rwanda.Ndio sababu ya huyo mwendazake alifanya vitu vya mkakati.Endelea kusifu lakini hidden agenda ndio hiyo.CCM kumbe wana poor Intelligence, Kikwete Saudia Mama
Wakazi wa Chato wasukuma, Ngara wahangaza, Biharamulo wasubi na wasukuma, Bukombe wasukuma na wasumbwa. Sasa hao warundi wnakaa wapi ? Acheni kupotosha umma.
 
Upendeleo Siku zote ufarakanisha watu, walipoanza kujenga uwanja wa ndege na majumba makubwa Chato tulitahadharishwa kwamba Hawa watu wanaelekea kujitenga na kujitengenezea Mamlaka yao. Tulioambiwa tumkemee huyu mtu atavuruga Wananchi tulimsifia kwamba ni mzalendo.

Leo aliyokuwa anayafanya bila kufuata mfumo wa haki yameanza kumwomwonyoa Taifa. Kitendo Cha Mikoa kama Tabora na Morogoro kubaki bila kumegwa na kwenda kumegwa CHAto ambayo Ina 36km kutoka makao Makuu ya mkoa ni ishara mbaya Kwa wanaoona kesho.

Tibaijuka na Mwenyekiti wa Halmashauri wanatukanana hadharani kwenye vyombo vya habari. Mwenyekiti Halmashauri anafika mahali anasema eneo flan ni la kabila flani na flani, anawatukana wazee wa Bukoba nk lakini hakuna anayejiuliza kesho ya haya. Tuombe yaishe salama.

Ila kama tunaitakia mema Tanzania basi tuache kucheza na amani ya Mikoa ya mipakani, majirani zetu Wapo macho wanatuangalia tunavyoishi na watatuingilia Kwa sababu TU wanajua miyoyoni hatupo wamoja Ila nje tunaonyesha tupo pamoja. Mama Tibaijuka na wazee wa Kagera wameambiwa wanyamaze kimya na kama wanaiona Mleba ni Lulu basi wakae nayo Ila wasiingilie ya chato. Chato ni sehemu Takatifu.
Ni matokeo ya ubinafsi na uoga wetu uliokithiri. Leo ni chato lakini kesho atatokea mwingine atakayetaka kumega sehemu fulani ili iwe na status fulani kwa interests zake na kwa sababu ya madaraka aliyo nayo. Watanzania amani ndiyo kitu pekee cha kwanza na cha muhimu tunachohitaji. Tusikubali kuichezea
 
Hahaha kumbe wewe ni inshomile? Kelele nyingi mtaani hamna kitu! Mshabaki kama mataahira! Mkoa unaanzishwa mzee nenda kalale kama unahasira!
Huo mkoa wa burundi anzisheni tu ila Mleba achana nayo na mashariti mengine yazingatiwe,chuo kikuu kijengwe bukoba,stend,barabara za manispaa,soko la kimataifa,barabara ya kanazi-izimbya na kanazi- kyaka ijengwe
 
Wakazi wa Chato wasukuma, Ngara wahangaza, Biharamulo wasubi na wasukuma, Bukombe wasukuma na wasumbwa. Sasa hao warundi wnakaa wapi ? Acheni kupotosha umma.
Wewe waache wabaguzi sana hawa! Ila tushawaweza kama shule na wasukuma wamesoma! Kwenye biashara na madini ndo usiseme pia kilimo! Ngoja watanyooka tu!
 
Warudishe tu nchi iwe na mikoa kumi tupunguze serikali. Wilaya ziwe na huduma zote muhimu.
 
Huo mkoa wa burundi anzisheni tu ila Mleba achana nayo na mashariti mengine yazingatiwe,chuo kikuu kijengwe bukoba,stend,barabara za manispaa,soko la kimataifa,barabara ya kanazi-izimbya na kanazi- kyaka ijengwe
Kama mlishindwa kujenga miaka hiyo huku mlijiona mmesoma nani awajengee? Akili mukichwa! Kama ukatoliki ulianzia kwenu lakini wakajenga chuo kikuu SAUT mwanza mlikuwa wapi? Ulimwengu huu watu walioamka kutafuta fursa kila mahali unalialia hapa! Kipindi nchi imelalala ndo ulikuwa wa kufanya vitu hivyo saizi sahau!
 
Kama mlishindwa kujenga miaka hiyo huku mlijiona mmesoma nani awajengee? Akili mukichwa! Kama ukatoliki ulianzia kwenu lakini wakajenga chuo kikuu SAUT mwanza mlikuwa wapi? Ulimwengu huu watu walioamka kutafuta fursa kila mahali unalialia hapa! Kipindi nchi imelalala ndo ulikuwa wa kufanya vitu hivyo saizi sahau!
Mnatumia serikali kuididimiza kagera nakuapia nguvu inayotumika kuinyonga kagera ingetumika dhidi ya Mikoa dhaifu hiyo Mikoa isingekuwa hata kwenye ramani,,,Kagera ni mkoa wenye watu welevu sana inahitaji akili kubwa kudeal nao
 
Kama mlishindwa kujenga miaka hiyo huku mlijiona mmesoma nani awajengee? Akili mukichwa! Kama ukatoliki ulianzia kwenu lakini wakajenga chuo kikuu SAUT mwanza mlikuwa wapi? Ulimwengu huu watu walioamka kutafuta fursa kila mahali unalialia hapa! Kipindi nchi imelalala ndo ulikuwa wa kufanya vitu hivyo saizi sahau!
Tutadai mamlaka kamili sasa ili tujenge jamhuri yetu usilete ujinga hapa,,,acha kuchochea ujinga tuna hasira ujue
 
Mnatumia serikali kuididimiza kagera nakuapia nguvu inayotumika kuinyonga kagera ingetumika dhidi ya Mikoa dhaifu hiyo Mikoa isingekuwa hata kwenye ramani,,,Kagera ni mkoa wenye watu welevu sana inahitaji akili kubwa kudeal nao
Wajichanganye waone, miaka yote Serikali imeitelekeza Kagera kama vile sio sehemu ya Tanzania, kama wanataka kututenga tutadai mamlaka yetu mbeleni huko. Kagera ndiyo mkoa dume tu Tanzania nzima, mkoa umepigana na kila aina ya majanga Ila bado umesimama na unawatetemesha watawala.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kama mlishindwa kujenga miaka hiyo huku mlijiona mmesoma nani awajengee? Akili mukichwa! Kama ukatoliki ulianzia kwenu lakini wakajenga chuo kikuu SAUT mwanza mlikuwa wapi? Ulimwengu huu watu walioamka kutafuta fursa kila mahali unalialia hapa! Kipindi nchi imelalala ndo ulikuwa wa kufanya vitu hivyo saizi sahau!
Wewe hujuhi chochote kuhusu KAGERA, jadilini mkoa wako.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom