Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Wewe haujui! Kusema kweli kwenye elimu mmewekeza sana ila ujue maisha sio shule tu! Hapo ndipo sukumaland inapowapiga fimbo! Chukulia wafanya biashara wa madini,Maduka mengi ukanda huo wa ziwa na kilimo pamoja na ufugaji ni wasukuma na wanyambo kwa mifugo! Sasa kama unapambana na mtu multask kama wasukuma utawaweza lini? Kama shule wasukuma wengi pia wamesoma na wanaendelea kusoma!
Aliyekwambia tumewekeza kwenye elimu tu ni nani, fungua ubongo wewe acha kutumia sufuria kichwani.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Tutaenda kuomba msaada wa kijeshi kokote kwa sababu tuna uwezo wa kuwa na bandari ya kwetu ambayo itakuwa inahudumia Rwanda, Burundi na Congo, tumezungukwa na nchi tatu, kwahiyo tutawazibia mihanya yote ya kiuchumi kwenye nchi ya Rwanda, Burundi na Uganda, wasomi wapo wa kutosha kuhusu hilo hatuna shida[emoji23]

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Bro wasomi sio tija kama hawana access yakufanya hivyo vitu! Kuhusu bandari hiyo ya kemondo na bukoba mnaitegemea sana mwanza! Tofauti na hapo itakuwa parking ya vimeli uchara kutoka uganda na mitumbwi!
 
Mafanikio yepi kaka? Uwe mkweli! Wahaya wenye maisha mazuri ni wale tu walio soma tena zamani! Ila wasukuma wenye maisha mazuri unawapata wakulima, wafugaji na wafanya biashara!
Hakuna msukuma akiyetajirika kwa kulima maana mnazaa sana mazao yote yanaishia tumboni, kwa ufupi mmechoka sana na maisha yenu ni magumu
 
Bro wasomi sio tija kama hawana access yakufanya hivyo vitu! Kuhusu bandari hiyo ya kemondo na bukoba mnaitegemea sana mwanza! Tofauti na hapo itakuwa parking ya vimeli uchara kutoka uganda na mitumbwi!
Serikali yenu hii ya hovyo si ndiyo inaratibu yote hayo, tupeni mamlaka kamili muone, miaka 20 tu, tushawagalagaza.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Wewe mwenyew zero brain, utamushaulije intellectual people. Sisi uchumi wetu unategemea Uganda, Tanzania haitusaidia chochote.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Nimekwambia tokeni wote mikoa ya watu mrudi kwenu! Ndo maana mtu akija kufanya kazi hapo halmashauri za uhayani mi kero tupu! Mnawivu sana nyinyi ndo maana mafanikio yenu yapo kwenye elimu tu na sio sekta zingine! Nakwa taarifa yako kwa uhaba huu wa ajira msipojipanga kupanua ubongo na kutumia fursa kama na ufugaji na kilimo mtazidi kijizika kiuchumi!
 
Kyamuyorwa na Buligi ni sukumaland kwa sasa. Sasa hivi tumeshapeleka watu wetu na ng'ombe zao Karagwe. Biharamulo tulishachukua na kuwa sukumaland. Nusu ya Ngara tumejaa. Sasa utasemaje sasa kuhusu hili kabila kuu ?
Kabila kuu?, au wakimbizi wanaozurura kwa watu na kutanga tanga kama nyumbu mbugani.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna msukuma akiyetajirika kwa kulima maana mnazaa sana mazao yote yanaishia tumboni, kwa ufupi mmechoka sana na maisha yenu ni magumu
Endelea kujifariji! Mimi naongea logic kuwasaidia wewe unaniletea majungu! Kwani nyinyi hamli chakula? Vyoo mlivyonavyo majumbani mnavitumia kunya keki? Watu lazima wale na tafsiri sahihi ya kilimo ni lazima ujikimu wewe na familia yako na pia ziada uifanya kama stock kipindi bei itakapopanda sokoni uuze! Hao wafanya biashara ya mazao hapo katoro ,kahama na maeneo mengine unaona ni watu masikini? Jipange!
 
Endelea kujifariji! Mimi naongea logic kuwasaidia wewe unaniletea majungu! Kwani nyinyi hamli chakula? Vyoo mlivyonavyo majumbani mnavitumia kunya keki? Watu lazima wale na tafsiri sahihi ya kilimo ni lazima ujikimu wewe na familia yako na pia ziada uifanya kama stock kipindi bei itakapopanda sokoni uuze! Hao wafanya biashara ya mazao hapo katoro ,kahama na maeneo mengine unaona ni watu masikini? Jipange!
Hapo kuna logic, au ni usukuma wako unakusumbua wewe.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Nimekwambia tokeni wote mikoa ya watu mrudi kwenu! Ndo maana mtu akija kufanya kazi hapo halmashauri za uhayani mi kero tupu! Mnawivu sana nyinyi ndo maana mafanikio yenu yapo kwenye elimu tu na sio sekta zingine! Nakwa taarifa yako kwa uhaba huu wa ajira msipojipanga kupaunua ubongo na kutumia fursa kama na ufugaji na kilimo mtazidi kijizika kiuchumi!
Ukileta uyawani lazima uzenguliwe. Mnaletwa kagera kufanya kazi, mnaanza uyawani na ukijiba wenu, unategemea tuwaache salama, si msukuma mwenzenu huyo ametuharibia nchi yetu.



Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mafanikio yapi ? Biashara tuko zaidi yenu, elimu sasa tumepiga umande, huduma jamii tunazidi kupaa, mifugo tunawazidi, kilimo tunawazidi, uwingi tunawazidi. Miji mizuri tunawazidi.
We jamaa mpuuzi huwezi kulinganisha msukuma na muhaya, wasukuma mna bado mna safari ndefu kufikia mafanikio ya Wahaya
 
Serikali yenu hii ya hovyo si ndiyo inaratibu yote hayo, tupeni mamlaka kamili muone, miaka 20 tu, tushawagalagaza.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kama mmekuwepo duniani miaka yote hamjafanya maajabu kuna jipya lipi unaweza kulifanya? Best jitahidi sana kujipanga vizuri kabla ya kuja kuandika comment hapa! Maendeleo nimchakato ndo maana kipindi cha miaka ya nyuma wasukuma wengi walikuwa hawapeleki watoto shule lakini mabadiliko haya tunayoyaona ni ya taratibu ndo maana unaona sasa shuleni na vyuoni wasukuma wako wengi! Usidhanie mkibaki wenyewe mtapata maendeleo chapu! Ila ninachokiona mimi mtaanza kubaguana huyu mhaya wa sehemu fulani huyu wa sehemu fulani! Ndo maanaa hata hapo bukoba kuna wahaya wa asili ya hapo ndo wanatakiwa kuwa wabunge tofauti na hapo mnabaguana!
 
Mafanikio yapi ? Biashara tuko zaidi yenu, elimu sasa tumepiga umande, huduma jamii tunazidi kupaa, mifugo tunawazidi, kilimo tunawazidi, uwingi tunawazidi. Miji mizuri tunawazidi.
Hapa hatuzungumzii mambo yenu wasukuma, mnataka kuonyesha maendeleo yenu anzisheni uzi wenu, kama hamuwezi leteni hoja zenye mashiko, hatuna muda wa kubishana nanyie.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kuna umuhimu gani kuipandisha chato kua mkoa?

Kama ukubwa wake hauipi sifa kuwa mkoa, kuna haja gani hasa ya kulazimisha?

Hata kama Hayati JPM alikua na mpango huo, na inaonekana sifa hazijakidhi, kwa nini wasiache tu ibaki kuwa wilaya?
 
Kama mmekuwepo duniani miaka yote hamjafanya maajabu kuna jipya lipi unaweza kulifanya? Best jitahidi sana kujipanga vizuri kabla ya kuja kuandika comment hapa! Maendeleo nimchakato ndo maana kipindi cha miaka ya nyuma wasukuma wengi walikuwa hawapeleki watoto shule lakini mabadiliko haya tunayoyaona ni ya taratibu ndo maana unaona sasa shuleni na vyuoni wasukuma wako wengi! Usidhanie mkibaki wenyewe mtapata maendeleo chapu! Ila ninachokiona mimi mtaanza kubaguana huyu mhaya wa sehemu fulani huyu wa sehemu fulani! Ndo maanaa hata hapo bukoba kuna wahaya wa asili ya hapo ndo wanatakiwa kuwa wabunge tofauti na hapo mnabaguana!
Pole Sana naona umekalili ideology za JKN kuhusu kagera, watu tumeyeyusha chuma miaka 200 iliyopita huko, nyinyi mkiwa mnafugwa na chale za bwana marundi, kama si serikali yenu hii, sisi tungekuwa kama jiji la Nairobi sahizi.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Vipi maji yamezidi unga sio?! Umeona nafsini mwako huna hoja! Umechagua fungu jema! Nikutakie mlo mwema wa jioni! Asanteh!
Watu kama nyie mnajikuta mnaijua kagera kumbe bogus brain tu inabidi tuwafungue akili mujue hapa tunajadili nini, sio kujitekenya na mambo yenu ya kisukuma hayo.kila la kheri!

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom