Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Kikwete amsaidie huyo mama SSH,hao wapuuzi hata chanjo za awali hawana kwani kwao hawakuwa na compulsory ya chanjo ni East African ya Kenya,Uganda,na Tanzania.
Hawa watu siyo wa kuchekea .
Hahahaa unajua nyinyi jirani zangu mna taabu sana! Ila hakuna tatizo maana hamna threat yeyote kwa ukanda wa ziwa na nchi kwa ujumla!
 
Tuliza mshono tuchukue karagwe kama tulivyowatoa kyamuyorwa. Sasa hivi tunawafundisha kulima mpunga. Miaka 15 mbele Karagwe yote itakuwa sukumaland. Chezea kabila kuu weye.
Wasukuma mnakimbia maisha magumu na njaa huko kwenu kila mnakoenda mnaeneza umaskini maana USUKUMA = UMASKINI
 
Kagera sasa ni ya mwisho kila kitu. Wala hakuna anayefikiria kuhamia huko. Poleni sana migomba huko Kiziba na Bugabo hoi kwa njaa kali. Ndoo maana mmetapakaa Sukumaland kutafuta maisha
Nimekwambia asilimia kubwa ya wasukuma ni maskini, tazama Mwanza lids ya kuwa jiji lakini wilaya zake pembeni za wasukuma ni maskini ndo maana na Mwanza inaonekana maskini the same kwa Shinyanga ina manispaa 2 lakini hoi, Tabora na simiyu hivo hivo
 
Kagera sasa ni ya mwisho kila kitu. Wala hakuna anayefikiria kuhamia huko. Poleni sana migomba huko Kiziba na Bugabo hoi kwa njaa kali. Ndoo maana mmetapakaa Sukumaland kutafuta maisha
[emoji23][emoji23] we jamaa unachekesha, hujui kwamba mikoa ya wasukuma ndo maskini nchi hii, sasa hivi mnakimbia njaa huko kwenu ndo maana mmetapakaa kila kona ya nchi hii.
 
Tuliza mshono tuchukue karagwe kama tulivyowatoa kyamuyorwa. Sasa hivi tunawafundisha kulima mpunga. Miaka 15 mbele Karagwe yote itakuwa sukumaland. Chezea kabila kuu weye.
Miaka 15 mbele Karagwe itakuwa imerudi nyuma kimaendeleo maana imevamiwa na maskini wenye njaa
 
Tumebanana huku kwetu lazima tutafute makoloni tukamiliki
[emoji23][emoji23] we jamaa unachekesha, hujui kwamba mikoa ya wasukuma ndo maskini nchi hii, sasa hivi mnakimbia njaa huko kwenu ndo maana mmetapakaa kila kona ya nchi hii.
 
Sasa hivi hamuagizi mchele tena maana chapa ya ng'ombe anazalisha hapo hapo mkoani Kagera. Chezea sukuma weye .
Miaka 15 mbele Karagwe itakuwa imerudi nyuma kimaendeleo maana imevamiwa na maskini wenye njaa
 
Ni suala ambalo halina mantiki lakini sidhani kama Maza ana uwezo wa kulikataa ndio maana nikapendekeza compromise ya kuunda mkoa wa Chato bila kumega Kagera.

Solution nyingine ni kubadili jina la mkoa wa Geita uitwe Chato.

Safi kweli umewaza vyema " Geita iitwe Chato[emoji38]"tuone watalalamika nini, wataanza harakati za chato iwe jiji[emoji847]
 
Hiyo mikoa uliyoitaji haikumegwa bali iligawanywa kuwa 1 kwa mbili ndani ya mkoa mama na hawamega mkoa jirani bali waligawanya mkoa husika baada ya kuona mkubwa sana. Mfano Iringa iligawanywa na kuwa na mikoa miwili yaani Iringa na Njombe na hakuna mkoa wowote jirani ulimegwa
 
Siyo kweli mbona Simiyu ilimega Shinyanga na Mwanza ? Geita nayo ikamega Shinyanga Mwanza na Kagera.
 
Siyo kweli mbona Simiyu ilimega Shinyanga na Mwanza ? Geita nayo ikamega Shinyanga Mwanza na Kagera.

..Je, mkoa wa Chato hauwezi kuundwa bila kumega mkoa wa Kagera?

..nashauri mkoa wa Chato uundwe kwa kumega mikoa ambayo imeridhia zoezi hilo. Kwa mfano, Geita wao wameridhia.
 
Siyo kweli mbona Simiyu ilimega Shinyanga na Mwanza ? Geita nayo ikamega Shinyanga Mwanza na Kagera.
Mkuuu hao lengo lao ni kufuta Legecy ya Hayati JPM huna haja kutafuta Ligi na wao, vichwani mwao washajenga kubeza kubeza tu usipoteze muda nao.
 
Kigoma na Kagera hii mikoa ni kama ilisuswa. Huwa hata sielewi kwanini
 
Huyu msukuma anacheza ngoma asiyoijua.
Hii ni ajenda ya wahutu na watusi.
Haya ma mtu makatili yameua sana Kagera na Kigoma na kupora mali na mifugo.
Ngoja wajinyakulie mkoa baadaye waanze kudai jamhuri yao. Shenzi kabisa
 
Why Kagera isimegwe?

Yaani kuna hoja gani ya msingi Kagera isimegwe?
likewise Kuna ulazima Gani wa kuunda Mkoa masikini kiasi kile unaoitwa Chato?! Watu hawajiwezi, hawana Elimu, hawana raslimali, uchumi Duni, kwani ukiunda Mkoa ndio utabadilisha Hali hiyo au ni kuongeza gharama za Utawala tu! Nonsense.
 
Mafii yake! uzalendo akaufanyie jehanamu basi!
 
Maeneo yote ya makaburi (Cemeteries) nchi nzima yaitwe Magufuli kumuenzi vizuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…