Mkoa wa Geita ndio unaongoza kwa mauaji nchini, kuna haja Serikali iufanye kanda maalum

Mkoa wa Geita ndio unaongoza kwa mauaji nchini, kuna haja Serikali iufanye kanda maalum

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Baada ya kuona habari ya vijana waliomuua mama yao jana kisha na wao kuuawa huko Geita

Naona mkoa huu ndio unaoongoza kwa mauaji nchini

Mikoa ya kanda ya ziwa imekua kinara wa mauaji nchini yanayosababishwa na ushirikina, tamaa za mali, wivu wa mapenzi na mengineyo nadhani sasa Serikali ingeifanya Geita kuwa kanda maalum ya kipolisi ili kukabiliana na mauji haya

Screenshot_20230220-093017.png
Screenshot_20230220-093344.png
Screenshot_20230220-094151.png
Screenshot_20230220-094220.png
Screenshot_20230220-094757.png
Screenshot_20230220-094952.png
Screenshot_20230220-094826.png
Screenshot_20230220-095043.png
Screenshot_20230220-093527.png
 
Baada ya kuona habari ya vijana waliomuua mama yao jana kisha na wao kuuawa huko Geita...
Nilifikiri unaleta takwimu ya wizara ya mambo ya ndani kumbe matukio, yawezekana matukio ya mkoa huo yanalipotiwa sana ,watu na mamlaka za geita hzifichi mauji na habari zake u ulichodhania

USSR
 
Nilifikiri unaleta takwimu ya wizara ya mambo ya ndani kumbe matukio, yawezekana matukio ya mkoa huo yanalipotiwa sana ,watu na mamlaka za geita hzifichi mauji na habari zake u ulichodhania

USSR
Ulimwengu wa kidigitali huu huwezi kuficha habari kindezi ndezi.
 
Kuna kitu nitasema ila nitaitwa mkabila. Ila ni hivi, ukiachana na tulivyoaminishwa mitandaoni humu kabila hatarishi kuishi nalo kwa sasa ni hilo hapo silitaji. Kama unabisha tazama mauaji yao yalivyo, at least kuna kabila linauana kwa sababu ya mali tu kwa hiyo kama huna hela uko safe nao ila hawa ndugu zetu wa kanda ya ziwa hata mjamzito wanaua, kibibi kizee wanaua, albino wanaua, mgeni, mtoto, mama mkwe, kichanga kilichozaliwa, maskini tena hao ndio wanauwawa zaidi, mfanyakazi katongozwa kakataa. Zamani nilijua wanaua albino tu nikawa najisemea hapa si wanaelimishwa na sheria kali zinatungwa wanaacha, kumbe wanauana kivyovyote.

Njia zenyewe za mauaji ni za kikatili. Ukiwasoma saikolojia na ukaishi nao in their purest form unawaona kabisa hawa watu kuna juhudi zinahitajika kuwaondoa kwenye giza. Ukatili, ushamba, roho mbaya, ubabe wa kijinga sio vitu vya kufagilia kwenye modern society.

This is 21st century acheni ujinga ishi kama binadamu acha uhayawani mnauana ili iweje. Ukiniita mkabila (probably nimetaja jamii yako) subiri mzazi wako auwawe uko kwenu. Aya mambo ya kuchekeana ndio yanawalemaza, ikitungwa sheria ya dharura anayeua kikatili waziwazi anapata summary execution uwanjani watu wanashuhudia mbona watu wataacha.
 
Unataka ku justify nn kwa mfano?
Nilifikiri unaleta takwimu ya wizara ya mambo ya ndani kumbe matukio, yawezekana matukio ya mkoa huo yanalipotiwa sana ,watu na mamlaka za geita hzifichi mauji na habari zake u ulichodhania

USSR
 
Nilifikiri unaleta takwimu ya wizara ya mambo ya ndani kumbe matukio, yawezekana matukio ya mkoa huo yanalipotiwa sana ,watu na mamlaka za geita hzifichi mauji na habari zake u ulichodhania

USSR
Geita na mauaji hauwezi kutenganisha, tangu enzi zile wakichinja albino ili wapate utajiri, kuchinja wazee kwa uchawi, wanawake kutupa vichanga ili wakajiuze
 
Nilifikiri unaleta takwimu ya wizara ya mambo ya ndani kumbe matukio, yawezekana matukio ya mkoa huo yanalipotiwa sana ,watu na mamlaka za geita hzifichi mauji na habari zake u ulichodhania

USSR
Sukuma gang bhana ! kwahiyo na hili nalo utabisha yaani !
 
Mauaji ya aina hiyo (Domestic violence) yanadhibitiwaje na kanda maalumu?

Mara ni Kanda maalumu lakini DV ipo juu bado zaidi ni wizi wa mifugo na mapigano ya koo ndiyo yamekomeshwa.

Kanda maalumu wapeleke Moro kwa wakulima na wafugaji.
 
Hata yule mtesaji, mtekaji, mporaji na muuaji mkuu alikuwa anatokea mkoa huo huo wa Geita.
 
Tatizo wasukuma wameshazoea kuchinja n'gombe zao! Damu wameshaizoea!
 
Back
Top Bottom