Kuna kitu nitasema ila nitaitwa mkabila. Ila ni hivi, ukiachana na tulivyoaminishwa mitandaoni humu kabila hatarishi kuishi nalo kwa sasa ni hilo hapo silitaji. Kama unabisha tazama mauaji yao yalivyo, at least kuna kabila linauana kwa sababu ya mali tu kwa hiyo kama huna hela uko safe nao ila hawa ndugu zetu wa kanda ya ziwa hata mjamzito wanaua, kibibi kizee wanaua, albino wanaua, mgeni, mtoto, mama mkwe, kichanga kilichozaliwa, maskini tena hao ndio wanauwawa zaidi, mfanyakazi katongozwa kakataa. Zamani nilijua wanaua albino tu nikawa najisemea hapa si wanaelimishwa na sheria kali zinatungwa wanaacha, kumbe wanauana kivyovyote.
Njia zenyewe za mauaji ni za kikatili. Ukiwasoma saikolojia na ukaishi nao in their purest form unawaona kabisa hawa watu kuna juhudi zinahitajika kuwaondoa kwenye giza. Ukatili, ushamba, roho mbaya, ubabe wa kijinga sio vitu vya kufagilia kwenye modern society.
This is 21st century acheni ujinga ishi kama binadamu acha uhayawani mnauana ili iweje. Ukiniita mkabila (probably nimetaja jamii yako) subiri mzazi wako auwawe uko kwenu. Aya mambo ya kuchekeana ndio yanawalemaza, ikitungwa sheria ya dharura anayeua kikatili waziwazi anapata summary execution uwanjani watu wanashuhudia mbona watu wataacha.