Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wasukuma na wachaga hao unawaogopa nn.Kuna kitu nitasema ila nitaitwa mkabila. Ila ni hivi, ukiachana na tulivyoaminishwa mitandaoni humu kabila hatarishi kuishi nalo kwa sasa ni hilo hapo silitaji...
DarChato inapatikana mkoa gani?
Tulipopata rais wa pande hizo kila mtu anajua.Baada ya kuona habari ya vijana waliomuua mama yao jana kisha na wao kuuawa huko Geita...
Hii ya kutupa watoto ili wakajiuze bado ipo sana.Geita na mauaji hauwezi kutenganisha, tangu enzi zile wakichinja albino ili wapate utajiri, kuchinja wazee kwa uchawi, wanawake kutupa vichanga ili wakajiuze
Songwe nitatizo pia mkuu nashukuru kwa kutu kumbushaGeita na Songwe wanauwana sana
Yule bora Mungu aliamua ugomvi,angekuwepo angemaliza watuHata yule mtesaji, mtekaji, mporaji na muuaji mkuu alikuwa anatokea mkoa huo huo wa Geita.
Tanganyika ilikua na wajinga(kwa tafsiri yako) wengi tu huko nyuma,na Wala hawakuwa wakiuanaSehemu ikishakuwa na kundi kubwa la Wajinga tegemea Mauaji ya hali ya juu.
Mjinga ni mtu hatari sana anaweza ambiwa chochote kile hata mauaji, Aka tekeleza pasipo kufikiri hata nukta.
Ogopa wajinga, ukisha kuwa na jamii ya wajinga unafiki,chuki,wivu, Tamaa,husda,kinyongo, imani za kishirikina Lazima ziwepo kwa watu hao wajinga.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kanda ya Ziwa ujinga umezidi!Baada ya kuona habari ya vijana waliomuua mama yao jana kisha na wao kuuawa huko Geita
Naona mkoa huu ndio unaoongoza kwa mauaji nchini
Mikoa ya kanda ya ziwa imekua kinara wa mauaji nchini yanayosababishwa na ushirikina, tamaa za mali, wivu wa mapenzi na mengineyo nadhani sasa Serikali ingeifanya Geita kuwa kanda maalum ya kipolisi ili kukabiliana na mauji haya
View attachment 2523826View attachment 2523827View attachment 2523828View attachment 2523829View attachment 2523830View attachment 2523831View attachment 2523832View attachment 2523833View attachment 2523836
Kuna kitu nitasema ila nitaitwa mkabila. Ila ni hivi, ukiachana na tulivyoaminishwa mitandaoni humu kabila hatarishi kuishi nalo kwa sasa ni hilo hapo silitaji. Kama unabisha tazama mauaji yao yalivyo, at least kuna kabila linauana kwa sababu ya mali tu kwa hiyo kama huna hela uko safe nao ila hawa ndugu zetu wa kanda ya ziwa hata mjamzito wanaua, kibibi kizee wanaua, albino wanaua, mgeni, mtoto, mama mkwe, kichanga kilichozaliwa, maskini tena hao ndio wanauwawa zaidi, mfanyakazi katongozwa kakataa. Zamani nilijua wanaua albino tu nikawa najisemea hapa si wanaelimishwa na sheria kali zinatungwa wanaacha, kumbe wanauana kivyovyote.
Njia zenyewe za mauaji ni za kikatili. Ukiwasoma saikolojia na ukaishi nao in their purest form unawaona kabisa hawa watu kuna juhudi zinahitajika kuwaondoa kwenye giza. Ukatili, ushamba, roho mbaya, ubabe wa kijinga sio vitu vya kufagilia kwenye modern society.
This is 21st century acheni ujinga ishi kama binadamu acha uhayawani mnauana ili iweje. Ukiniita mkabila (probably nimetaja jamii yako) subiri mzazi wako auwawe uko kwenu. Aya mambo ya kuchekeana ndio yanawalemaza, ikitungwa sheria ya dharura anayeua kikatili waziwazi anapata summary execution uwanjani watu wanashuhudia mbona watu wataacha.
Una uthibitisho kwamba walikuwa hawa uani?Tanganyika ilikua na wajinga(kwa tafsiri yako) wengi tu huko nyuma,na Wala hawakuwa wakiuana
Mauaji ya albino ni juzi tu hapa,2000s... mauaji ya wazee ilikua inapita miaka 20 ndiyo unasikiaUna uthibitisho kwamba walikuwa hawa uani?
Kwamba hujawahi sikia mauaji ya Albino, wazee, watoto wachanga miaka hiyo ya zamani?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Asilimia kubwa ya wakazi wa mkoa huo ni wahamiaji wa Kihutu kama ilivyokuwa Jiwe ndiyo maana hata yeye alikuwa muuaji wa kutisha, hao na Jiwe ni pipa na mfuniko.Baada ya kuona habari ya vijana waliomuua mama yao jana kisha na wao kuuawa huko Geita
Naona mkoa huu ndio unaoongoza kwa mauaji nchini
Mikoa ya kanda ya ziwa imekua kinara wa mauaji nchini yanayosababishwa na ushirikina, tamaa za mali, wivu wa mapenzi na mengineyo nadhani sasa Serikali ingeifanya Geita kuwa kanda maalum ya kipolisi ili kukabiliana na mauji haya
View attachment 2523826View attachment 2523827View attachment 2523828View attachment 2523829View attachment 2523830View attachment 2523831View attachment 2523832View attachment 2523833View attachment 2523836
AiseeeeeAsilimia kubwa ya wakazi wa mkoa huo ni wahamiaji wa Kihutu kama ilivyokuwa Jiwe ndiyo maana hata yeye alikuwa muuaji wa kutisha, hao na Jiwe ni pipa na mfuniko.
Tatizo wasukuma wameshazoea kuchinja n'gombe zao! Damu wameshaizoea!