Mkoa wa Geita utakuja kuwa "Johannesburg" ya Tanzania?

Mkoa wa Geita utakuja kuwa "Johannesburg" ya Tanzania?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
 
Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Unafananaisha Dhahabu iliyochimbwa na makaburu,ambao 90% walikua na uraia WA south africa na waliwekeza south Africa ........dhahabu ya Geita inamilikiwa na wa Canada/U.S na inawanufaisha wa U.S/Canada 98%...........yes Geita utakua mji wa kipekee Kwa kua na mashimo makubwa mno yatayoingia kwenye rekodi ya dunia
 
Screenshot_20241023_172809_com.android.gallery3d.jpg
 
Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Haya majizi ya ccm yanavyoshirikiana na wawekezaji kupora rasilimali za tz? Rejea waziri Karamagi alivyoenda kusaini mkataba wa madini mgahawani London!
 
Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Swali fikirishi ni asilimia ngapi ya wazawa ambao ni wanufaika wa hayo madini moja kwa moja
 
Sio rahisi. Tulishakosea kwenye mikataba tuliyosaini. Dhahabu ina faida kidogo kwa nchi hii. Ishu ya dhahabu haina tofauti na Land rover festival ambayo tuliwapa Land Rover promo ambayo ingemgharimu mamilioni huku sisi tukijifariji kwa kuuza nyama choma, vinywaji na kujaza lodges na guest houses. Kwenye dhahabu pia tunadanganywa na kujengewa visima, shule na kufadhiliwa ishu za michezo na matamasha.
 
Back
Top Bottom