Mkoa wa Geita utakuja kuwa "Johannesburg" ya Tanzania?

Mkoa wa Geita utakuja kuwa "Johannesburg" ya Tanzania?

Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Ndio akili za watu wa CCM, Geita kwa sasa ikoje? Dhahahu si iko pale inachimbwa miaka na miaka?
 
Sio rahisi. Tulishakosea kwenye mikataba tuliyosaini. Dhahabu ina faida kidogo kwa nchi hii. Ishu ya dhahabu haina tofauti na Land rover festival ambayo tuliwapa Land Rover promo ambayo ingemgharimu mamilioni huku sisi tukijifariji kwa kuuza nyama choma, vinywaji na kujaza lodges na guest houses. Kwenye dhahabu pia tunadanganywa na kujengewa visima, shule na kufadhiliwa ishu za michezo na matamasha.
Niliwaambia watu kuhusu hili wakanibishia sana, nchi imejaaa wajinga Mungu saidia
 
Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Wajitahidi kwanza kujenga vyoo bora halafu baadaye watafikiria kuwa Johannesburg ya Tanzania.
 
Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Kwa ile mikataba iliyoingiwa kipindi kile ya 3% kupewa Nchi usitegemee chochote zaidi ya kubakiziwa mapango !
Mwamba alisemaga tulishapigwa !
Akajitahidi kung’ang’ana aongezewe %
Ndio inasemekana ikafika 16% kama ni kweli !
Makinikia 😳🙄 ?!
 
Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Kwa kuwaza tu bila vitendo haiwezekani,dhibitini mapato yanayotakana na hiyo dhahabu kwanza...
 
Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!

Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?

Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Johannesburg umewahi kufika lakini? Vitu vingine mnatuchosha wenzenu.
 
Back
Top Bottom