BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Geita ni mkoa wa fursa kwa wapambanaji ukiwa na jicho kali huku ni rahisi kutoboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes mavi hususani magumu wakati umetulia na kishoka chako yanakutuma uandike uzuzu🤣Dah but why
Kwenye nini?Geita ni mkoa wa fursa kwa wapambanaji ukiwa na jicho kali huku ni rahisi kutoboa
Kwenye kitu gani mkuuGeita ni mkoa wa fursa kwa wapambanaji ukiwa na jicho kali huku ni rahisi kutoboa
ENdelea kuota ndoto za jua kaliInasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!
Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?
Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Mablue coast yanapita town kila siku ka jobergBablai geita ipi unayoizungumzia mimi Nimezaliwa geita nimekulia geita mwaka wa 24 huu nipo geita😂Sasa sjui Kas gani unayoisemea mzee wangu ungejua tunavosota mpka Leo hii geita bado tunatumia TV za vichogo how can your mji unakua kwa kasi umetumia kigezo kipi Aya magari plate number E yanahesabika
Tafadhali mkuu tuache kidogo "huku pesa inamilikiwa na wachache"
Kwahyo hayo ndo maendeleo gashi "otena masala" shibebeMablue coast yanapita town kila siku ka joberg
Anahitaj mid fingerprintBro umekula?
Unaweza nisaidia kumpa hiyo hudumaAnahitaj mid fingerprint
Mimi sio mwandishi mzuri na nimetembea mikoa mingKwenye nini?
Wenyeji hawana mentality ya maendeleo licha ya mzunguko mkubwa wa fedha .Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!
Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?
Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Kote huko mtaachiwa mashimo kama Buhemba na Mwadui....Geita - Manispaa, Nyalugusu, Nyalwanzaja, Katoro.
Mara - Nyamongo, Marera, Bunda, Kyabakari.
Shinyanga - Kahama, Masumbe, Ushirombo, Gem, Runzewe, Mwenda kulima, Kakola, Nyangalata, Nyakagwe, Segese
Mbeya - Chunya
Tutaachiwa na nani?Kote huko mtaachiwa mashimo kama Buhemba na Mwadui....
Wewe hata Geita sidhani kama ushaishi nasema hivyo kwa sababu najua watu wa Geita, Kasamwa ,Katoro na maeneo mengine walivyo wapambanaji!Wenyeji hawana mentality ya maendeleo licha ya mzunguko mkubwa wa fedha .
Mwishowe watabakia na mashimo kama ya Buzwagi sababu hawana la kufanyia fedha zaidi ya kula na starehe na vichangu doa vimeanza kuhamia huko na kuachana na wabunge Dodoma.
ChaliMiaka hiyo zamani Mwadui uliwahi kuwa mji mkubwa tu chini ya Mzungu. Baadaye sasa😀😀
Mbeya ni kijiji kilichochangamka mji hauna planning, umejengwa hovyoMi nadhani ni mbeya🤒🥴