To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kwahiyo umeona mbeya hatufai kabisa?Hapana mkuu, nami nina mengi ya kujifunza kutoka kweli.
Elimu haina mwisho madame..😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo umeona mbeya hatufai kabisa?Hapana mkuu, nami nina mengi ya kujifunza kutoka kweli.
Elimu haina mwisho madame..😔
Mbeya kupata pesa ni ngumu Sana , labda utafute fursa chunya , tunduma na kasumulo , mbeya ilikua ni eneo zuri Sana lingepangika lakini jini lenu liko hovyohovyoMi nadhani ni mbeya🤒🥴
Mbeya mna dhahabu nyingi kwenye location moja, tofauti na maeneo mengine mkuuKwahiyo umeona mbeya hatufai kabisa?
Mbeya dhahabu iko chunya tu, makongorosi , saza, itumbi, kiwanja, matundas , na kadhalikaMbeya mna dhahabu nyingi kwenye location moja, tofauti na maeneo mengine mkuu
Wamechangamka sana na skuizi hawaendi kujenga Mwanza wala Dar....Geita inakuja Kasi Sana na bahati vijana wa geita hawajalala wanapambana
Nimeelewa mkuuMbeya mna dhahabu nyingi kwenye location moja, tofauti na maeneo mengine mkuu
Kwanza mkoa wa geita Una centre kama katoro ambayo kibiashara kwa ukanda ule inakimbiza sana anzia bwanga , buseresere na katoro palishaungana, geita na kasamwa nako kumeungana kosa la magufuli kubwa ni yale madude yote aliyojenga Chato stand, uwanja wa ndege na hospitali ya rufaa vilitakiwa viwe geita mjini mji ungepata watu wengi SanaWamechangamka sana na skuizi hawaendi kujenga Mwanza wala Dar....
Vijana wanaijenga Geita kwa kasi na sooner inaenda kuungana na Kasamwa
Bablai geita ipi unayoizungumzia mimi Nimezaliwa geita nimekulia geita mwaka wa 24 huu nipo geita😂Sasa sjui Kas gani unayoisemea mzee wangu ungejua tunavosota mpka Leo hii geita bado tunatumia TV za vichogo how can your mji unakua kwa kasi umetumia kigezo kipi Aya magari plate number E yanahesabikaInasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!
Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?
Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Kujengeka kwa uchumi, miji na miundombinu hakutegemei upatikanaji wa rasilimali tu bali zaidi utamaduni (fikra na matendo) ya wahusika.Inasemekana, kabla ya mwaka 1895, Cape Town ndio uliokuwa mji mkubwa wa Afrika Kusini. Lakini kugundulika kwa dhahabu miaka ya 1880's Johannesburg, kulifanya huo mji kukua kwa kasi na hatimaye kuupita Cape Town. Mpaka sasa ndiyo mji mkubwa kuliko yote Afrika Kusini, nafikiri!
Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?
Na, kwa kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa utajiri wa dhahabu, inaweza kuja kuwa nchi tajiri kuliko zote Afrika Mashariki, labda, ukiiondoa Congo DRC?( DRC ina rasilimali nyingi sana).
Exactly huku pesa wana miliki "mabwanyenye" neo-colonialism on dutyKujengeka kwa uchumi, mini na miundombinu hakutegemei upatikanaji wa rasilimali tu bali zaidi utamaduni (fikra na matendo) ya wahusika.
Hizi fikra tegemezi na siasa za uchawa siyo rahisi zijenge bali wageni watachukua wakajenge kwao.
Ni lazima wananchi wazawa wamiliki uchumi wao kwanza ndipo yawepo maendeleo endelevu.
Uchumi wa nchi unamilikiwa na wageni au raia wa asili ya nje kwa asilimia kubwa huku weusi (wazawa walio wengi wakiachwa nyuma). Mapinduzi lazima yaanzie hapo kwanza.
Unafananaisha Dhahabu iliyochimbwa na makaburu,ambao 90% walikua na uraia WA south africa na waliwekeza south Africa ........dhahabu ya Geita inamilikiwa na wa Canada/U.S na inawanufaisha wa U.S/Canada 98%...........yes Geita utakua mji wa kipekee Kwa kua na mashimo makubwa mno yatayoingia kwenye rekodi ya dunia
😆😆😆Haya majizi ya ccm yanavyoshirikiana na wawekezaji kupora rasilimali za tz? Rejea waziri Karamagi alivyoenda kusaini mkataba wa madini mgahawani London!
Jamaa sijui anatuchukuriaje anatupiga kamba hadharaniBablai geita ipi unayoizungumzia mimi Nimezaliwa geita nimekulia geita mwaka wa 24 huu nipo geita😂Sasa sjui Kas gani unayoisemea mzee wangu ungejua tunavosota mpka Leo hii geita bado tunatumia TV za vichogo how can your mji unakua kwa kasi umetumia kigezo kipi Aya magari plate number E yanahesabika
Tafadhali mkuu tuache kidogo "huku pesa inamilikiwa na wachache"
Mbeya haina dhahabu ya kulinganisha na Geita.Mi nadhani ni mbeya🤒🥴
Unasema hivyo ukiwa unakata kimba au?Inawezekana mkoa wa Geita ukawa ndio unaoongoza kwa utajiri wa dhahabu nchini Tanzania. Na wenyewe utakuja kupiku miji ya Dar Es Salaam, Mwanza, na Arusha kama Johannesburg ilivyoipiku Cape Town?
Unasema hivyo ukiwa unakata kimba au?
Najua mkuu, nilikuwa nachombeza tuMbeya haina dhahabu ya kulinganisha na Geita.
Tembea uone.
Mkuu.. Masumbwe, Ushirombo na Runzewe zipo mkoa wa Geita na sio Shinyanga.Geita - Manispaa, Nyalugusu, Nyalwanzaja, Katoro.
Mara - Nyamongo, Marera, Bunda, Kyabakari.
Shinyanga - Kahama, Masumbe, Ushirombo, Gem, Runzewe, Mwenda kulima, Kakola, Nyangalata, Nyakagwe, Segese
Mbeya - Chunya