Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Sifa zipi? Kutoka Tabora Hadi Dom ni zaidi ya km 400 tofauti na kutoka Tabora kwenda Kigoma
Tabora Dodoma ni kati ya Kilometa 370 Kwa reli au 384 Kwa barabara wakati Tabora Kigoma ni Kilometa 420 Kwa barabara. Kutoka Tabora kwenda Kigoma ni mbali zaidi kuliko Tabora kwenda Dodoma. Tabora to Mwanza (354 Km) ni karibu zaidi kuliko Tabora- Dodoma (380Km) au Tabora -Kigoma ( 420Km)
 
Sijui SINGIDA, DODOMA, ni mikoa ya watu wavivu sana aise..

Iringa ibaki kwa wapambanaji nyanda za juu kusini 🤝🤝🤝.
 
Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.

Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo

1.Sababu za Kijiografia.

Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).

Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.

2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)

Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..

3.Sababu za Kimazingira.

Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..

4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.

Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..

Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.

Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Iringa Sio nusu jangwa wewe
 
Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.

Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo

1.Sababu za Kijiografia.

Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).

Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.

2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)

Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..

3.Sababu za Kimazingira.

Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..

4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.

Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..

Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.

Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Hapa ni hoja kwa hoja hakuna la kipumu wala waragi. Mujibuni kamanda wa vita vya kanda
 
Kimsingi upo sahihi na baadhi ya shughuli za kikanda sasa Iringa inaripoti kanda ya kati nafikiri hadi mwakani Iringa itakuwa rasmi kanda ya kati kwani serikali ipo kwenye mchakato huo wa mabadiliko. Ni kweli huduma nyingi za kikanda sasa za kiserikali zinafanyika Dodoma na hata isdue za kimatibabu sisi watu wa Iringa huwa watatupa refferal kwenda Dodoma. Mwanzo ilikuwa nyanda za juu kusini sababu ya mkoa ukubwa wa eneo uliojumuisha sasa mkoa wa Njombe so sasa ni vyema twende Dodoma japo tutamiss sana wamama wa kinyakyusa na kisafwa wa pale Mbeya.
 
Tabora Dodoma ni kati ya Kilometa 370 Kwa reli au 384 Kwa barabara wakati Tabora Kigoma ni Kilometa 420 Kwa barabara. Kutoka Tabora kwenda Kigoma ni mbali zaidi kuliko Tabora kwenda Dodoma. Tabora to Mwanza (354 Km) ni karibu zaidi kuliko Tabora- Dodoma (380Km) au Tabora -Kigoma ( 420Km)
Tabora dodoma 384 ...na tabora manyoni itakuwa km ngap [emoji15][emoji15][emoji15]...
 
Kwa Nini wasifanye hivi hapa kidogo Kuna mwingiliano tofauti na ilivyo Sasa mtu ukitoka songea hadi mbeya ni zaidi ya km 400 vilevile iringa km za kutosha mbeya ingehudumia mikoa ya songwe na rukwa katavi iende ukanda wa magharibi na ndio mfumo hata msd wanatumia kijiografia na kihistoria imekaa poa Maana hata kampuni zinazofanya safari ya songea mbeya ni chache mno ni hizi hapa
1711247286357.jpg
Tanzania-administrative-zones-Modified-map-adopted-from-Suleiman-2018-Suleiman-2018~2.jpg
1711102449681.jpg
Tanzania-administrative-zones-Modified-map-adopted-from-Suleiman-2018-Suleiman-2018.jpg
 
Back
Top Bottom