Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Rukwa ni Nyanda za Juu Kusini pure maana inafanana mazingira,utamaduni na aina za shughuli za kiuchumi na Nyanda za Juu Kusini.

Mfano upande wa Magharibi ni Mikoa ya joto kuanzia Tabora,Kigoma na Katavi wakati Rukwa ni Mkoa wa Baridi sababu ya Milima.

Makao Makuu ya Kanda ya Magharibi Yako Kigoma,huo umbali wa km 600 nani anataka wakati Kwenda Mbeya ni km 330 tuu..

Mwisho ukiacha Arusha-moshi,Mbeya-Tunduma na Morogoro -Dar ,hakuna Mkoa mwingine una route nyingi za Mabasi kushinda Mbeya -Sumbawanga tena panda zote Huku Juu ufipani na kule chini Bonde la Ziwa Rukwa..
Mwanza to Musoma
Mwanza to kahama
Mwanza to geita
 
Ukiacha Mufindi,hizo zingine kama Kilolo in upande wa mvua na upande wa ukame eg Ilula Hadi mpakani na Moro ni purely Dom climate type..

Hata Dom Wilaya ya Mpwapwa sio kame ,watu wengi hawajui hii,kule kunapata mvua ya Wastani..

Lakini Mikoa mingine ya Nyanda za Juu ni mvua kwenda mbele ndio maana huwezi Kuta nyumba za tembe hata Moja au za udongo kama zilivyo Iringa na Dom.
Tulete figure???
 
Sifa zipi? Kutoka Tabora Hadi Dom ni zaidi ya km 400 tofauti na kutoka Tabora kwenda Kigoma
Tabora multi zonal region... inapata huduma za kikanda Kanda ya ziwa ,Kanda ya magharibi na Kanda ya kati ... mwisho
Tabora to kigoma km 500 + wakati tabora mwanza ni km 350
 
Mwanza to Musoma
Mwanza to kahama
Mwanza to geita
Hizo route nazifahamu Wala hazina Mabasi mengi ya kuzidi Mbeya -Sumbawanga via Tunduma na Mbeya -Majimoto via Kamsamba/Kilyamatundu.
 
Hizo route nazifahamu Wala hazina Mabasi mengi ya kuzidi Mbeya -Sumbawanga via Tunduma na Mbeya -Majimoto via Kamsamba/Kilyamatundu.
Unazifahamu wapi ....basi au tata....
Ruti ya mwanza to Musoma Hadi walijenga stendi yake maalumu unasema nini ...
Zakaria,batco,kisire ,Africa Raha, champion,nyamse ,ni yutong na semi luxury zimejaa ,,we unaleta stories za tata [emoji16]
 
Unazifahamu wapi ....basi au tata....
Ruti ya mwanza to Musoma Hadi walijenga stendi yake maalumu unasema nini ...
Zakaria,batco,kisire ,Africa Raha, champion,nyamse ,ni yutong na semi luxury zimejaa ,,we unaleta stories za tata [emoji16]
Kutoka Mwanza Hadi Musoma unapitia Miji mingapi hapo Katikati?
 
Kutoka mbeya Hadi sumbawanga unapita miji mingap na vijiji vingapi ...[emoji16][emoji16][emoji16].unatafuta excuse
Nijibu wewe acha upuuzi wako ,nilipata jibu ndio tutajua wapi Kuna Mabasi mengi maana nilikwambia unitakie kikawaida utadanganya
 
Basi nawaongezea kutoka Mwanza Hadi Sirali Kuna Miji Mingapi?
Sasa ukiongeza Hadi sirari .....si unataka kupambana na stendi yote ya nyamhongolo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...we utaweza kushinda mabasi makubwa zaidi ya 50 ?
 
Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.

Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo

1.Sababu za Kijiografia.

Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).

Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.

2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)

Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..

3.Sababu za Kimazingira.

Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..

4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.

Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..

Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.

Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Karibu Dodoma.
 
Back
Top Bottom