Tabora Dodoma ni kati ya Kilometa 370 Kwa reli au 384 Kwa barabara wakati Tabora Kigoma ni Kilometa 420 Kwa barabara. Kutoka Tabora kwenda Kigoma ni mbali zaidi kuliko Tabora kwenda Dodoma. Tabora to Mwanza (354 Km) ni karibu zaidi kuliko Tabora- Dodoma (380Km) au Tabora -Kigoma ( 420Km)Sifa zipi? Kutoka Tabora Hadi Dom ni zaidi ya km 400 tofauti na kutoka Tabora kwenda Kigoma
Iringa Sio nusu jangwa weweMikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.
Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo
1.Sababu za Kijiografia.
Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).
Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.
2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)
Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..
3.Sababu za Kimazingira.
Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..
4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.
Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..
Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.
Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Hapa ni hoja kwa hoja hakuna la kipumu wala waragi. Mujibuni kamanda wa vita vya kandaMikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.
Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo
1.Sababu za Kijiografia.
Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).
Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.
2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)
Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..
3.Sababu za Kimazingira.
Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..
4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.
Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..
Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.
Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Watu akili ziko kuwasogelea waislamu au waarabu .hawajui wahuni hatutaruhusu na haitokei .mfano tuanze na bandar wakifanikiwa dpw tuoneUmekunywa bia gani leo?
Waislamu wamechezewa ni vya dpw .jaman hawaji kabisaIringa Sio nusu jangwa wewe
Mwanza to SirariMwanza to Musoma
Mwanza to kahama
Mwanza to geita
Wapi bia!!hii bananaUmekunywa bia gani leo?
Mwisho wa siku wote ni wamojaMkuu Iringa na Mbeya ni Baba mmoja mama mmoja
Tabora dodoma 384 ...na tabora manyoni itakuwa km ngap [emoji15][emoji15][emoji15]...Tabora Dodoma ni kati ya Kilometa 370 Kwa reli au 384 Kwa barabara wakati Tabora Kigoma ni Kilometa 420 Kwa barabara. Kutoka Tabora kwenda Kigoma ni mbali zaidi kuliko Tabora kwenda Dodoma. Tabora to Mwanza (354 Km) ni karibu zaidi kuliko Tabora- Dodoma (380Km) au Tabora -Kigoma ( 420Km)
Akijinyonga lawama unayoWewe si ndio mjinga au? Kuna ubaya nimeandika? Hoja hujibiwa Kwa hoja bwana mnyalu.
pamoja na kuwa ni miwili, hiyo mikoa ni mikubwa sanaTena it makes sense,Kwa sababu haiwezekani Central Zone iwe na Mikoa 2 tuu
Soma mada utaelewa itakachosaidiaITASAIDIA NINI?
NOTHING. Namshukuru mh rahisSoma mada utaelewa itakachosaidia
Nothing for what? Kiasi kitupuNOTHING. Namshukuru mh rahis
Namshukuru mh rahisNothing for what? Kiasi kitupu