Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Unavopandisha kitonga kuitafuta vzr iringa ndio utajua iringa ni nyanda za juu...
 
Tungefahamu vigezo vya kuweka mikoa Katika kanda moja, tungeweza kushauri zaidi. Kama ni kigezo Cha ujirani basi iringa iwe kanda ya kati.
 
Tupambane bandari kwanza mzee hizi kanda zipo tu kwenye namna kijografia haina athari yoyote kiutendaji
 
bandari hata wakilazimisha historia itawahukumu. though wengi wao watakuwa mavumbini manake umri wao umeenda sana, tujiandae tu kupora mali toka kwa watoto wao walizotuibia na kuwaachia. hata wao wenyewe hapo wanajijua hawana hata 20 years ahead.
 
Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.

Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo

1.Sababu za Kijiografia.

Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).
Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.

2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)

Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..

3.Sababu za Kimazingira.

Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..

4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.

Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..

Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.

Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Nimeona umejitahidi sanaa kutuaminisha, ila maoni yangu ni Big No...mfano sababu yako ya 4, yaan iringa iitegemee Dodoma kwa mahitaji yake ? Are you serious ? Yaan limkoa kama iringa ivi lina zalisha tons za mahindi +alizeti +nyanya na mazao mengine kibao ...
 
Nimeona umejitahidi sanaa kutuaminisha, ila maoni yangu ni Big No...mfano sababu yako ya 4, yaan iringa iitegemee Dodoma kwa mahitaji yake ? Are you serious ? Yaan limkoa kama iringa ivi lina zalisha tons za mahindi +alizeti +nyanya na mazao mengine kibao ...
Wewe ndio una shida kubwa sana ,Kwa hiyo Serikali Inajenga logistics centre pale Dom ya bidhaa mbalimbali,Kwamba mtaacha kwenda kujumua mzigo utakaoletwa na Sgr badala yake mtasafiri km 500 kwenda Dar kujumua the same mzigo?

Hata Sasa Iringa inategemea Dom Kwa bidhaa kibao kama soko la mbao,mahindi ya Kibaigwa,soko la nyanya za Iringa ,Huduma za Afya yaani hospital ya Kanda Benjamin Mkapa nk nk..

Ni hivi Iringa Haina faida kwepo Nyanda za Juu Kusini Kwa sababu hatuna maingiliano makubwa,yaani gar za Njombe-Mbeya,Njombe-Songwa ni nyingi kuliko Njombe-Iringa..

Kwa upande mwingine ukienda Iringa hata saa 4 unapata Costa za Dom ndio kusema Iringa inahusiaja zaidi na Dodoma kuliko Mikoa yetu.
 
Wewe ndio una shida kubwa sana ,Kwa hiyo Serikali Inajenga logistics centre pale Dom ya bidhaa mbalimbali,Kwamba mtaacha kwenda kujumua mzigo utakaoletwa na Sgr badala yake mtasafiri km 500 kwenda Dar kujumua the same mzigo?

Hata Sasa Iringa inategemea Dom Kwa bidhaa kibao kama soko la mbao,mahindi ya Kibaigwa,soko la nyanya za Iringa ,Huduma za Afya yaani hospital ya Kanda Benjamin Mkapa nk nk..

Ni hivi Iringa Haina faida kwepo Nyanda za Juu Kusini Kwa sababu hatuna maingiliano makubwa,yaani gar za Njombe-Mbeya,Njombe-Songwa ni nyingi kuliko Njombe-Iringa..

Kwa upande mwingine ukienda Iringa hata saa 4 unapata Costa za Dom ndio kusema Iringa inahusiaja zaidi na Dodoma kuliko Mikoa yetu.
Ww kwa taaluma yako unafikiri mziho utakao safirishwa na sgr charges zake ni sawa na mzigo jtakao safiri na roli ?
 
Ww kwa taaluma yako unafikiri mziho utakao safirishwa na sgr charges zake ni sawa na mzigo jtakao safiri na roli ?
Sasa hata hili huelewi? Hili ni la kuuliza? Hujawahi sikia kwamba gharama za usafiri zitashuka by half Kwa kutumia reli badala ya Malori?
 
Sasa hata hili huelewi? Hili ni la kuuliza? Hujawahi sikia kwamba gharama za usafiri zitashuka by half Kwa kutumia reli badala ya Malori?
Kama unafikiri ivyo andika Zero ... Yaan investment ya sgr bei yake eti iwe nafuu ? Never ever.... Ungefuatilia tu zile bei ziliO pendekezwa na TRC ndio akili yako ijionhezee je kwa cargo itakuwaje ?
 
Back
Top Bottom