OkWapi mlizuiwa kuuza Nje ya mipaka? Na kwanj Kuzuia kuuza Nje ya mipaka ndio kunazuia pesa? Mbona Kusini wanauza korosho stakabadhi ghalani na pesa wanapata?
Mwisho hakuna njia mbadala kama watu wanaweza kuajiriwa kuliko kufanya kazi za uzalishaji,mtaishia hivyo hivyo mnataka kusoma
Unaruka ruka tu nakupa mfano mmoja, njombe kuna uzalishaji mkubwa wa bidhaa za mbao lakini mashamba asilimia kubwa wamewekeza watu au makampuni machache na raia wengi wamebaki kuwa vibarua na mwisho wa siku pato la hayo mashamba wanahesabiwa raia ambao hawanufaiki zaidi ya kuwa vibarua, ila njoo Kagera mashamba yote ya miti yanamilikiwa na wananchi japo sio kiwango kikubwa sana lakini ela inaenda moja kwa moja kwa watuKwa nini makampuni hayaji kwenu? Nyanda za Juu Kusini Kuna makampuni ya Wazawa unadhani ni Shinyanga kule? Au Geita Kwa mzungu?
Kama haupo top 10 au hujafikisha 2.8mln wewe ni maskini tuuView attachment 2784567 View attachment 2784567
Kwa i Njombe kuna viwanda gani ? Mbona Pwani wana viwanda vingi lakini ni maskini kama Kagera tu ?Bora umesema kweli, kuna watu uwezo wa kufikiri kwao ni mdogo sana, kwa Kagera hamna viwanda vikubwa au migodi wala utalii wowote kinachoonekana kwa Kagera ni direct kutoka kwa wananchi
Unapopima GDP per capital usisahau na population ndugu ndo maana Marekani sio namba moja kwenye kipimo cha per capital japo ina uchumi mkubwaKwa i Njombe kuna viwanda gani ? Mbona Pwani wana viwanda vingi lakini ni maskini kama Kagera tu ?
Kwa hiyo wewe ndio unanifundisha Mimi kuhusu Njombe kwetu au? Acha ujinga wewe ,90% ya mashamba ya miti ni watu binafsi ,hayo makampuni ni kiduchu sana.Unaruka ruka tu nakupa mfano mmoja, njombe kuna uzalishaji mkubwa wa bidhaa za mbao lakini mashamba asilimia kubwa wamewekeza watu au makampuni machache na raia wengi wamebaki kuwa vibarua na mwisho wa siku pato la hayo mashamba wanahesabiwa raia ambao hawanufaiki zaidi ya kuwa vibarua, ila njoo Kagera mashamba yote ya miti yanamilikiwa na wananchi japo sio kiwango kikubwa sana lakini ela inaenda moja kwa moja kwa watu
Mbona Ruvuma ni mbali na Bandari lakini ni matajiri ? Huna hoja kabisa. Kagera ni maskini kwa sababu hawana ardhi, wana urasimu, mzee hawezi kuruhusu mtoto wake alime shamba lake mpaka afe na akifa anatoa wosia na kurithisha mtoto mmoja wa kiume anayempenda.Geographical location ya mkoa wa Kagera na rasilimali zake haziuruhusu uchangie pakubwa kwenye pato la taifa. Hakuna viwanda, nani ajenge kiwanda kipo more than 1000km kutoka bandarini? Malighafi zitafikaje na finished products zitafikaje.
Hakuna migodi wala utalii wa maana sasa kodi serikali ipate kutoka wapi.
Mkoa umezungukwa na nchi maskini Rwanda, Burundi na Uganda ambazo nchi hizo zina mazao yaleyale yanayopatikana mkoa huo. Hakuna exchange ya products.
Mkoa hauna miradi ya uzalishaji ya serikali. Hutosikia kimejengwa kiwanda cha kahawa, wala mazao ya mbao, wala soko la mataifa jirani.
Serikali haitaki kuona mkoa unaendelea kwenye kilimo. Ikitokea fursa yoyote ya kilimo serikali inaona wivu, hivi Tanzania hii kuna zao linaloshushwa bei mara 10 kama ilivyo kwa vanilla? Leo kilo ni 100,000 mwakani kilo 10,000 na wanunuaji hamna. Hilo zao lingekuwa kubwa huko kuliko mkoa wowote.
Mikoa inayolima mahindi na mpunga haizuiliwi kuuza nje hata kama inapandisha gharama ya chakula kwa soko la ndani ila Kagera kuuza kahawa nje ni jambo gumu sana, wakati nchi ikikosa kahawa haina hamna kinachobadilika.
Mkoa unapakana na nchi nyingi hivyo ni hatarishi kwa magonjwa ya kuambukiza, vita na uhamiaji ikitokea machafuko kwa majirani. Hayo yote yanatokea na hakuna jitihada za serikali kupunguza madhara, kwanini baada ya vita ya Kagera tulilipwa reparations na Uganda. Kwenye hiyo hela kuna iliyoenda mkoa ule kufidia athari? Majengo, madaraja, shule na vifo vingi vilitokea kule ila hela ya fidia haikwenda.
Tetemeko lilitokea michango jamaa akaipeleka anakojua yeye.
Kuna tofauti ya eneo kuwa maskini na watu wa eneo kuwa maskini. Wapemba wana maduka Kariakoo na wamejaa nchi nzima wakinunua na kuuza bidhaa, ambaye hajawahi kwenda kwao hawezi amini ukimwambia hawana hata vyoo wanajisaidia baharini na vichakani.
Serikali ikiwa na wivu na eneo haliwezi endelea. Pwani inapewa kila kitu na haijulikani kwanini. Shinyanga ina umaskini sana na matukio ya kutisha ukiachana na migodi ya wazungu. Morogoro imejaa wageni kuna fursa za kutosha ila kuna makabila uko wakimaliza mavuno wanapiga sherehe mazao yanaisha wanasubiri msimu mwingine. Hii nchi distribution kwa mikoa ya mbali ni ndogo.
Simiyu labda inaweza kuwa iko chini kwenye makusanyo ya Serikali ila sina uhakika kama ni mkoa fukara kwa sababu ni mojawapo ya mikoa yenye ng'ombe wengi hapa Tanzania.Mkoa wa kwanza kwa ufukara ni Simiyu. Mkoa unaofuata ni Kagera (Mkoa uliotoa Maprofesa wengi nchini). Yani Simiyu tu ndio imeizidi Kagera kwa viwango vya umaskini. Ina maana hakuna uhusiano wowote kati ya SHULE na MAOKOTO?
Inakuaje Wahaya wamesoma sana halafu wanaburuza mkia kwenye kusaka noti? Ina maana kwenye zile Debate za sekondari Wahaya walichagua ule upande wa EDUCATION is bettet than MONEY? Wakora waitu.
Endelea kuisikia Kagera kwenye makaratasi ila uhalisia huku pesa zipo kwa wananchi tofauti na huko zinamilikiwa na watu wachacheKwa hiyo wewe ndio unanifundisha Mimi kuhusu Njombe kwetu au? Acha ujinga wewe ,90% ya mashamba ya miti ni watu binafsi ,hayo makampuni ni kiduchu sana.
Mfano mzuri ni Wilaya ya Makete ilikuwa ya mwisho Kwa mapato miaka 3 tuu Iliyopita,tangu Barabara zifunguke inaongoza Mkoa wa Njombe Kwa mapato hivyo hivyo Kudewa inaelekea huko.
Endeleeni kutafuta excuses za uvivu mtaishia hivyo hivyo
Alafu hao ndo wamejenga Kagera majumba mazuri au na hilo utabishi???Mbona Ruvuma ni mbali na Bandari lakini ni matajiri ? Huna hoja kabisa. Kagera ni maskini kwa sababu hawana ardhi, wana urasimu, mzee hawezi kuruhusu mtoto wake alime shamba lake mpaka afe na akifa anatoa wosia na kurithisha mtoto mmoja wa kiume anayempenda.
Baada ya tukio hilo watoto wengi hukimbilia mikoa mingine kuja kuwa boda boda au kwe ye vibanda vya mpesa na wasichana kuwa maabamedi.
Kwanza waelewe kwamba huko Shinyanga wanakodharau ndio kuna wakulima stadi wa mpunga, unakuta msukuma mmoja tu kwa mwaka anavuma magunia mpaka 800 ya mpunga. Mhaya anaweza hiyo ? Nenda Kyamuyorwa na Buligi huko hata Karagwe wasukuma wemeingia huko na wamenunua mbuga na wanapiga mpunga hadi wahaya na wanyambo wanashangaa. Bado msukuma ana ng'ombe na kila siku usukumani miji midogo ya kibiashara inazaliwa kutokana na uchapakazi wa wasukuma. Angali Katoro Geita, Lunzewe, Masumbwe, Nyarugusu, Lamadi, Humgumalwa, kagongwa, n.k. kwa vyovyote vile lazima Shinyanga iwe juu tu ya KageraWewe acha ujuaji wananchi wa Shinyanga wana kipato kikubwa kuzidi nyinyi! Chukulia kwa mfano Wilaya ya Kahama na Msalala ambayo ina watu wengi zaidi ya asilimia 50% ya wakazi wa shinyanga unaweza kulinganisha kipato chao na wananchi wa wilaya gani hapo Kagera! Mnapenda sana sifa za kijinga! Mji wa Kahama unaizidi mpaka Bukoba makusanyo ya TRA na unawafanya biashara wengi kuliko Bukoba mjini! Migodi midogo midogo na biashara Kahama ni ya wananchi wa Kawaida na wengi ni Wasukuma! Kama mnasingizia migodi vipi kuhusu Kilimo? Mbona mikoa wenye hali ya hewa kama nyinyi iko juu kuliko nyinyi? Mfano mna mji gani wa Kibiashara hapo kagera wa kulingana hata na Katoro Geita?
Huko Kwa maskini nimeghairi kuja ntapoteza pesa zangu Bure,Bora niende Kigoma nimeona kunakucha sanaEndelea kuisikia Kagera kwenye makaratasi ila uhalisia huku pesa zipo kwa wananchi tofauti na huko zinamilikiwa na watu wachache
Yani mchango wangu wote umeona nimetaja umbali pekee? Ina maana vyote nilivyotaja hujasoma umesoma tu suala la umbali.Mbona Ruvuma ni mbali na Bandari lakini ni matajiri ? Huna hoja kabisa. Kagera ni maskini kwa sababu hawana ardhi, wana urasimu, mzee hawezi kuruhusu mtoto wake alime shamba lake mpaka afe na akifa anatoa wosia na kurithisha mtoto mmoja wa kiume anayempenda.
Baada ya tukio hilo watoto wengi hukimbilia mikoa mingine kuja kuwa boda boda au kwe ye vibanda vya mpesa na wasichana kuwa maabamedi.
Sasa Msukuma mwenye familia ya watu 40 kwa nini asizalishe, Ila mwisho wa siku ukigawanya kwa hao watu hakuna alichofanyaKwanza waelewe kwamba huko Shinyanga wanakodharau ndio kuna wakulima stadi wa mpunga, unakuta msukuma mmoja tu kwa mwaka anavuma magunia mpaka 800 ya mpunga. Mhaya anaweza hiyo ? Nenda Kyamuyorwa na Buligi huko hata Karagwe wasukuma wemeingia huko na wamenunua mbuga na wanapiga mpunga hadi wahaya na wanyambo wanashangaa. Bado msukuma ana ng'ombe na kila siku usukumani miji midogo ya kibiashara inazaliwa kutokana na uchapakazi wa wasukuma. Angali Katoro Geita, Lunzewe, Masumbwe, Nyarugusu, Lamadi, Humgumalwa, kagongwa, n.k. kwa vyovyote vile lazima Shinyanga iwe juu tu ya Geita
[emoji23][emoji23][emoji23] Bukoba haina hasara, ila ungekuja kutoa tongotongo maana Kagera kuna ghorofa 700+ hakuna mkoa wowote wa kusogeza pua huko kusini zaidi ya Mbeya inayobebwa na kandaHuko Kwa maskini nimeghairi kuja ntapoteza pesa zangu Bure,Bora niende Kigoma nimeona kunakucha sana
Huko Morogoro, Chunya, Katavi na Kigoma msukuma ndio mkulima stadiSasa Msukuma mwenye familia ya watu 40 kwa nini asizalishe, Ila mwisho wa siku ukigawanya kwa hao watu hakuna alichofanya
Mbona Mwanza, Geita na Shinyanga iko juu ya Kagera ? Wahaya sasa wameamua kuhamia usukumani maana wameona kutegemea migomba tu hakuwasaidii na kwa hatua hiyo nawaunga mkono kabisa.Sasa Msukuma mwenye familia ya watu 40 kwa nini asizalishe, Ila mwisho wa siku ukigawanya kwa hao watu hakuna alichofanya
Hizo Gorofa 700 plus ni za Mkoa mzima sio Bukoba[emoji23][emoji23][emoji23] Bukoba haina hasara, ila ungekuja kutoa tongotongo maana Kagera kuna ghorofa 700+ hakuna mkoa wowote wa kusogeza pua huko kusini zaidi ya Mbeya inayobebwa na kanda
Sehemu gani Njombe mkuu?Toa Njombe hapo mkuu.
Nilifika Bukoba kwa mara ya kwanza mwaka 2020, nilienda mpaka Mutukula. Ni "nchi" nzuri iliyoshiba ukijani kutokana na ardhi yenye rutuba na hali ya hewa nzuri. Kwa mwonekano wa haraka, wakazi wake hawakumbwi na tatizo la njaa.Mkoa wa kwanza kwa ufukara ni Simiyu. Mkoa unaofuata ni Kagera (Mkoa uliotoa Maprofesa wengi nchini). Yani Simiyu tu ndio imeizidi Kagera kwa viwango vya umaskini. Ina maana hakuna uhusiano wowote kati ya SHULE na MAOKOTO?
Inakuaje Wahaya wamesoma sana halafu wanaburuza mkia kwenye kusaka noti? Ina maana kwenye zile Debate za sekondari Wahaya walichagua ule upande wa EDUCATION is bettet than MONEY? Wakora waitu.
Kulima nilime mwenyewe, lakini kuuza nipangiwe na mwingine? Aaagh! Huo ni uonevu sasa.Mikoa inayolima mahindi na mpunga haizuiliwi kuuza nje hata kama inapandisha gharama ya chakula kwa soko la ndani ila Kagera kuuza kahawa nje ni jambo gumu sana, wakati nchi ikikosa kahawa haina hamna kinachobadilika.