Mkoa wa Kagera na Ufukara

Mkoa wa Kagera na Ufukara

Hizo Gorofa 700 plus ni za Mkoa mzima sio Bukoba

Pili Morogoro nayo Iko kwenye Mikoa maskini tuu japo Ina gorofa kuzidi hata Mbeya.

Wahaya walioko Mikoa mingine kazini wanashindana kujenga majumba ya gorofa Vijijini kwao ila hayazalishi.
We si umesema wamesoma ila hawana ela [emoji1787][emoji1787] acha kujikanyaga
 
kwani google mnatumia kuangalia x?Marekani kwa utajiri kwa muktadha unaoongelewa hapa,HAONGOZI,kazidiwa na kina luxembourg,qatar
Anakurupuka per capital sio kigezo pekee cha kusema watu wa eneo fulani ni maskini na wengine ni matajiri kwa sababu inaamisha pesa za tajiri mmoja na kumpatia maskini ili aonekane nae ni tajiri
 
Sema mwamba wewe ni Mzalendo kwelikweli na wapenda kwenu kwelikweli...
[emoji108][emoji108]
Waache waendelee kusema wahaya wahaya..

Bukoba ndo inazidi kupaa hiyo .
Sasa kunajengwa Dual carriageway km 5.1...
Kunajengwa bandari mpya na port terminal
Mv mwanza mbioni kuanza safari za bukoba na mwanza
Airport ya bukoba inajengewa vip terminal na kuwekewa taa za kuongoza ndege
Bukoba kunajengwa vyuo vikuu viwili...udsm tawi la bukoba na Nelson Mandela ujenzi unaendelea
Bukoba kunajengwa stendi kuu ya daladala
Na mwakani stendi kuu ujenzi unaanza

Na mambo mengine mengi tu...
Ukiondoa Dodoma na Dar ni mkoa gani wenye miradi yote hii kwa wakati mmoja

Wapo hapa wanawacheka wahaya ( ambao wako wanaistimulate serikali kuwekeza kagera na kuijenga Bukoba)
Ukiangalia wengi mikoani kwao ni majanga tu...ukiachana stendi zilizojengwa na magu hakuna kinachoendelea kwenye mikoa yao...wengine hado vijijini kwao hakuna shule kabisa...wako waibeza kagera yenye shule zaidi ya 1000...

Bukoba at least matatizo yake ni matatu stendi, soko, na barabara kuchoka...

Lakin kuna miji mingine hata barabara za mitaa haina...watz wengi ni wajinga sana...mtu anarefer dar kulinganisha Bukoba sio mkoani kwake...mtu kwao ni njombe, musoma, simiyu, kigoma, mtwara, morogoro, moshi, singida, lindi nk...yupo hapa kuicheka Bukoba wakati kiuhalisia Bukoba inaedelea kwasi...Tazama mbeya jiji..kuna barabara moja tu na mataa sehemu moja tu..yuko hapa anaicheka Bukoba yenye mataa ya kuongoza magari sehemu zaidi ya tano na wala sio jiji
 
Kwanza waelewe kwamba huko Shinyanga wanakodharau ndio kuna wakulima stadi wa mpunga, unakuta msukuma mmoja tu kwa mwaka anavuma magunia mpaka 800 ya mpunga. Mhaya anaweza hiyo ? Nenda Kyamuyorwa na Buligi huko hata Karagwe wasukuma wemeingia huko na wamenunua mbuga na wanapiga mpunga hadi wahaya na wanyambo wanashangaa. Bado msukuma ana ng'ombe na kila siku usukumani miji midogo ya kibiashara inazaliwa kutokana na uchapakazi wa wasukuma. Angali Katoro Geita, Lunzewe, Masumbwe, Nyarugusu, Lamadi, Humgumalwa, kagongwa, n.k. kwa vyovyote vile lazima Shinyanga iwe juu tu ya Kagera
Mbona takwimu kama hiz sizioni?
images%20(1).jpg
 
Nimewahi kufika Kagera mwaka jana, lakini nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Kagera inazidiwa na Singida, Njombe, Mtwara, Lindi, Katavi n.k
Njombe sio maskini wewe na population ya Njombe ni laki 8 tu kuna mazao.mengi sana ya misitu kama mbao na magogo. Kuna mazao ya lilimo pia madini ya mkaa wa mawe na chuma.. Njombe hakuna nyumba ya udongo
 
Mkoa ndio masikini lakini wahaya sio masikini! Angalia hata hapo mtaani kwako kama kuna familia ya kihaya alafu masikini! Vigezo ni vya kiserikari katika kiwango cha kukisanya kodi! Kama hakuna uwekezaji serikali itakusanya nini? Kalaghabao! Wahaya wako vizuri kimaokoto
Very contradictory statement watu wanakuwaje na pesa kama hamna uwekezaji?
 
Mkoa ndio masikini lakini wahaya sio masikini! Angalia hata hapo mtaani kwako kama kuna familia ya kihaya alafu masikini! Vigezo ni vya kiserikari katika kiwango cha kukisanya kodi! Kama hakuna uwekezaji serikali itakusanya nini? Kalaghabao! Wahaya wako vizuri kimaokoto
Very contradictory statement watu wanakuwaje na pesa kama hamna uwekezaji?
Mleta mada hujawahi kutembea! Ulishawahi kwenda na kuona maisha ya watu wa shinyanga ndani ndani au hata viunga vya mji wa shinyanga? Nenda utaniletea mrejesho! Makusanyo ya kodi (TRA) ya shinyanga yanatokana na wingi wa kodi ya migodi. Hela ya migodi haiingii mikononi mwa wananchi inaenda mojakwamkoja katika kapu la serikalini na inakwenda kujenga miundombinu katika mikoa yenye ushawishi wa utashi wa kisiasa na kuacha hali ya maisha ya watu wa shinyanga wakiwa fukara! Wakileta takwimu wanasema shinyanga hiko juu lakini angalia wananchi wake hoi taabani! Mkoa wa kagera tangu henzi za mwalimu serikali haijawahi kuwekeza! Sasa itachuma mahali ambapo hawajawekeza? Wahaya walijitahidi na wanajitahidi kadri ya uwezo wao kutumia kidogo walichonacho kusapoti watu wao! Kwataarifa yako hicho kidogo kinachoonekana serikali inakipata kinatokana na shughuri za moja kwa moja za wanakagera sio makampuni au taasisi kubwa zinazohodhi uchumi na kuwaacha wananchi fukara! Nikuulize tena swali hapa jukwaani! Kila mtu aangalie mtaani kwake ni wahaya wangapi masikini? Wahaya ni kabila lililojuu katika hali bora ya maisha na wanakimbizana na wachaga!
Utetezi wako ni dhaifu sana kaisiki. Umaskini unapimaje mtaani kwako?based on tribal affiliations ?! Karudie go do some research instead of reading comic novels. Hizi ni tafiti sio maneno ya kanga ziko based kwa wilaya kata na mikoa sio makabila kwani kagera wanakaa wahaya pekee?
Facts mkoa ni maskini kwa sababu zifuatazo
1.An agrarian region ( no industry at all)
2. Poor logistics district don't have good road networks and the region isn't well connected to other regions.
3. Transport across lake Victoria is unreliable.
4. Local people lack enterprise character
5. Surrounded by Agrarian countries Rwanda and uganda
Don't have much to offer.
6. Lack of economic diversity
 
Tatizo mnadaka topic bila kujisomea kujua mambo, hicho kipimo cha per capital hakiwezi kuidhinisha hali ya uchumi wa watu wote wa eneo husika na ndo maana China na Marekani haziongozi kwenye kipimo hicho japo zina uchumi mkubwa
Utetezi hafifu,mbona likija jambo zuri kwa mkoa WA Kagera ninyi wahaya mnawahi siti za mbele?
Hamna uchumi nyie,igeni kwa Wachaga wajanja wameshika vyote Elimu na uchumi
 
Back
Top Bottom