kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
So kwa kuwa kagera ina per capital ndogo ndo wahaya wasifnye sherehe na kusomesha watoto wao shule nzr...Sana yaani majigambo na ujinga mtupu wa kuongea kizungu
Sema mwamba wewe ni Mzalendo kwelikweli na wapenda kwenu kwelikweli...Endelea kujidanganya...
kwani google mnatumia kuangalia x?Marekani kwa utajiri kwa muktadha unaoongelewa hapa,HAONGOZI,kazidiwa na kina luxembourg,qatarAliyekuambia Marekani haiongozi ni nani au unajifurahisha tu.
We si umesema wamesoma ila hawana ela [emoji1787][emoji1787] acha kujikanyagaHizo Gorofa 700 plus ni za Mkoa mzima sio Bukoba
Pili Morogoro nayo Iko kwenye Mikoa maskini tuu japo Ina gorofa kuzidi hata Mbeya.
Wahaya walioko Mikoa mingine kazini wanashindana kujenga majumba ya gorofa Vijijini kwao ila hayazalishi.
Sasa kwani wote Wana hela?We si umesema wamesoma ila hawana ela [emoji1787][emoji1787] acha kujikanyaga
Tafuta maarifa mkuu kwani hata ku google huwezi, per capital Marekani umeiona wapi imeongeza??Aliyekuambia Marekani haiongozi ni nani au unajifurahisha tu.
Anakurupuka per capital sio kigezo pekee cha kusema watu wa eneo fulani ni maskini na wengine ni matajiri kwa sababu inaamisha pesa za tajiri mmoja na kumpatia maskini ili aonekane nae ni tajirikwani google mnatumia kuangalia x?Marekani kwa utajiri kwa muktadha unaoongelewa hapa,HAONGOZI,kazidiwa na kina luxembourg,qatar
Waache waendelee kusema wahaya wahaya..Sema mwamba wewe ni Mzalendo kwelikweli na wapenda kwenu kwelikweli...
[emoji108][emoji108]
Hakuna nchi yenye watu wake wote wana ela ila trust me Wahaya bukoba wameitendea Haki (sio mjini bali vijijini)Sasa kwani wote Wana hela?
Mbona takwimu kama hiz sizioni?Kwanza waelewe kwamba huko Shinyanga wanakodharau ndio kuna wakulima stadi wa mpunga, unakuta msukuma mmoja tu kwa mwaka anavuma magunia mpaka 800 ya mpunga. Mhaya anaweza hiyo ? Nenda Kyamuyorwa na Buligi huko hata Karagwe wasukuma wemeingia huko na wamenunua mbuga na wanapiga mpunga hadi wahaya na wanyambo wanashangaa. Bado msukuma ana ng'ombe na kila siku usukumani miji midogo ya kibiashara inazaliwa kutokana na uchapakazi wa wasukuma. Angali Katoro Geita, Lunzewe, Masumbwe, Nyarugusu, Lamadi, Humgumalwa, kagongwa, n.k. kwa vyovyote vile lazima Shinyanga iwe juu tu ya Kagera
90% ni maskini huko KageraHakuna nchi yenye watu wake wote wana ela ila trust me Wahaya bukoba wameitendea Haki (sio mjini bali vijijini)
Huna hoja umebaki kujifariji tu maskini wa njombe90% ni maskini huko Kagera
Njombe ni top 10 ya Mikoa iliyoendekea , Kagera 90% ni maskini wa kutupwaHuna hoja umebaki kujifariji tu maskini wa njombe
Njombe sio maskini wewe na population ya Njombe ni laki 8 tu kuna mazao.mengi sana ya misitu kama mbao na magogo. Kuna mazao ya lilimo pia madini ya mkaa wa mawe na chuma.. Njombe hakuna nyumba ya udongoNimewahi kufika Kagera mwaka jana, lakini nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Kagera inazidiwa na Singida, Njombe, Mtwara, Lindi, Katavi n.k
Very contradictory statement watu wanakuwaje na pesa kama hamna uwekezaji?Mkoa ndio masikini lakini wahaya sio masikini! Angalia hata hapo mtaani kwako kama kuna familia ya kihaya alafu masikini! Vigezo ni vya kiserikari katika kiwango cha kukisanya kodi! Kama hakuna uwekezaji serikali itakusanya nini? Kalaghabao! Wahaya wako vizuri kimaokoto
Very contradictory statement watu wanakuwaje na pesa kama hamna uwekezaji?Mkoa ndio masikini lakini wahaya sio masikini! Angalia hata hapo mtaani kwako kama kuna familia ya kihaya alafu masikini! Vigezo ni vya kiserikari katika kiwango cha kukisanya kodi! Kama hakuna uwekezaji serikali itakusanya nini? Kalaghabao! Wahaya wako vizuri kimaokoto
Utetezi wako ni dhaifu sana kaisiki. Umaskini unapimaje mtaani kwako?based on tribal affiliations ?! Karudie go do some research instead of reading comic novels. Hizi ni tafiti sio maneno ya kanga ziko based kwa wilaya kata na mikoa sio makabila kwani kagera wanakaa wahaya pekee?Mleta mada hujawahi kutembea! Ulishawahi kwenda na kuona maisha ya watu wa shinyanga ndani ndani au hata viunga vya mji wa shinyanga? Nenda utaniletea mrejesho! Makusanyo ya kodi (TRA) ya shinyanga yanatokana na wingi wa kodi ya migodi. Hela ya migodi haiingii mikononi mwa wananchi inaenda mojakwamkoja katika kapu la serikalini na inakwenda kujenga miundombinu katika mikoa yenye ushawishi wa utashi wa kisiasa na kuacha hali ya maisha ya watu wa shinyanga wakiwa fukara! Wakileta takwimu wanasema shinyanga hiko juu lakini angalia wananchi wake hoi taabani! Mkoa wa kagera tangu henzi za mwalimu serikali haijawahi kuwekeza! Sasa itachuma mahali ambapo hawajawekeza? Wahaya walijitahidi na wanajitahidi kadri ya uwezo wao kutumia kidogo walichonacho kusapoti watu wao! Kwataarifa yako hicho kidogo kinachoonekana serikali inakipata kinatokana na shughuri za moja kwa moja za wanakagera sio makampuni au taasisi kubwa zinazohodhi uchumi na kuwaacha wananchi fukara! Nikuulize tena swali hapa jukwaani! Kila mtu aangalie mtaani kwake ni wahaya wangapi masikini? Wahaya ni kabila lililojuu katika hali bora ya maisha na wanakimbizana na wachaga!
Utetezi hafifu,mbona likija jambo zuri kwa mkoa WA Kagera ninyi wahaya mnawahi siti za mbele?Tatizo mnadaka topic bila kujisomea kujua mambo, hicho kipimo cha per capital hakiwezi kuidhinisha hali ya uchumi wa watu wote wa eneo husika na ndo maana China na Marekani haziongozi kwenye kipimo hicho japo zina uchumi mkubwa