Hii dhana Yako Iko sawa kabisa Kwa muktadha wa Mikoa ambayo Ina migodi mikubwa kama Shinyanga,Geita na Mara.
Hata hivyo Mkoa kama Kagera una Hali ya hewa nzuri Kuliko Mikoa Mingi Kwa nini Watu wake wasijihusishe Kwa kilimo kama Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ambayo Haina Cha migodi Wala uwekezaji wowote wa Serikali lakini Iko Juu kwenye list Kwa kazi za Kilimo tuu.
Kwa hiyo hakuna excuses hapa,nyie ni wavuvi mdomo umezidi.
Mwisho kabisa Serikalini iwe na formula ya kugawa rasilimali za Taifa Kwa usawa,hii tabia ya kujenga Dar,Dom,Arusha na Mwanza pekee Kwa pesa za Mikoa mingine ikome mara Moja.Mimi Huwa naandika mada za kupinga hili ila Huwa mnaniona mjinga.