Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Unahitimisha ni kwa sababu umeishiwa .hoja ,,all in all ,,Mbeya inahitaji safari ndefu ili ikae nafasi nzuri kiuchumi....
Ili iweze kufanya vizuri inatakiwa ifanye yafuatayo :
Imodernize agriculture system
Ivutie wawekezaji ili kustimulate biashara ..
iboreshe mji na kuwa na masterplan
I diversity economy kutoka kwenye mji wa wakulima na wafanyakazi hadi mji wa wafanya biashara na watoa huduma .
Iattract emigration ya watu kutoka mikoa na miji mingine ili kukuza population ya jiji
Iboreshe sekta ya teknolojia na huduma katika .
Safari ndefu ipi? Yaani difference ya GDP na Mwanza ni 3T na tuko namba 3 nyuma yenu, wakati huo huo living standard ya Mbeya ni mara 2 ya Mwanza..Hapo nani mwenye safari ndefu?

We kima wa Saanane nyie Ndio mna safari ndefu maana mko wengi lakini mapato tuu ya Halmashauri mnazidiwa na Mbeya afu unaongea ujinga hapa..

Sisi tunahitaji safari ndefu labda ya idadi ya Watu nothing else..

Tuna barabara zetu kama 3 hivi za muhimu zikikamilika hizi tutawazidi hata Hiyo GDP ambayo Ndio inawastahi kwa Sasa.
 
Wewe nae ni kajinga,mapato ya Mkoa yanaletwa na upepo? Biashara ni sehemu ya kuleta mapato ya Mkoa.

Hoja ni GDP ya Mkoa vs GDP per Capita..

Nahitimisha,licha ya kwamba tunawajambia in terms of per Capita ila wingi wenu bado unakuwa ni catalyst ya kuvutia biashara hivyo kukuza GDP ya Mkoa.
population ni direct proportional to GDP growth lakini ni ceterius peribus ...GDP haikuzwi kwa population pekee yake. .note Russia ina GDP ya 1 trilioni USD na population ya milioni 150 ,.Italy Ina GDP ya 2 trilioni USD na population ya milioni 60....
...kwa sababu ili upate GDP katika bei ya soko ..unachukua uwekezaji +matumizi+thamani ya bidhaa na huduma +(thamani halisi ya bidhaa na huduma zilizouzwa nje ya eneo husika -thamani ya bidhaa au huduma kutoka mikoa mingine zilizouzwa ndani ya eneo husika).
 
population ni direct proportional to GDP growth lakini ni ceterius peribus ...GDP haikuzwi kwa population pekee yake. .note Russia ina GDP ya 1 trilioni USD na population ya milioni 150 ,.Italy Ina GDP ya 2 trilioni USD na population ya milioni 60....
...kwa sababu ili upate GDP katika bei ya soko ..unachukua uwekezaji +matumizi+thamani ya bidhaa na huduma +(thamani halisi ya bidhaa na huduma zilizouzwa nje ya eneo husika -thamani ya bidhaa au huduma kutoka mikoa mingine zilizouzwa ndani ya eneo husika).
Ndio maana nikakwambia labda nikimaanisha nakukejeri na nikapigilia msumari kwamba tuna barabara zetu 4 ,zikikamilika hizo tutawatandika fimbo kwenye hako la GDP uchwara kanakowastahi kwa sasa so long as we have more resources than your mkoa.
 
population ni direct proportional to GDP growth lakini ni ceterius peribus ...GDP haikuzwi kwa population pekee yake. .note Russia ina GDP ya 1 trilioni USD na population ya milioni 150 ,.Italy Ina GDP ya 2 trilioni USD na population ya milioni 60....
...kwa sababu ili upate GDP katika bei ya soko ..unachukua uwekezaji +matumizi+thamani ya bidhaa na huduma +(thamani halisi ya bidhaa na huduma zilizouzwa nje ya eneo husika -thamani ya bidhaa au huduma kutoka mikoa mingine zilizouzwa ndani ya eneo husika).
Other way GDP =investment+consumption+government spending+net export and imports
 
Ndio maana nikakwambia labda nikimaanisha nakukejeri na nikapigilia msumari kwamba tuna barabara zetu 4 ,zikikamilika hizo tutawatandika fimbo kwenye hako la GDP uchwara kanakowastahi kwa sasa so long as we have more resources than your mkoa.
Kwan Mwanza SGR ikikamilika itakuwaje ,,,, daraja la Busisi je .. mbona unakuwa shortsighted
 
Ndio maana nikakwambia labda nikimaanisha nakukejeri na nikapigilia msumari kwamba tuna barabara zetu 4 ,zikikamilika hizo tutawatandika fimbo kwenye hako la GDP uchwara kanakowastahi kwa sasa so long as we have more resources than your mkoa.
Ukiangalia figures za serikali GDP growth rate ya mwanza kwa mwaka ni billion 700 na hapo ilikuwa ni covid 19 ..[emoji116][emoji116] angalia msemaji wa serikali akifafanua figures
Screenshot_20220724-054820_1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220724-054908_1.jpg
    Screenshot_20220724-054908_1.jpg
    34.7 KB · Views: 6
Hakuna impacts yeyote ya maana italetwa na sgr,hiyo ni tembo mweupe.
Kwamba wewe ni proffesional kuliko board ya wataalamu waliomshauri raisi ....
ngoja nikwambie ..mwanza ni jiji linalofanya safari nyingi na jiji la dar kuliko mji wowote... usafiri wa mabasi na ndege una route nyingi ..mwanza ni hub ya great lakes ko SGR itarahisisha biashara baina ya nchi za maziwa makuu kupitia bandari ya mwanza ..unavyosema ni white elephant huo ni wivu usio na msingi
 
Ukiangalia figures za serikali GDP growth rate ya mwanza kwa mwaka ni billion 700 na hapo ilikuwa ni covid 19 ..[emoji116][emoji116] angalia msemaji wa serikali akifafanua figuresView attachment 2301879
Ukiweka figures uwe unaweka zilizokamilika Ili tufanye ulinganisho..

By the way hiyo growth sio kwamba itakuwa constant miaka yote na kwamba kwingine kumesimama..

Nafahamu Kwa miaka ya hivi karibuni itakuwa hivyo Kwa sababu za investment kubwa iliyofanywa na Serikali Kwa miaka 5 iliyopita ila itapungua tuu by 2030 au itazidiwa na Mikoa kama Mbeya Kwa miaka hiyo..

Kwa sababu tutakuwa tumeanza kuzalisha madini kwenye migodi Mikubwa na miundombinu mbinu mingi itakuwa imeshafunguka.
 
Kwamba wewe ni proffesional kuliko board ya wataalamu waliomshauri raisi ....
ngoja nikwambie ..mwanza ni jiji linalofanya safari nyingi na jiji la dar kuliko mji wowote... usafiri wa mabasi na ndege una route nyingi ..mwanza ni hub ya great lakes ko SGR itarahisisha biashara baina ya nchi za maziwa makuu kupitia bandari ya mwanza ..unavyosema ni white elephant huo ni wivu usio na msingi
Huo ni mradi wa kisiasa hakuna Cha professional hapo ni Mwendazake alilazimisha tuu..

Sgr italeta tija huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220723-205124.png
    Screenshot_20220723-205124.png
    190.1 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220723-205321.png
    Screenshot_20220723-205321.png
    109.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220723-205107.png
    Screenshot_20220723-205107.png
    137.5 KB · Views: 6
Huo ni mradi wa kisiasa hakuna Cha professional hapo ni Mwendazake alilazimisha tuu..

Sgr italeta tija huku [emoji116]
SGR proposal yake imeandaliwa awamu ya nne ,,, Magufuli kafanya implementation tu ..

Uganda wameanza kutumia bandari ya mwanza kwa mizigo kutoka bandari ya dar es salaam ..
Kukamilika kwa dry port ya fela kutawezesha mizigo ya kuelekea Burundi ,Rwanda ,na east DRC kuchukuliwa mwanza badala ya kwenda hadi dar...
Screenshot_20220722-001611.jpg
 
Kwan Mwanza SGR ikikamilika itakuwaje ,,,, daraja la Busisi je .. mbona unakuwa shortsighted
Mwongee huyo kijana hata stand mbili za kisasa na soko mkuu la kisasa vinaelekea kukamirika pia upanuzi wa barabara Usagara mjini kilometer kama 20 hivi uko njiani! Mbeya ni kijiji tu kwa mwanza kwa kila kitu!
 
Ukiweka figures uwe unaweka zilizokamilika Ili tufanye ulinganisho..

By the way hiyo growth sio kwamba itakuwa constant miaka yote na kwamba kwingine kumesimama..

Nafahamu Kwa miaka ya hivi karibuni itakuwa hivyo Kwa sababu za investment kubwa iliyofanywa na Serikali Kwa miaka 5 iliyopita ila itapungua tuu by 2030 au itazidiwa na Mikoa kama Mbeya Kwa miaka hiyo..

Kwa sababu tutakuwa tumeanza kuzalisha madini kwenye migodi Mikubwa na miundombinu mbinu mingi itakuwa imeshafunguka.
Hivyo vyote unavyovisemea ww huku vinazidi kufanyika ..na hapo productions ya pamba ikirudi ndo kabisa tutashuhudia a booming economy Kama enzi Franklin rooservert
Screenshot_20220721-135804.jpg
 
SGR proposal yake imeandaliwa awamu ya nne ,,, Magufuli kafanya implementation tu ..

Uganda wameanza kutumia bandari ya mwanza kwa mizigo kutoka bandari ya dar es salaam ..
Kukamilika kwa dry port ya fela kutawezesha mizigo ya kuelekea Burundi ,Rwanda ,na east DRC kuchukuliwa mwanza badala ya kwenda hadi dar...
View attachment 2301888
Mzee wewe elewa tuu kwamba sgr Mwanza ni pambo na itakuwa inaleta hasara tuu,Yaani itakuwa ni huduma kwa abiria ila kwa mizigo haitakuja kuleta chochote cha maana,ni tembo mweupe.

Namba 6 ndio inaongea, 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220722-185451_Twitter.jpg
    Screenshot_20220722-185451_Twitter.jpg
    30.2 KB · Views: 6
Hivyo vyote unavyovisemea ww huku vinazidi kufanyika ..na hapo productions ya pamba ikirudi ndo kabisa tutashuhudia a booming economy Kama enzi Franklin rooservertView attachment 2301894
Hakuna shida ila potential kubwa kwenye sector zote iko Mbeya Mzee..

Unazungumzia hako la bilioni 2 wakati Pale Songwe kuna Mbeya Tex,pamba ikirudi itarudi kote kote sio huko tuu..

Unajua zao la pareto wewe? Unajua parachichi wewe? Serikali inajenga coldroom Songwe airport tuanze shipment ya Ulaya moja kwa moja..

Na Mazao mengine lundo ya shamba..Ngoja nisubirie 2030 nione itakuaje tuombe uzima.
 
Mzee wewe elewa tuu kwamba sgr Mwanza ni pambo na itakuwa inaleta hasara tuu,Yaani itakuwa ni huduma kwa abiria ila kwa mizigo haitakuja kuleta chochote cha maana,ni tembo mweupe.

Namba 6 ndio inaongea, [emoji116]
Mizigo ya Uganda, Burundi ,na Rwanda inapitia kanda ya ziwa ..kongo imegawanyika mizigo ya mashariki kwa kongo miji ya GOMA na beni wanapitia kanda ya ziwa ... Lubumbashi wanapitia tunduma ....unaposema SGR ya mwanza ni elephants lazima utumie akili kudadavua mambo ...isaka na mwanza kunawekwa dry Ports hutaona malori mengi dar ...
Pia sgr phase 2 itajengwa toka tabora hadi kigoma kupitia katavi ko hyo bandari ya kalemie iko on plan
 
Hakuna shida ila potential kubwa kwenye sector zote iko Mbeya Mzee..

Unazungumzia hako la bilioni 2 wakati Pale Songwe kuna Mbeya Tex,pamba ikirudi itarudi kote kote sio huko tuu..

Unajua zao la pareto wewe? Unajua parachichi wewe? Serikali inajenga coldroom Songwe airport tuanze shipment ya Ulaya moja kwa moja..

Na Mazao mengine lundo ya shamba..Ngoja nisubirie 2030 nione itakuaje tuombe uzima.
Sawa ngoja tuone .....
Wakati wenzenu tunasafirisha Minofu ya samaki nyie subirini maparachichi ambayo tayari wakenya washamaliza soko
 
Nawasalimu kwa jina la JMT, natumai Kazi zinaendelea.

Mkoa wa Mbeya umevunja rekodi ya Makusanyo yake ya mapato ya ndani Kwa Halmashauri zake 7 Kwa kukusanya bil.45 sawa na zaidi ya asilimia 105.6% ya malengo.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa was Mbeya Juma Homela kwa Waandishi wa Habari na kuzipongeza Halmashauri za Mkoa huo pamoja na Sektetatieti ya Mkoa ikiongizwa na RAS wa Mbeya.

Kila Halmashauri imevuka malengo waliyopangiwa na Serikali hivyo kuziwezesha kutoa huduma na kutekelezwa Kwa miradi iliyopangwa kwa asilimia 100.

My Take:

Hii ndio maana Halisi Sasa ya Kufungua Nchi na Sasa matunda yanaonekana baada ya biashara mpya kuzidi kufunguliwa.

Hongera sana kwa serikali ya Rais Samia.👇
Mi nashangaa sana mkifurahia ukusanyaji wa mapato mkubwa
Halaf hatuoni cha maana kikifanyika kupitia hayo mapato🤨
 
Back
Top Bottom