The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #221
Sasa minofu na parachichi kipi kinaingiza pesa nyingi? Tafuta Takwimu utaona humu.Sawa ngoja tuone .....
Wakati wenzenu tunasafirisha Minofu ya samaki nyie subirini maparachichi ambayo tayari wakenya washamaliza soko
Wew jamaa inafurahisha...parachichi zinazidi Minofu ya samaki [emoji74][emoji74][emoji75]Sasa minofu na parachichi kipi kinaingiza pesa nyingi? Tafuta Takwimu utaona humu.
Tena mbali Sana ,kama mchele tuu umezidi mauzo ya mazao ya biashara ikiwemo korosho na pamba sembuse Parachichi?Wew jamaa inafurahisha...parachichi zinazidi Minofu ya samaki [emoji74][emoji74][emoji75]
Sangara pekee imeingiza zaidi ya billion 300 ,.nchini mwaka 221 .leta figures ya maparachichi kama yanazidi hapo ..na hapa sijaweka satoTena mbali Sana ,kama mchele tuu umezidi mauzo ya mazao ya biashara ikiwemo korosho na pamba sembuse Parachichi?
Ingia TAHA hapo utapata.
[emoji74][emoji74][emoji74][emoji75][emoji75]umekimbia ,,,,au siyo..nilikuwa nakuonyesha ma giant wa Mbeya ni wapi ... mbeya itabakia kuwa kibonde kwenye majiji yote .. Dodoma hamuiwezi, Arusha hamuiwezi,mwanza ndo kabisa ,tanga nayo strategically ipo juuJikite kwenye Hoja ya mapato ya Mbeya kuvunja rekodi.
Ukisema wakajifunze unakosea huko unakokutaja ni nguvu ya serikali hasa kipindi cha mwendezake,mbeya inaangaliwa kwa jicho baya na watawala(envy).Hongera sana, ila waboreshe mji, maana wana mji ambao hauna miundo mbinu. Barabara moja tu ya kupitisha malori ya kwenda Zambia, daladala za Uyole - soko matola, bajaji, bodaboda. Yaani ni shidaa.
Waende Arusha na Mwanza wakajifunze. Mitaa ya Mwanza ina barabara bora sana.
Maneno ya kiswahili swahili sana haya,wakwea nazi mmejaaliwa unafiki.Mbeya = Kijiji kikubwa
Alikuwa na wivu wa kijinga sana.Magufuli aliharibu sana taswira ya mkoa wa Mbeya. Aliharibu biashara na mifumo ya uchumi ya mkoa wa Mbeya.
Magufuli aliwaambia Wana M eya wasipoichagua CCM hatowapelekea maendeleo.
Nasema Asante Mungu kwa ukuu wako
Kuna ukweli,mbona ile barabara ya uyole kasumulu imejengwa miaka ya tisini lakini mpaka sasa bado ni imara?Kila mahali barabara ya lami inapojengwa udongo unapimwa, hali ya hewa inataliwa maanani na uzito wa magari unakadiriwa na mambo mengine mengi. Ukiona mahali barabara imejengwa ikaharabika bila kutumika muda mrefu sana basi ni kwamba imejengwa chini ya kiwango kwa makusudi, uzembe au kwa sababu mkandarasi hana uwezo unaostahili.
[emoji23][emoji23][emoji23]Magufuli we unaona alikuwa sawa?badilika uwe mtu[emoji2]Leo ndio nimejua kwanini una chuki na Mwanza pamoja na hayati magufuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ulitaka daraja la kigongo busisi lijengwe ziwa nyasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kufuatilia tamthilia huko sio size yako.Pambaneni na upumbavu wenu, Mbeya iendelee ili iweje?, mkoa kama mbeya unatakiwa kuwa mashamba kwaajili ya kulisha watanzania.
Nashangaa eti pembejeo ndio hitaji letu kisa kilimo na wao wafugaji barabara za nini kwani ng'ombe anataka barabara,mkuu mpuuzi ajibiwe kipuuzi.Wewe ndio mpumbavu hata hujielewi..
Ukipata pembejeo ndio zitakusaidia nini? Mchunga Ng'ombe unaweza tufundisha kilimo gani wewe kima?
Pembejeo zitakusaidia nini Bila barabara za kukufikisha shambani na za kusafirisha Mazao baada ya mavuno?
Taahira wewe uwe unafikiria kwanza.
Ukisema wakajifunze unakosea huko unakokutaja ni nguvu ya serikali hasa kipindi cha mwendezake,mbeya inaangaliwa kwa jicho baya na watawala(envy).
Boss ni Mwanza ipi unayosema Mwanza ya Somalia, Karagwe, Mpitimbi, Dareda , Malinyi au Kibondo? kwani Mwanza we umewahi kufika au umeona picha tu za mnara wa samaki kwenye mji mdogo unaoitwa Jiji?Ni jambo zuri sasa ni wakati wakutengeneza barabara za mitaa za jiji maana zinahali mbaya sana, siyo mbaya wakienda kujifunza jiji la Mwanza. Mwanza pamoja na kuwa na changamoto za miamba ila barabara za mitaa kwa kiasi fulani wamejitahidi kuzijenga.
Hiyo mikoa yote unayosema tunaipiga chin kwa mapato, sasa huon kama tuna la kujifunza kuwa mby inabaguliwa? Au zile barabara za mwanza na arusha ni za watu binafsi?????Hongera sana, ila waboreshe mji, maana wana mji ambao hauna miundo mbinu. Barabara moja tu ya kupitisha malori ya kwenda Zambia, daladala za Uyole - soko matola, bajaji, bodaboda. Yaani ni shidaa.
Waende Arusha na Mwanza wakajifunze. Mitaa ya Mwanza ina barabara bora sana.
Mkuu asante kwa kutusemea, kwa hiyo Mwanza ivuliwe hadhi ya jiji na kuwa mji mdogo wa Mwanza au Mwanza TCπππBoss ni Mwanza ipi unayosema Mwanza ya Somalia, Karagwe, Mpitimbi, Dareda , Malinyi au Kibondo? kwani Mwanza we umewahi kufika au umeona picha tu za mnara wa samaki kwenye mji mdogo unaoitwa Jiji