Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Kanda ya ziwa imeingiza mikoa mingapi kwenye top ten? Na nyie nyanda za juu kusini kuna mikoa mingapi?
 
Unadhani fly overs zinajengwa jengwa kihuni....mji hauna hata foleni uweke fly overs ili iweje ..
 
Pathetic and rubbish comments..usifananishe mwanza na takataka hyo
 
Pathetic and rubbish comments..usifananishe mwanza na takataka hyo
Mapovu sitaki nataka mapato ya Mkoa Wa Mwanza maana yaliyoko tamisemi mnajambiwa tuu na Mbeya,Pwani,Dodoma nk

Nataka mapato ya Mwanza πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220722-223617.png
    43.1 KB · Views: 7
Unasema uwanja wa ndege wa songwe upanuliwe ...yaani uwanja hata idadi ya abiria inazidiwa na uwanja wa mwanza ..hauna hata international flight.kwa potential gan ulionao huo uwanja
 
Unasema uwanja wa ndege wa songwe upanuliwe ...yaani uwanja hata idadi ya abiria inazidiwa na uwanja wa mwanza ..hauna hata international flight.kwa potential gan ulionao huo uwanja
Mbeya ni hub na iko Zone ya Nchi za SADC..

Kuthibisha hilo ndio maana Mbeya inawanyea kwenye mapato.
 
Ukiikuta Mwanza top 10 ya per Capita income unitag πŸ˜‚ πŸ˜‚
We ni fala kweli hizo taarifa za kijinga huwa unaokoteza wapi? Nakupa taarifa sahihi we mbwehaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220723-165258.png
    26.5 KB · Views: 6
Makusanyo ya Mwanza yako wapi? Weka hapa tucheke
Mapato ya halimashauri yanategemea vyanzo vya mapato vya serikali, ukiona mapato ya halimashauri yapo juu sehemu fulani jua kuwa serikali imewekeza sana huko kuliko sehemu nyingine.
Dodoma na Dar huwezi kuzilinganisha na miji ambayo haijawekezwa na serikali so ata mapato yao ya halmashauri lazima yawe juu.
Unalingia mapato ya halimashauri kukiwa hakuna investors si ukichaa huo.
 
Staki blaa blaa nataka mapato ya Mwanza maana huwa hamkosi excuse nyie.
 
Staki blaa blaa nataka mapato ya Mwanza maana huwa hamkosi excuse nyie.
Nimekupa gdp hapo unataka nini tena dgp ndio kila kitu kwenye uchumi kuanzia mapato ya halimashauri, TRA, sector binafsi n.k
Nikufundishe kitu GDP ndio summary ya uchumi wa sehemu husika kifupi ndio utajiri wa sehemu fulani.
Kubwa jinga endelea kuwa popoma.
 
Kwa hiyo umekubari kwamba nyie ni fukara si ndio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…