Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Vyuo vikuu ndio vinafungua fursa ya kilimo na biashara wewe fala?

Nani kakwambia Mbeya wanahitaji vyuo Vikuu? Kwa nini tusibadilishane nyie ambao mnaongiza kwa ujinga mjengewe vyuo vikuu na sisi tujengewe miundombinu harafu baada yaiaka 5 tuje kufanya tathmni yupi kafaidika..

Stupid kabisa,vyuo vikuu vitalingana na daraja moja la bil.700 wewe kima?
Vyuo vyenu vyote wamejaa vijana kutoka kanda ya ziwa.
 
Leo ndio nimejua kwanini una chuki na Mwanza pamoja na hayati magufuli😂😂😂😂
Kumbe ulitaka daraja la kigongo busisi lijengwe ziwa nyasa😂😂😂
Huo ni mfano mdogo tuu Kati ya mambo mengi ambayo sijawahi mkubali huyo mtu wenu..

Bil.700 ni km 600 za lami sasa linganisha impacts ya km 600 za lami na kidaraja kimoja tuu.
 
Vyuo vyenu vyote wamejaa vijana kutoka kanda ya ziwa.
Basi wawajengee huko huko kwenu sisi tunataka miundombinu ya kufungua fursa za Uchumi..

Mungekuwa mnasoma kwa kiasi hicho si vyuo vingekuja kufungua Campus huko huko.? Kwa nini vije Mbeya?
 
Basi wawajengee huko huko kwenu sisi tunataka miundombinu ya kufungua fursa za Uchumi..

Mungekuwa mnasoma kwa kiasi hicho si vyuo vingekuja kufungua Campus huko huko.? Kwa nini vije Mbeya?
Wewe kila siku unaimba mapambio kuwa Mbeya ina miundo mbinu bora kuliko mwanza na unapost miradi kibao ya barabara za mbeya sasa unataka mjengewe flyover au interchange kama Dar?
 
Pambaneni na upumbavu wenu, Mbeya iendelee ili iweje?, mkoa kama mbeya unatakiwa kuwa mashamba kwaajili ya kulisha watanzania.
Licha ya Huu wivu ndio maana tunawajambia kwenye mapato vile vile..

Mnahangaika kudidimiza ila haitawezekana Mzee tuna fursa zote kuanzia madini,italii hadi ardhi ya kutosha..Imewakata.

Soma hiyoo👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220703-160040.png
    Screenshot_20220703-160040.png
    114.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220702-200229.png
    Screenshot_20220702-200229.png
    111.7 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220628-114750.png
    Screenshot_20220628-114750.png
    185.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220609-215458.png
    Screenshot_20220609-215458.png
    175.6 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220604-091607.png
    Screenshot_20220604-091607.png
    65.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220604-091704.png
    Screenshot_20220604-091704.png
    64.8 KB · Views: 8
Licha ya Huu wivu ndio maana tunawajambia kwenye mapato vile vile..

Mnahangaika kudidimiza ila haitawezekana Mzee tuna fursa zote kuanzia madini,italii hadi ardhi ya kutosha..Imewakata.

Soma hiyoo👇
Endeleeni kulima soya na parachichi, unataka flyover kwenye mashamba ya soya, utakuwa ujinga sasa.
 
Wewe kila siku unaimba mapambio kuwa Mbeya ina miundo mbinu bora kuliko mwanza na unapost miradi kibao ya barabara za mbeya sasa unataka mjengewe flyover au interchange kama Dar?
Mbeya ni mkoa mkubwa, miundombinu haitoshi,bado barabara ya kutoka Mbeya kwenda Tabora na Singida ni vumbi,barabara ya kutoka Mbeya kwenda Njombe via Kitulo NP ni vumbi,Igawa to Rujewa hadi Ubaruku ni vumbi,Mbalizi to Chunya via mkwajuni ni vumbi nk nk...

Maeneo hayo ni potential Sana kwa kilimo..On top of that TANZAM Highway ndio roho ya Mbeya Kwa nini haijapanuliwa miaka yote hiyo licha kuingiza pesa nyingi?

Mwisho haiingii akilini uwanja wa Songwe unajengwa toka enzi za Mkapa na haumaliziki,hizi ni hujuma za makusudi.
 
Endeleeni kulima soya na parachichi, unataka flyover kwenye mashamba ya soya, utakuwa ujinga sasa.
Jiji linalozalisha Bil.17 kwa mwaka za Makusanyo ya ndani inakuaje linakosa Flyover?

Mashamba yako Vijijini sio jijini we kima na huko ndiko tunapata pesa..

Hakuna Wilay hata moja ya Mkoa wa Mwanza inaweza fikia Wilay za Mbeya Kwa mapato ukiacha Mwanza mjini..

Mbeya hakuna makini kama huko Mwanza ndio maana mna wivu.
 
Mbeya ni mkoa mkubwa, miundombinu haitoshi,bado barabara ya kutoka Mbeya kwenda Tabora na Singida ni vumbi,barabara ya kutoka Mbeya kwenda Njombe via Kitulo NP ni vumbi,Igawa to Rujewa hadi Ubaruku ni vumbi,Mbalizi to Chunya via mkwajuni ni vumbi nk nk...

Maeneo hayo ni potential Sana kwa kilimo..On top of that TANZAM Highway ndio roho ya Mbeya Kwa nini haijapanuliwa miaka yote hiyo licha kuingiza pesa nyingi?

Mwisho haiingii akilini uwanja wa Songwe unajengwa toka enzi za Mkapa na haumaliziki,hizi ni hujuma za makusudi.
Huu wote upumbavu tu, ungetakiwa kuulizia pembejeo za kilimo pamoja na viuatilifu.
 
Jiji linalozalisha Bil.17 kwa mwaka za Makusanyo ya ndani inakuaje linakosa Flyover?

Mashamba yako Vijijini sio jijini we kima na huko ndiko tunapata pesa..

Hakuna Wilay hata moja ya Mkoa wa Mwanza inaweza fikia Wilay za Mbeya Kwa mapato ukiacha Mwanza mjini..

Mbeya hakuna makini kama huko Mwanza ndio maana mna wivu.
Sisi masikini tumesharidhika, nyie matajiri mbona mnaongoza kwa kuomba omba, njooni mwanza mjifunze jinsi masikini wanavyoishi kwa kurizika.
 
Jiji linalozalisha Bil.17 kwa mwaka za Makusanyo ya ndani inakuaje linakosa Flyover?

Mashamba yako Vijijini sio jijini we kima na huko ndiko tunapata pesa..

Hakuna Wilay hata moja ya Mkoa wa Mwanza inaweza fikia Wilay za Mbeya Kwa mapato ukiacha Mwanza mjini..

Mbeya hakuna makini kama huko Mwanza ndio maana mna wivu.
Hiyo mbeya inaingia mara ngap kwa GDP kwa Mwanza, je Mwanza haikupaswa kuwa na miundombinu bora kabisaa kwa hapa Africa?
 
Hiyo mbeya inaingia mara ngap kwa GDP kwa Mwanza, je Mwanza haikupaswa kuwa na miundombinu bora kabisaa kwa hapa Africa?
Unaijua hata GDP ni kitu gani? Ungeijua usingeuliza swali la kipunguani kama hili..

Tupe data basi tuone inavyoingia mara ngapi
 
Sisi masikini tumesharidhika, nyie matajiri mbona mnaongoza kwa kuomba omba, njooni mwanza mjifunze jinsi masikini wanavyoishi kwa kurizika.
Tunaomba nini? Mkoa tajiri unaweza omba omba?

Tuna kitu gani cha kuomba Kwa mfano kutoka Kwa nyie maskini wa huko kwenye mialo?
 
Huu wote upumbavu tu, ungetakiwa kuulizia pembejeo za kilimo pamoja na viuatilifu.
Wewe ndio mpumbavu hata hujielewi..

Ukipata pembejeo ndio zitakusaidia nini? Mchunga Ng'ombe unaweza tufundisha kilimo gani wewe kima?

Pembejeo zitakusaidia nini Bila barabara za kukufikisha shambani na za kusafirisha Mazao baada ya mavuno?

Taahira wewe uwe unafikiria kwanza.
 
Wewe ndio mpumbavu hata hujielewi..

Ukipata pembejeo ndio zitakusaidia nini? Mchunga Ng'ombe unaweza tufundisha kilimo gani wewe kima?

Pembejeo zitakusaidia nini Bila barabara za kukufikisha shambani na za kusafirisha Mazao baada ya mavuno?

Taahira wewe uwe unafikiria kwanza.
🤣🤣🤣 tulia ikuingie.
 
Wewe ndio mpumbavu hata hujielewi..

Ukipata pembejeo ndio zitakusaidia nini? Mchunga Ng'ombe unaweza tufundisha kilimo gani wewe kima?

Pembejeo zitakusaidia nini Bila barabara za kukufikisha shambani na za kusafirisha Mazao baada ya mavuno?

Taahira wewe uwe unafikiria kwanza.
Hizo barabara zilizopo mbeya hazina huwezo wa kupitisha magari kutoka huko mashambani?
 
Tunaomba nini? Mkoa tajiri unaweza omba omba?

Tuna kitu gani cha kuomba Kwa mfano kutoka Kwa nyie maskini wa huko kwenye mialo?
Kama mnajiweza kwanini kila siku kulia lia kama watoto mara mmetengwa mara ooh mmesaulika, acheni utoto pigeni kazi.
 
Hayo malengo huwekwa na serikali au kila Halmashauri hujiwekea wenyewe?

Almost kila Halmashauri inadai imevuka malengo nchi hii.😁.
 
Back
Top Bottom