Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Nasubiri wale wa kaskazini watakua wanajisikiaje kusikia taarifa hii, umeona mwenzio kafanya vizuri mpe pongezi bwana.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,natumai Kazi zinaendelea..

Mkoa wa Mbeya umevunja rekodi ya Makusanyo yake ya mapato ya ndani Kwa Halmashauri zake 7 Kwa kukusanya bil.45 sawa na zaidi ya asilimia 105.6% ya malengo..

Hayo yameelezwa na Mkuu WA Mkoa was Mbeya Juma Homela kwa Waandishi wa Habari na kuzipongeza Halmashauri za Mkoa huo pamoja na Sektetatieti ya Mkoa ikiongizwa na RAS wa Mbeya..

Kila Halmashauri imevuka malengo waliyopangiwa na Serikali hivyo kuziwezesha kutoa huduma na kutekelezwa Kwa miradi iliyopangwa kwa asilimia 100..

My Take,

Hii ndio maana Halisi Sasa ya Kufungua Nchi na Sasa matunda yanaonekana baada ya biashara mpya kuzidi kufunguliwa..

Hongera sana kwa serikali ya Rais Samia.👇
Hakuna kitu kinachoitwa kuvunja record.

1. Ni makadirio ya mapato ya mkoa yaliwekwa chini tofauti na uwezo Hasa wa Mkoa kimapato.

2. Ni upikaji wa DATA uloratibiwa vizuri ndo unavuka lengo.

Uwezo wa Mkoa huo kimapato ni mkubwa kuliko mnavyodhani jitihada zaidi zinahitajika kutatua changamoto za wananchi ktk uzalishaji Ili kipato kikue na mapato yawe zaidi ya hapo.

Note: Mtumishi hatasifiwa akitimiza wajibu wake, Akaze boot.
 
Hakuna kitu kinachoitwa kuvunja record.

1. Ni makadirio ya mapato ya mkoa yaliwekwa chini tofauti na uwezo Hasa wa Mkoa kimapato.

2. Ni upikaji wa DATA uloratibiwa vizuri ndo unavuka lengo.

Uwezo wa Mkoa huo kimapato ni mkubwa kuliko mnavyodhani jitihada zaidi zinahitajika kutatua changamoto za wananchi ktk uzalishaji Ili kipato kikue na mapato yawe zaidi ya hapo.

Note: Mtumishi hatasifiwa akitimiza wajibu wake, Akaze boot.
Husda itakupeleka kaburini mapema Sana..

Kwa hiyo mwaka gani ambao makadirii yalikuwa bil.42 ?

Miaka yote iliyopita licha ya kuwa na makadirio pungufu ya bil.42,Mkoa haijawahi kuvuka na inatakiwa kuelewa kwamba kila Mwaka makadirio huwa yanaongezwa.
 
Husda itakupeleka kaburini mapema Sana..

Kwa hiyo mwaka gani ambao makadirii yalikuwa bil.42 ?

Miaka yote iliyopita licha ya kuwa na makadirio pungufu ya bil.42,Mkoa haijawahi kuvuka na inatakiwa kuelewa kwamba kila Mwaka makadirio huwa yanaongezwa.
Nijibu Kwa kutulia;

Kama mapato yanaongezeka, mbona MIKOPO inaongezeka Badala ya kupungua?

Mimi nimeiajiri Serikali initumikie, nitakuwa wa mwisho KUSIFIA inapotimiza wajibu wake.

Nijuavyo mm data hupikwa Ili tutengeneza Haiba nzuri Kwa viongozi waonekane wanaupiga mwingi.

Si mgeni kwenye mambo hayo.
Pia mm Si wa Kufa Leo Wala kesho, ni WA Milele, Nina kusudi juu ya nchi yangu nzuri Tanzania.

Ameeeen.
 
Nijibu Kwa kutulia;

Kama mapato yanaongezeka, mbona MIKOPO inaongezeka Badala ya kupungua?

Mimi nimeiajiri Serikali initumikie, nitakuwa wa mwisho KUSIFIA inapotimiza wajibu wake.

Nijuavyo mm data hupikwa Ili tutengeneza Haiba nzuri Kwa viongozi waonekane wanaupiga mwingi.

Si mgeni kwenye mambo hayo.
Pia mm Si wa Kufa Leo Wala kesho, ni WA Milele, Nina kusudi juu ya nchi yangu nzuri Tanzania.

Ameeeen.
Sasa unaleta utoto,mikopo na mapato kuongezeka vinahusianaje?

Mikopo ni chanzo cha mapato na anakopeshwa anaeweza kulipa,kama unadhani mkopo ni mgao nenda bank ukakope.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,natumai Kazi zinaendelea..

Mkoa wa Mbeya umevunja rekodi ya Makusanyo yake ya mapato ya ndani Kwa Halmashauri zake 7 Kwa kukusanya bil.45 sawa na zaidi ya asilimia 105.6% ya malengo..

Hayo yameelezwa na Mkuu WA Mkoa was Mbeya Juma Homela kwa Waandishi wa Habari na kuzipongeza Halmashauri za Mkoa huo pamoja na Sektetatieti ya Mkoa ikiongizwa na RAS wa Mbeya..

Kila Halmashauri imevuka malengo waliyopangiwa na Serikali hivyo kuziwezesha kutoa huduma na kutekelezwa Kwa miradi iliyopangwa kwa asilimia 100..

My Take,

Hii ndio maana Halisi Sasa ya Kufungua Nchi na Sasa matunda yanaonekana baada ya biashara mpya kuzidi kufunguliwa..

Hongera sana kwa serikali ya Rais Samia.👇
Ripoti ya CAG iliripoti upotevu wa mabilioni kwenye Mkoa huo ktk miradi mbalimbali,

Niambie pesa hizo zimerudishwa? Na waliopo wamesahau kuzifuatilia? Unadhani hazihitajiki kujenga Mkoa zaidi?
 
Sasa unaleta utoto,mikopo na mapato kuongezeka vinahusianaje?

Mikopo ni chanzo cha mapato na anakopeshwa anaeweza kulipa,kama unadhani mkopo ni mgao nenda bank ukakope.
Swali gumu majibu mepesi.

Hivi una makusanyo MAZURI mikopo ya nn?

Mwanza wanasifu, simiyu wanasifu, tutasikia na mikoa mingine wanaitikia, swali ni je Uchumi wa mtu wa kipato Cha chini unaimarika au unaanguka?

Gharama za maisha ni himilivu, Bei za bidhaa mbona zinazidi kupaa?
 
Swali gumu majibu mepesi.

Hivi una makusanyo MAZURI mikopo ya nn?
Kwa hiyo makusanyo mazuri ndio yanatosheleza mahitaji?

Endelea kujibana na kudunduliza kwenye kipato chako uone kama hutoishia kuwa Maskini.
 
Hiv mkoa mzima bl 45? Mbona kidogo sana.
Kuna mapato ya aina nyingi Sana ila kwa kuwa wewe ni mjinga ndio maana unauliza hivyo,ngoja nikutoe ujinga Kwa kukupa elimu.

Hayo ni mapato ya ndani ya Halmashauri,kuna mapato ya TRA na Wizara na Idara na Taasisi mbalimbali za serikali.

Ukijumlisha hayo Kwa pamoja Unapata mapato ya Mkoa Kitaifa na yakiwekwa kwenye monetary terms ndio huitwa GDP ya Mkoa ambako Mbeya ni namba 3 Kitaifa inachangia Til.8 plus.
 
Kwa hiyo mkoa wa Simiyu umepitwa tena?
 
Hakuna kitu kinachoitwa kuvunja record.

1. Ni makadirio ya mapato ya mkoa yaliwekwa chini tofauti na uwezo Hasa wa Mkoa kimapato.

2. Ni upikaji wa DATA uloratibiwa vizuri ndo unavuka lengo.

Uwezo wa Mkoa huo kimapato ni mkubwa kuliko mnavyodhani jitihada zaidi zinahitajika kutatua changamoto za wananchi ktk uzalishaji Ili kipato kikue na mapato yawe zaidi ya hapo.

Note: Mtumishi hatasifiwa akitimiza wajibu wake, Akaze boot.
Kiukweli mi sijaona kwenye hizo takwimu kukiwa na bil.45 bali ni bil.33.9 ila maneno ya mkuu wa mkoa ndo bil.45. Sa tuamini maneno au takwimu? 😁😁 huyo jamaa ni mkurupukaji sana
 
Mimi ndo sioni ama? Mbona makisio ni 42bl na makusanyo ni 33bl, au ninyi huko mnaona 45bl?
Tofautisha tarehe za hizi taarifa mbili..Hiyo ilikuwa robo ya tatu na taarifa ya saizi na makusanyo ya mwaka mzima..

Hiyo attachment inaonyesha kwa mikoa yote..Taarifa rasmi ya mikoa yote ataitoa Waziri wa Tamisemi kabla ya mwisho wa Mwezi huu au mapema mwezi wa 8..
 
Tofautisha tarehe za hizi taarifa mbili..Hiyo ilikuwa robo ya tatu na taarifa ya saizi na makusanyo ya mwaka mzima..

Hiyo attachment inaonyesha kwa mikoa yote..Taarifa rasmi ya mikoa yote ataitoa Waziri wa Tamisemi kabla ya mwisho wa Mwezi huu au mapema mwezi wa 8..
Ahahaa! Yeye mkuu wa mkoa katoa wapi wakati takwimu nzima haijatoka?
 
Back
Top Bottom