Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa nakuunga mkono,nilitembea mara Kwa mara Kuna kipindi hapo tu kimanzichana ndani ndani karibu kilometa kama 16 kutoka kimanzichana center kuelekea njia ya bungo ndani Kwa ndani, aisee japokuwa Kuna watu wanachoma mkaa na nilikuwa napishana sana na pikipiki zilizobeba gunia kubwa za mkaa kuanzia tano lakini bado Kuna mapori ya kutisha sana.Licha ya huu mkoa kupakana na jiji la Dar es salaam ambalo ndo jiji kubwa Tanzania na Africa Mashariki Kwa ujumla, lakini mkoa wa Pwani unatishia, Mkoa wa Pwani una Mapori mazito yamefunga Giza na ya kuogopesha sana.
Me natokea Kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera tuna vijiji na Mapori ila Kwa mkoa wa Pwani usipime
Ukitoka Dar hapo ukaingia Mkuranga tu Kuna vijiji kama unaenda Kisiju hadi huko visiwani Kwale na kama ni hatari ndugu zangu.
Ukisogea Kisarawe, Kibiti, na Rufiji huko ndo hatari zaidi. Kuna siku nilikuwa naenda kwenye Bwawa la umeme huko Rufiji panaogopesha mno. Bado Mapori ya Bagamoyo hadi msata huko ni hatari tupu.
Nashauri serikali ihamishie Kambi za jeshi za Dar huko kama za Lugalo n.k huko usalama wa jiji la Dar na taifa Kwa ujumla, maana wahalifu ni rahisi kujificha humo.
Tunajadili ya mwaka 2017 au hili la sasa ( leo ) mwaka 2024 ulilolileta hapa?Mbona kwenye Yale mauaji ya Kibiti 2017
Hatukuwaona
Mmmmmhhh life is so tough in ngara wacha nipambane huku nilipo lkn huwezi jua maisha yakatufikisha hukoNdiyo
Karibu Ngara
Mkuranga ndiko alikozaliwa na kukulia Bibie FaizaFoxyLicha ya huu mkoa kupakana na jiji la Dar es salaam ambalo ndo jiji kubwa Tanzania na Africa Mashariki Kwa ujumla, lakini mkoa wa Pwani unatishia, Mkoa wa Pwani una Mapori mazito yamefunga Giza na ya kuogopesha sana.
Me natokea Kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera tuna vijiji na Mapori ila Kwa mkoa wa Pwani usipime
Ukitoka Dar hapo ukaingia Mkuranga tu Kuna vijiji kama unaenda Kisiju hadi huko visiwani Kwale na kama ni hatari ndugu zangu.
Ukisogea Kisarawe, Kibiti, na Rufiji huko ndo hatari zaidi. Kuna siku nilikuwa naenda kwenye Bwawa la umeme huko Rufiji panaogopesha mno. Bado Mapori ya Bagamoyo hadi msata huko ni hatari tupu.
Nashauri serikali ihamishie Kambi za jeshi za Dar huko kama za Lugalo n.k huko usalama wa jiji la Dar na taifa Kwa ujumla, maana wahalifu ni rahisi kujificha humo.
Upo sawa mkuu nimewahi ishi kisarawe huko ndani ndaniPwani ni rahisi kuficha majambazi na magaidi