Mkoa wa Tabora kugawanywa na kuwa mikoa miwili

Mkoa wa Tabora kugawanywa na kuwa mikoa miwili

Hizo fedha za kujengea ofisi, kuwalipa mishahara wafanyakazi wa mkoa mpya(hapo akiwemo DC ,mkurugenzi ,RAS na mashangingi wapewe na yajazwe mafuta)



Fedha hizo wapelekewe maendeleo wana Tabora.


So kuugawa mkoa naona kama ni gharana zisizo na ulazima.
mkuu kuna short run cost na long run cost, pia visible na invisible benefits, lakini kuna direct na indirect benefits, hili umeliona kabla hujaongea chochote
 
Shida ni wana Tabora wenyewe kwanza wamekaa kisltani sana, yaani wameridhika hawataki kujituma umwinyi mwingi sana Tabora, sijui kwa nini viongozi wanaacha kuwachangamsha.
na hii inaweza kuwa sababu mkuu
 
Ukiuangalia mkoa wa Tabora utagundua ni mkubwa mno kieneo hata kiwilaya kuna Urambo, Kaliuwa, Nzega, Igunga, Manonga, Sikonge, Uliankuru na kadhalika, itafaa ukigawanywa.

Na mimi labda nitabahatisha ukuu wa mkoa.
 
Ukiuangalia mkoa wa Tabora utagundua ni mkubwa mno kieneo hata kiwilaya kuna Urambo, Kaliuwa, Nzega, Igunga, Manonga, Sikonge, Uliankuru na kadhalika, itafaa ukigawanywa.

Na mimi labda nitabahatisha ukuu wa mkoa.
Hizi bangi hizi za mtu mweusi,hakuna tija ya kiuchumi ya kugawa mkoa,Kwanza haiingezi kipato kwa nchi, zaidi inaongeza matumizi tu, RC, DED.

Cha muhimu mungewaza kwamba viwanda vya kutengeneza matairi ya gari, au viwanda vya nondo au saruji, au sukari havitoshi, tuongeze viwe vingi, ili tutengeneza mapato, nyie mnawaza kuteuliwa. Bora kuongeza hospitari, vyuo vya Elimu ya juu, au kufungua campus ya UD mkoani Tabora, au Bora mseme, hatuwezi kutegemea mvua kwa kilimo, sasa tuje na mpango wa kutumia maji ya ziwa victoria kufanya umwagiriaji.

Mkoa wa Tabora, unatumia maji ya victoria, lakini na yenyewe ni mgao,maana mkoa hauna mapato ya kuwezesha kutembwza pump 24/7.
Hakuna faida ya kuongeza mkoa, ukisema unasogeza huduma kwa jamii, kwani eneo linaongezeka? Geographical area ipo vile vile, kuongeza mkuu wa mkoa. Kuna msaidia vipi mwananchi wa kawaida, sie hatutski kuona sura, tunataka huduma, vituo vya polisi, barabara, Elimu, afya.
 
Hizi bangi hizi za mtu mweusi,hakuna tija ya kiuchumi ya kugawa mkoa,Kwanza haiingezi kipato kwa nchi, zaidi inaongeza matumizi tu, RC, DED.

Cha muhimu mungewaza kwamba viwanda vya kutengeneza matairi ya gari, au viwanda vya nondo au saruji, au sukari havitoshi, tuongeze viwe vingi, ili tutengeneza mapato, nyie mnawaza kuteuliwa. Bora kuongeza hospitari, vyuo vya Elimu ya juu, au kufungua campus ya UD mkoani Tabora, au Bora mseme, hatuwezi kutegemea mvua kwa kilimo, sasa tuje na mpango wa kutumia maji ya ziwa victoria kufanya umwagiriaji.

Mkoa wa Tabora, unatumia maji ya victoria, lakini na yenyewe ni mgao,maana mkoa hauna mapato ya kuwezesha kutembwza pump 24/7.
Hakuna faida ya kuongeza mkoa, ukisema unasogeza huduma kwa jamii, kwani eneo linaongezeka? Geographical area ipo vile vile, kuongeza mkuu wa mkoa. Kuna msaidia vipi mwananchi wa kawaida, sie hatutski kuona sura, tunataka huduma, vituo vya polisi, barabara, Elimu, afya.
Ukigawa mkoa usimamizi unakuwa rahisi na shida za wananchi inakuwa rahisi kutatuliwa,Leo tabora kumuona Rc kama unashida ni kazi chukulia mtu atoke Igunga hadi Tabora huoni ni mbali?
 
Lengo sio maendeleo lengo ni teua tengua na kuweka madarakani watu wako...... Mkoa au wilaya ipi imeendelea baada ya kugawanywa?
 
Umeshafikiria gharama kubwa za kuendesha mikoa miwili ukilinganisha na mkoa mmoja? Kuanzia mishahara n.k.?

Ukigawa mkoa usimamizi unakuwa rahisi na shida za wananchi inakuwa rahisi kutatuliwa,Leo tabora kumuona Rc kama unashida ni kazi chukulia mtu atoke Igunga hadi Tabora huoni ni mbali?
 
Back
Top Bottom