Mkoa wa Tabora kugawanywa na kuwa mikoa miwili

Mkoa wa Tabora kugawanywa na kuwa mikoa miwili

Angeshauri kuigawa wilaya ya Uyui ningemwelewa sana ile wilaya ni kubwa kibaya zaidi kufika makao makuu ya wilaya kuna baadhi ya kata lazima uvuke makao makuu ya mkoa.
Kugawanywa mikoa Tanzania, haipeleki huduma yoyote karibu na wananchi. Secretariat za mikoa hazina kazi kivile. Wananchi hupata huduma nyingi katika ngazi ya halmashauri na kidoogo kwa DC.

Hatuhitaji tawala za mikoa Tanzania. Ni matumizi mabaya ya Rasilimali fedha na watu. Tugawanye halmashauri kadri ya uwezo wetu lakini siyo mikoa. Hata kwa watoa huduma wakubwa Kama polisi, Tanesco na TRA, wanaweza kujiorganize kiwilaya pia.
 
Kama wewe ni kijana na unataka kupata pesa mzee ingia Tabora utameki haijalishi mfukoni una nauli tu nenda Tabora baada ya miezi 3 utakuja hapa kutoa ushuhuda wa ajabu maana ni wewe tu na uwezo wako kijana.
"Mboka for life"
 
Usifikiri hayo mapori hayana watu ?
Sisi Tabora hatujabanana kama nyinyi huko kwenu Kilimanjaro au huko kwenye ukame usioisha Shinyanga.

Humo unapoona ni mapori kuna makazi ya watu na ni mashamba ya watu tunalima, tunafuga, ng'ombe na Nyuki unataka nyuki tuwafugie chumbani ?
Naifahamu Tabora yote boss nje ndani.
Nilishawahi pia kuishi kaliua kipindi cha miaka 2 iliyopita; kuna vijiji kama mwendakulima, bunyahyulu (barabara ya 13), imalanguzu, mwamnange n.k
Ninachokijua kuna idadi ya watu ni wengi japo sio sana.
Ila maeneo yote ya Tabora kwa asilimia kubwa ni mapori brother kwa uhalisia.
 
Angeshauri kuigawa wilaya ya Uyui ningemwelewa sana ile wilaya ni kubwa kibaya zaidi kufika makao makuu ya wilaya kuna baadhi ya kata lazima uvuke makao makuu ya mkoa.
Wilaya iko kaskazini kwenye mpaka na Nzega na sehemu kubwa ya eneo ni mashariki na kusini kidogo ya Tabora.
 
Kimsingi ukikuta watu wanapoishi kuna misitu ya kutosha jua jamii hiyo imeelimika vya kutosha sana katika uhifadhi wa mazingira.
Naifahamu Tabora yote boss nje ndani.
Nilishawahi pia kuishi kaliua kipindi cha miaka 2 iliyopita; kuna vijiji kama mwendakulima, bunyahyulu (barabara ya 13), imalanguzu, mwamnange n.k
Ninachokijua kuna idadi ya watu ni wengi japo sio sana.
Ila maeneo yote ya Tabora kwa asilimia kubwa ni mapori brother kwa uhalisia.
 
Takwimu ambazo mara nyingi hupewa kipao mbele cha chini ni ardhi iliyotengwa kwa hifadhi ya misitu na wanyamapori. Sehemu kubwa ya mkoa ni hifadhi za misitu ( national forest reserves) na wanyamapori (game reserves and Ugallla national park). Michango ya maeneo haya kwa uchumi na maendeleo ya mkoa yanahitaji kuboreshwa)
 
Minashauri wagawe tu, alafu kipande kipelekwe kule mkoani Geita kwa madhumuni ya kwamba Geita ikikuwa Big, kisha tutaigawanya ili tupate mkoa wa Chato... Kisha Deal inakuwa ime Done
 
Kwani uongo bwana? Asilimia kubwa ya mkoa wa tabora ni hifadhi ya misitu, haya kuanzia hapo itigi, kupitia tura, hadi tabora vijiji viko vingapi, kulinganisha na mapoli?, anzia tabora kwenda kahama kupitia, mwambani, bukene, anzia tabora kwenda katavi, kupitia ipole, ipole kwenda mbeya kupitia chunya, bado urambo kwenda kigoma?!!!
Wizard. Well said
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana wakihisi mkoa Fulani una watu wengi ambao wako upinzani au wana hali ya kuhoji sana au hawaikubali ccm basi mkoa huo utagawanywa fasta kuupunguza nguvu kwa akili zao kama ilivyokua kwa arusha,mbeya mwanza na shinyanga!so hawagawi mikoa kwa nia ya kutawanya huduma za jamii kwa wananchi isipokuwa kwa mambo yao ya kisiasa so mkoa wa tabora hauwezi kugawanywa kwa sababu mkoa mzima ni ccm kwa hiyo siyo tishio kwao kama ilivyo kwa ruvuma,Dodoma na hata morogoro ambayo imeanza kuamka!!
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana wakihisi mkoa Fulani una watu wengi ambao wako upinzani au wana hali ya kuhoji sana au hawaikubali ccm basi mkoa huo utagawanywa fasta kuupunguza nguvu kwa akili zao kama ilivyokua kwa arusha,mbeya mwanza na shinyanga!so hawagawi mikoa kwa nia ya kutawanya huduma za jamii kwa wananchi isipokuwa kwa mambo yao ya kisiasa so mkoa wa tabora hauwezi kugawanywa kwa sababu mkoa mzima ni ccm kwa hiyo siyo tishio kwao kama ilivyo kwa ruvuma,Dodoma na hata morogoro ambayo imeanza kuamka!!
 
Kimsingi ukikuta watu wanapoishi kuna misitu ya kutosha jua jamii hiyo imeelimika vya kutosha sana katika uhifadhi wa mazingira.
Kiukweli Tanzania ina mapori mengi yaani sehemu kubwa ya nchi ni mapori tu.
Ukiwa unaishi mjini unaweza kudhani nchi inamaendeleo sana ila ukitaka kufanya utafiti mfano kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ndipo utajua hii nchi ni mapori.
Ndio maana wajanja wasio na shobo na town wametulia zao tu porini wanafanya maisha.
#Tabora porini mkaa gunia Tsh.3,000 mpaka Tsh.4,000 unatumia miezi. Ila huko town mkaa mpaka Tsh.30,000 kwa gunia.
Serikali waboreshe tu barabara watu waishi maporini tu hakuna namna.

Tabora ina mapori ya asili hakuna mtu au watu waliofanya juhudu eti kupanda miti zaidi ya kuja na mawazo ya kutokuingia ktk hifadhi bila kibali.
Haaaahaaaa
Tanzania tamu jamani acheni tu
 
Nzega kuna machimbo ya madini, Igunga, uyui, urambo kuna kilimo cha pamba na Tumbaku, kama hivi vikiwekezwa kwa uhakika kuna kitu kitafanyika
Nioneshe sehemu ambayo wamewekeza serious toka tz ipate uhuru.
 
Minashauri wagawe tu, alafu kipande kipelekwe kule mkoani Geita kwa madhumuni ya kwamba Geita ikikuwa Big, kisha tutaigawanya ili tupate mkoa wa Chato... Kisha Deal inakuwa ime Done
Brother Chato ni wilaya yenye population kubwa achana na masimulizi ya humu mitandaoni. Ndio maana mnaambiwa tembeeni mjue, kuna faida ukiwa mzururaji ktk nchi hii
 
Sehemu kubwa ya Tabora ni pori unagawa nn sasa.
 
Kwa maana ya Jiografia, mikoa ya Tabora, Morogoro, Ruvuma na Lindi inastahili kugawanywa. Lakini tunaweza kufanya makosa kama yaliyofanyika kugawa mikoa ya Rukwa na Iringa.

Mikoa mipya ya Njombe na Katavi zimeshindwa kuleta tija kiuchumi na kijamii. Na hii ni kwa sababu ya nature ya tawala za mikoa Tanzania. Utawala wa Tanzania tunahitaji kuwa na Halmshauri siyo mikoa wala wilaya.
Ungetaka uone tija gani kwa hiyo mikoa mipya mkuu,,,,,kama vile hauko serious!!!!!
 
Kama wewe ni kijana na unataka kupata pesa mzee ingia Tabora utameki haijalishi mfukoni una nauli tu nenda Tabora baada ya miezi 3 utakuja hapa kutoa ushuhuda wa ajabu maana ni wewe tu na uwezo wako kijana.
"Mboka for life"
Ni kweli, ni juhudi tu na uwezo wa kufanya kazi bila kuwa mvivu
 
Back
Top Bottom