Upeo wetu wa kufikiri ni wa ajabu kubwa,watanzania wanahitaji service delivery sio wingi wa mikoa au wilaya,elewa hili linasababisha kuwa serikali kubwa mno na gharama za kuiendesha zinakuwa kubwa,nikiwa Rais for one day ,nitahakikisha kufikia saa 4pm nchi nzima tumebakiwa na mikoa sita tu,na maamuzi yote makuu yatakuwa chini ya serikali hizi za majimbo,serikali kuu itaangalia maswala ya Fedha,ulinzi na usalama,home affairs tu,mambo mengine yataishia huko huko kwenye serikali za majimbo,kuanzia leseni za biashara,magari,udereva,majengo,etc etc .