1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Liwale nayo sasa itakuwa mkoa wa wanyama pori kwani ina eneo kubwa.
Aibu sana.
Hata kuiweka Tanzania kwenye ramani inakua sheeeder!!
Ukiwajengea watu fikra za kujigawa gawa kwa maana kuwa ndio maendeeo kuna siku Lindi ,Mtwara na Songea , Kigoma Katavi na Rukwa nao watadai ziwe nchi kamili ili wapate maendeleo.
Aibu sana.
Hata kuiweka Tanzania kwenye ramani inakua sheeeder!!
Ukiwajengea watu fikra za kujigawa gawa kwa maana kuwa ndio maendeeo kuna siku Lindi ,Mtwara na Songea , Kigoma Katavi na Rukwa nao watadai ziwe nchi kamili ili wapate maendeleo.