Mkoa wa Tabora kugawanywa na kuwa mikoa miwili

Mkoa wa Tabora kugawanywa na kuwa mikoa miwili

Usifikiri hayo mapori hayana watu ?
Sisi Tabora hatujabanana kama nyinyi huko kwenu Kilimanjaro au huko kwenye ukame usioisha Shinyanga.

Humo unapoona ni mapori kuna makazi ya watu na ni mashamba ya watu tunalima, tunafuga, ng'ombe na Nyuki unataka nyuki tuwafugie chumbani ?
Ni kweli mkuu!
 
Mi nashauri tuunganishe baadhi ya mikoa Kama dar na pwani. Iringa na njombe.. Arusha na manyara... Ili tuwe na mamikoa makubwa kubwa... Mkuu wa mkoa aheshimiwe sio kugawa mikoa Kama njugu
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana wakihisi mkoa Fulani una watu wengi ambao wako upinzani au wana hali ya kuhoji sana au hawaikubali ccm basi mkoa huo utagawanywa fasta kuupunguza nguvu kwa akili zao kama ilivyokua kwa arusha,mbeya mwanza na shinyanga!so hawagawi mikoa kwa nia ya kutawanya huduma za jamii kwa wananchi isipokuwa kwa mambo yao ya kisiasa so mkoa wa tabora hauwezi kugawanywa kwa sababu mkoa mzima ni ccm kwa hiyo siyo tishio kwao kama ilivyo kwa ruvuma,Dodoma na hata morogoro ambayo imeanza kuamka!!
sawa mkuu
 
Mi nashauri tuunganishe baadhi ya mikoa Kama dar na pwani. Iringa na njombe.. Arusha na manyara... Ili tuwe na mamikoa makubwa kubwa... Mkuu wa mkoa aheshimiwe sio kugawa mikoa Kama njugu
sawa mkuu
 
Na misitu ile hata sehemu zilivyofekwa miti humea na kukua kwa haraka sana.

Waboreshe huduma za jamii huko vijijini
Kiukweli Tanzania ina mapori mengi yaani sehemu kubwa ya nchi ni mapori tu.
Ukiwa unaishi mjini unaweza kudhani nchi inamaendeleo sana ila ukitaka kufanya utafiti mfano kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ndipo utajua hii nchi ni mapori.
Ndio maana wajanja wasio na shobo na town wametulia zao tu porini wanafanya maisha.
#Tabora porini mkaa gunia Tsh.3,000 mpaka Tsh.4,000 unatumia miezi. Ila huko town mkaa mpaka Tsh.30,000 kwa gunia.
Serikali waboreshe tu barabara watu waishi maporini tu hakuna namna.

Tabora ina mapori ya asili hakuna mtu au watu waliofanya juhudu eti kupanda miti zaidi ya kuja na mawazo ya kutokuingia ktk hifadhi bila kibali.
Haaaahaaaa
Tanzania tamu jamani acheni tu
 
Ungetaka uone tija gani kwa hiyo mikoa mipya mkuu,,,,,kama vile hauko serious!!!!!
Unafuatilia takwimu za mikoa? Uwekezaji? Pato? Miundo mbinu? Umeme? Maji? Afya?
Mkoa wa Katavi unazidiwa hata na baadhi ya wilaya hapa nchini. Kwani ile mikoa 4 iliyoanzishwa 2012, mkoa wa Geita tu ndio ulikuwa in need kwa sababu ya population.
 
Kweli mkuu, ni mkoa ambao unaweza hata kujiendesha wenyewe kiuchumi, lakini kwanini unasahaulika? Tabora ukilima Tumbaku, Pamba, Alizeti lakini pia kuna madini. Hapa ndio tuangalie shida ipo wapi
Shida ni wana Tabora wenyewe kwanza wamekaa kisltani sana, yaani wameridhika hawataki kujituma umwinyi mwingi sana Tabora, sijui kwa nini viongozi wanaacha kuwachangamsha.
 
Brother Chato ni wilaya yenye population kubwa achana na masimulizi ya humu mitandaoni. Ndio maana mnaambiwa tembeeni mjue, kuna faida ukiwa mzururaji ktk nchi hii
Mkuu, kama ninapafahamu Mbogwe, Bukombe, Runzewe, Nyantakala, Nyampalahala, Nyalwanzaja, Muhama, Ngazi saba, Katoro, Kamena, Bukoli, Ikina na mambo kama hizo.... Sasa jiulize kama Chato ninauwezekano wa kupafahamu...!!??
Na kwataarifa yako, yawezekana nimeitembea Tz kuliko hata wewe.
 
Walifanya vibaya sana kuugawa mkoa wa Rukwa. Bora hata kama wangeugawa mkoa wa Kigoma maana kutoka Kibondo mpaka uione Kigoma mjini kuna shughuli pevu
Unafuatilia takwimu za mikoa? Uwekezaji? Pato? Miundo mbinu? Umeme? Maji? Afya?
Mkoa wa Katavi unazidiwa hata na baadhi ya wilaya hapa nchini. Kwani ile mikoa 4 iliyoanzishwa 2012, mkoa wa Geita tu ndio ulikuwa in need kwa sababu ya population.
 
Juzi nimepita Nyampalahala mpaka nimeshtuka. Kulikuwa na msitu mkubwa sana mpaka unafika Bwanga, lakini cha kushangaza pori na misitu vyote vimetoweka. Kuna uharibifu mkubwa sana wa mazingira umefanyika pale
Mkuu, kama ninapafahamu Mbogwe, Bukombe, Runzewe, Nyantakala, Nyampalahala, Nyalwanzaja, Muhama, Ngazi saba, Katoro, Kamena, Bukoli, Ikina na mambo kama hizo.... Sasa jiulize kama Chato ninauwezekano wa kupafahamu...!!??
Na kwataarifa yako, yawezekana nimeitembea Tz kuliko hata wewe.
 
Juzi nimepita Nyampalahala mpaka nimeshtuka. Kulikuwa na msitu mkubwa sana mpaka unafika Bwanga, lakini cha kushangaza pori na misitu vyote vimetoweka. Kuna uharibifu mkubwa sana wa mazingira umefanyika pale
Jibu lililo nyooka ni, wafugaji na wachoma mkaa
 
Tatizo hapa kwetu mikoa inagawanywa kisiasa sana
 
Mkuu, kama ninapafahamu Mbogwe, Bukombe, Runzewe, Nyantakala, Nyampalahala, Nyalwanzaja, Muhama, Ngazi saba, Katoro, Kamena, Bukoli, Ikina na mambo kama hizo.... Sasa jiulize kama Chato ninauwezekano wa kupafahamu...!!??
Na kwataarifa yako, yawezekana nimeitembea Tz kuliko hata wewe.
Brother unajua maana ya ukubwa wa idadi ya watu, mfano baada ya Katoro unaingia Chato baada ya chato unaingia Nyakahondwa.
Sasa tambua kuanzia chato kama eneo na hivyo vijiji mpaka huko runzewe hiyo yote ipo ndani ya Wilaya ya Chato boss.
Kuna Chato kijiji na Chato wilaya boss.
Shida mkisikia chato mnajua kijiji mnasahau kuwa kuna wilaya.
Haahaaa
 
Hizo fedha za kujengea ofisi, kuwalipa mishahara wafanyakazi wa mkoa mpya(hapo akiwemo DC ,mkurugenzi ,RAS na mashangingi wapewe na yajazwe mafuta)



Fedha hizo wapelekewe maendeleo wana Tabora.


So kuugawa mkoa naona kama ni gharana zisizo na ulazima.
Hili ni kwa ajili ya kuharakisha maendeleo, je kuna haja ya kuugawa mkoa wa Tabora tukapata Mikoa miwili, Nawasilisha hoja



View attachment 1249710
 
Brother unajua maana ya ukubwa wa idadi ya watu, mfano baada ya Katoro unaingia Chato baada ya chato unaingia Nyakahondwa.
Sasa tambua kuanzia chato kama eneo na hivyo vijiji mpaka huko runzewe hiyo yote ipo ndani ya Wilaya ya Chato boss.
Kuna Chato kijiji na Chato wilaya boss.
Shida mkisikia chato mnajua kijiji mnasahau kuwa kuna wilaya.
Haahaaa
Kwa kukutajia hiyo list, nikitaka utambuwe kwamba chato ninaifahamu nje/ndani please
 
Back
Top Bottom