Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mkojani ndio P Funk Majani?Mimi ni mpenzi sana wa sanaa ya maigizo na nilikua nawaza sana baada ya King Majuto ni nan ataweza angalau kuziba pengo kidogo..
Baada ya kumfatilia Mkojani nimeridhika na kazi zake na ninaona future superstaa wa kizaz na kizazi..
Tumpe ushauri huyu jamaa aboreshe wapi na wapi ili kuilinda sanaa yetu ya maigizo ambayo ilianza kupoteza mvuto lakin yeye ameleta radha tofaut ambayo imeongeza ufanisi..
N:B ..Sina self interest na Mkojani
ππππ ndiyo kwanza namskia Leo huyo mkojanaMkojani ndio P Funk Majani?
Kipupwe ni msanii wa kawaida mnoooMimi ni mpenzi sana wa sanaa ya maigizo na nilikua nawaza sana baada ya King Majuto ni nan ataweza angalau kuziba pengo kidogo..
Baada ya kumfatilia Mkojani nimeridhika na kazi zake na ninaona future superstaa wa kizaz na kizazi..
Tumpe ushauri huyu jamaa aboreshe wapi na wapi ili kuilinda sanaa yetu ya maigizo ambayo ilianza kupoteza mvuto lakin yeye ameleta radha tofaut ambayo imeongeza ufanisi..
N:B ..Sina self interest na Mkojani
huyo majuto mwenyewe kwa mkojani anasubiri sana
Kweli watu mnafuraha huenda mimi nina stress yani ukimuona tin white unaanza kucheka tu π³.Hakika Mkuu umeongea, yan jamaa alivo tu ukimuona unaanza kucheka, huwa najiuliza sana anapoenda ukweni kwake huwa inakuwaje akifika!
TINY WHITE bodgard wa SHARO R.I.P 2011πmwanafunzi wa tiny white,kw sasa bado tony white ni fundi sana ,anaigiza,anachekesha bila kutumia nguvu. mkojani anazidisha kuigiza hayuko serious na kazi
Akipita huku lazima upate uteuzi mkuu...πTakbiiir
Kama uji kwenye mfukohongera Mkojani,mambo yako ni bulbul
Kweli mkuuMaigizo yake hayana maudhuinyoyote hata huwa sielewi anafundisha nini kupitia sanaa yake
Naona hazina zimekosekanaMimi ni mpenzi sana wa sanaa ya maigizo na nilikua nawaza sana baada ya King Majuto ni nan ataweza angalau kuziba pengo kidogo..
Baada ya kumfatilia Mkojani nimeridhika na kazi zake na ninaona future superstaa wa kizaz na kizazi..
Tumpe ushauri huyu jamaa aboreshe wapi na wapi ili kuilinda sanaa yetu ya maigizo ambayo ilianza kupoteza mvuto lakin yeye ameleta radha tofaut ambayo imeongeza ufanisi..
N:B ..Sina self interest na Mkojani
π Pambafu huyu. Nipo natoka mkoani fiamu yake moja yaani ina hadi part 3 na ya dk 20 20 hivi, halafu upupu mtupu!Mimi ni mpenzi sana wa sanaa ya maigizo na nilikua nawaza sana baada ya King Majuto ni nan ataweza angalau kuziba pengo kidogo..
Baada ya kumfatilia Mkojani nimeridhika na kazi zake na ninaona future superstaa wa kizaz na kizazi..
Tumpe ushauri huyu jamaa aboreshe wapi na wapi ili kuilinda sanaa yetu ya maigizo ambayo ilianza kupoteza mvuto lakin yeye ameleta radha tofaut ambayo imeongeza ufanisi..
N:B ..Sina self interest na Mkojani