Mkoko Mpya wa Bob Junior

Mkoko Mpya wa Bob Junior

Yaani mtu kuwa na sijui Cherokee au Wrangler lazima nayo iwekwe JF?
Mwisho wa siku watu mtanunua Oldsmobile mje kutuonyesha
 
Yaani mtu kuwa na sijui Cherokee au Wrangler lazima nayo iwekwe JF?
Mwisho wa siku watu mtanunua Oldsmobile mje kutuonyesha

Mbona kawaida tu hata uko majuu kuonyesha madinga wanayomiliki mastaa
 
Boss wa Bob Junior na Diamond na Pia alimdhamini diamond kurecord ule mwimbo Kamwambie ktk studio ya bob junior enzi hizo diamond choka mbaya....!


Sent from my iPhone 5c using JamiiForums

Owkeyy asante kwa hii taarifa
 
Yah lakini ndo wanavyovimiliki sasa mkuu, ndo mastaa wetu hao wanaotuwakilisha

Kwa kawaida celebrities wanamiliki vitu ambavyo viko above reach ya majority ya watu wa kawaida.
Ndio maana celebrities wa nchi za watu magari wanayoendesha, nyumba wanazomiliki na maeneo wanayokaa ni classy.
Sasa celebrity akiendesha Jeep ama Mark X, Toyota VX, Harrier, au sijui Q6 au 7, Na wakati kuna wajanja wengi mjini wana vitu vya uhakika, inaonyesha ni jinsi gani celebrities wetu walivyokuwa feki!!
Mashauzi na masifa vinataka pesa
Lakini anyway, kibongobongo ni sawa
 
Kwa kawaida celebrities wanamiliki vitu ambavyo viko above reach ya majority ya watu wa kawaida.
Ndio maana celebrities wa nchi za watu magari wanayoendesha, nyumba wanazomiliki na maeneo wanayokaa ni classy.
Sasa celebrity akiendesha Jeep ama Mark X, Toyota VX, Harrier, au sijui Q6 au 7, Na wakati kuna wajanja wengi mjini wana vitu vya uhakika, inaonyesha ni jinsi gani celebrities wetu walivyokuwa feki!!
Mashauzi na masifa vinataka pesa
Lakini anyway, kibongobongo ni sawa

Acha tu ndugu Yangu,magari yenyewe wanavuoyapat sasa had aibu si wavulana c wasichana..
 
chief kiumbe njoo huku, wanatambia magari yako
 
Back
Top Bottom