Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kloro unasema?hehehe halaf kuna ile waifu yuko yurop hazbendi yuko afrika, halaf jamaa kule afrika eti linajipa moyo kwamba waifu wake ni mtakatifu.
heheeh wapi Nyani Ngabu atuwekeee ule wimbo wa babu jinga.
Dah! Aisee!:A S 12:
hahahaha......... Unaweza kukuta wakati jamaa linaongea na mkewe huku na lenyewe kuna binti ananyonya sterengo yake ya kumwagia mkojo.... Akishakata simu anamwambia, nshaongea na kile kidubwashika kilichokuzibia nafasi yako ya kulala na mimi kijumlajumla...., afu wanaendelea na kazi.
Mimi bana mimi naamini mke wangu anakuwa wangu napokuwa nae kitandani. Hata akienda msibani nahisi kuna mjanja atakuwa ananimegea. Ndo maana namimi nikipata nafasi naitumia vizuri....
Fellow tablet umenielewa? Haya nipm namba ya binti aliyeko unga ltd ambaye mme wake mko naye huko singapore.
Halaf hii slogan ya mke wa mtu kwako mbona imeanza ghafla? mimi siielewi unajua, nakutaftia muda tu ukuje kunifafanulia. Si umekiona kiangazi kimeanza? sasa beach niende na nani?
bishanga mbona kama una uoga, au joka la kibisa, lenyewe naturally lina ant - vernom!? sem tujue kuwa una ukoo na cameroon, ama la usishtuke ukisikia habari za beach.kloro!
hujipendi?
na watoto pia ambao baba yuko jela mama kalazwa hoi hospitali na aliyeuawa labda na yeye ana watoto.
uzee tu umeniandama ndo mana makeke kushne.
ushaachika wewe unaona aibu tu kusema.klorokwini muulize Bishanga anajua kila kitu, ndo maana hapo juu kahamaki eti umemtaja mbaya wake.
Hahahaha......... unaweza kukuta wakati jamaa linaongea na mkewe huku na lenyewe kuna binti ananyonya sterengo yake ya kumwagia mkojo.... akishakata simu anamwambia, nshaongea na kile kidubwashika kilichokuzibia nafasi yako ya kulala na mimi kijumlajumla...., afu wanaendelea na kazi.
Mimi bana mimi naamini mke wangu anakuwa wangu napokuwa nae kitandani. Hata akienda msibani nahisi kuna mjanja atakuwa ananimegea. Ndo maana namimi nikipata nafasi naitumia vizuri....
Fellow tablet umenielewa? Haya niPM namba ya binti aliyeko bongo ambaye mme wake mko naye huko Singapore.