Mkongwe huyu wa JF mbona anapoteza attention kwa kasi hivi?

Mkongwe huyu wa JF mbona anapoteza attention kwa kasi hivi?

Lengo la thd hua ni kufikisha ujumbe kwa hadhira,that's all,hayo mambo ya likes ni mambo ya ziada tu,nani kakuaminisha kua ubora wa thd unapimwa kwa likes nyingi? hujui kua vitu vya hovyo hapa JF ndio hupata wachangiaji wengi na likes nyingi?

Wewe kama unaona huyo mleta mada analeta mada ambazo hazikufurahishi wewe,acha kumfuatilia,fanya mambo yako,nenda kwenye thd ya kulana kimasihara,huko utakuta wenzako wengi tu na likes kibao,

Hii thd kama itakua imeanzishwa na ME basi utakua na tatizo kubwa sana,bila shaka wewe ndio unahitaji msaada wa haraka kabla hujaharibikiwa zaidi.
Mi ni si ME tu, bali ME zaidi na mkeo inawezekana ananijua vizuri tu ndo maana hukumkuta bikra

Hata hivyo mimi sijazungumzia likes we mbwiga, nimezungumzia views!!
 
Mi ni si ME tu, bali ME zaidi na mkeo inawezekana ananijua vizuri tu ndo maana hukumkuta bikra

Hata hivyo mimi sijazungumzia likes we mbwiga, nimezungumzia views!!
Wewe ni punguani na huna akili,hujielewi choko wewe,
Ndio maana unaanzisha uzi unataka huyo mleta mada mkongwe asaidiwe bila kuweka ID yake hapa,hujioni kua huna akili timamu? atasadiwaje mtu asiyejulikana?

Tafuta kazi yakufanya,acha kufuatilia thd sijui ina wachangiaji wangapi au likes ngapi,toka hapo kwa shemeji yako unapokula bure ili japo akili yako iondokane na fikra ya utegemezi,ukiwa na majukumu utaacha kuwaza huu upumbavu uliouwasilisha hapa.
 
Wewe ni punguani na huna akili,hujielewi choko wewe,
Ndio maana unaanzisha uzi unataka huyo mleta mada mkongwe asaidiwe bila kuweka ID yake hapa,hujioni kua huna akili timamu? atasadiwaje mtu asiyejulikana?

Tafuta kazi yakufanya,acha kufuatilia thd sijui ina wachangiaji wangapi au likes ngapi,toka hapo kwa shemeji yako unapokula bure ili japo akili yako iondokane na fikra ya utegemezi,ukiwa na majukumu utaacha kuwaza huu upumbavu uliouwasilisha hapa.
😄😄😄😄😄

Pole mkuu, lakini sababu ya kutomkuta bikra ndo hiyo mkuu!!
 
Na katika mada hiyo kuna comments chache sana zinazotolewa na yeye mwenyewe tu na 'rafiki zake' wachache......wanazunguka tu wenyewe kwa wenyewe,
Yupo mmoja tu, naye ni yule yule tu na huyu🤓🤓😌huyu... ati sie huwa tunazunguka zunguka tu tunapeana likes na comment, Wacha!



Wapo WWB kama wanne hivi. Sio kina nani, bali ndio kina WWB. Kila ikiwapendeza, kama hivi ilivyotokea huwa wanatajana(anajitaja) naukiona kuna ka member kapya ujue anapewa ujiko hapo.

Wana magegenge bana😌😌😌. Tag Teams
 
Back
Top Bottom