Mama Samia?Bibi wa Kiarabu.
Pole ,Dunia ndo ilivoAkili kubwa hujadili maendeleo.
Akili za kawaida hujadili matukio.
Akili mgando hujadili watu.
Pole ya nini tena?
Pole sanaUnaona mada ipo kwenye jukwaa la chit chat na jokes. Maana yake, mleta mada analeta vichekesho na porojo, wewe tafuta gahwa na kashata, changia upendavyo na yeyote utaemfikiria ndiyo yeye huyo. Ni jiwe la kizani.
Pole yanini tena? Sijakuelewa.Pole sana
Na inayojadili yote hayo inaitwaje dada FaizaFoxy?Akili kubwa hujadili maendeleo.
Akili za kawaida hujadili matukio.
Akili mgando hujadili watu.
Sawa leo ni Mwezi wa Kumi ( October ) tarehe 17 mwaka 2023 GENTAMYCINE nimerudi kutoka kuwa BANNED kama ulivyosema. Hongera kwa kuwa Mtabiri mzuri.Kala ban πππ huyu mpaka mwezi wa 10 ndio anarudi humu
Umepigwa wiki moja tu mkuu I apologiseSawa leo ni Mwezi wa Kumi ( October ) tarehe 17 mwaka 2023 GENTAMYCINE nimerudi kutoka kuwa BANNED kama ulivyosema. Hongera kwa kuwa Mtabiri mzuri.
Rubbish.Umepigwa wiki moja tu mkuu I apologise
Ukipigwa tulia muone ntakupiga ban nyingineRubbish.
Raha sana, bila kusemwa ujuwe huna impact yoyte duniani. SAnasemwa sana ndiye mwenye impact kubwa sana.