- Thread starter
- #21
Bak, tulia mkuu, utaona tl atakavyohuzunika. Uzi huu utaukumbukaUnawasilisha UPUUZI?
Unadhani kwanini huyo anayejiita KICHAA anahofia kura kuhesabiwa hadharani? Au Watanzania kila jimbo kulinda kura zetu?
Acha KUROPOKA upuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bak, tulia mkuu, utaona tl atakavyohuzunika. Uzi huu utaukumbukaUnawasilisha UPUUZI?
Unadhani kwanini huyo anayejiita KICHAA anahofia kura kuhesabiwa hadharani? Au Watanzania kila jimbo kulinda kura zetu?
Acha KUROPOKA upuuzi.
Usiwe na hofu mkuu, watu wana jambo lao, hata trump anahofu hiyo, nikawaida kwa wanasiasa lialia wasiojiaminiAngalieni hayawani mwingine huyu!
Sasa Kama maccm si wezi wa kura kwanini Mkapa alionyesha hadharani kukosa imani na hao wahuni wa tumeccm? 😳
View attachment 1558524
Kwani chief, act na cdm si walikuwa na ubia huo? Na zitto aliwahakikishia watz kuwa watasimamisha 1, nini kilitokea thereafter?Umeandika HEKAYA ndefu , nakujibu kifupi tu.
Mwaka 2019 Serikali ya kidhalimu ya CCM ilitunga sheria ya Uchaguzi, inataka kama mnaungana kutoa taarifa kwa msajili, na sababu za kujiunga, na msajili ana mamlaka ya kukubali ama kukataa, na anaweza kuwakatalia hata siku moja tu kabla ya siku ya uchaguzi/kuwasilisha majina ya wagombea.
Bak, tulia mkuu, utaona tl atakavyohuzunika. Uzi huu utaukumbuka
Usiwe na hofu mkuu, watu wana jambo lao, hata trump anahofu hiyo, nikawaida kwa wanasiasa lialia wasiojiamini
Hakuna raisi hapo, shy, tbr and Dom wametuma salaamuUmeonae! Ndio maana Mzee Mtei hamkubali kabisa Lissu.
Hata iweje mkuu, kwa upinzani huu wa bongo na unaokosa dira kila awamu ya uchaguzi, hauwezi kushinda. Wapi na wapi tz tunaanza kuwa na wagombea 100% vibaraka? Hii mbegu imetoka wapi? Inapaswa kukemewa kwenye sanduku na iwe fundisho kwa vyama vingine vya siasa.Acha ujinga wewe! Unadhani kwanini Watanzania tunaojitambua hatuna imani na tumeccm
View attachment 1558546
Hata iweje mkuu, kwa upinzani huu wa bongo na unaokosa dira kila awamu ya uchaguzi, hauwezi kushinda. Wapi na wapi tz tunaanza kuwa na wagombea 100% vibaraka? Hii mbegu imetoka wapi? Inapaswa kukemewa kwenye sanduku na iwe fundisho kwa vyama vingine vya siasa.
Ndiyo ujue nia ya mnafiki ilivyo.NA TUNDU LISSU KAIACHA FAMILIA YAKE UNELGIJI HALAFU ANAKUJA KUTUTIBULIA MAISHA YETU HUKU?
WATAKALISHWA CHINI OCTOBA 28
Kawaida yenu kutukana mkuu, mshazoelekaNi ZERO BRAIN tu ndiyo anaweza kuandika pumba kiasi hiki,
Huyu mwendawazimu atabaki kubwabwanja tu, apambane na hali yake ubeligiji, mbona kufuatilia mambo ya nchi za watu?Safari hii wizi wa kura jumuiya za kimataifa zinawaangalia kwa kila hatua Jiwe na hai jeshi la akiba jiangalie utenda the Hague unachopanga walishajaribu zamani.View attachment 1558609
Unamanisha kibaraka TL? Kazi unayo mkuuKwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?
Sababu za kutompa kura zetu mgombea wa ccm ni hizi zifuatazo.
1. Mauaji ya raia wasio Na hatia,
2. Umeendesha nchi kikabila na kikanda,
3. Umeshiriki katika ufisadi wa kununua ndege nk kama sio kweli tupe mikataba ya ununuzi.
4. Umewatesa sana waliokukosoa mfano hai TUNDU LISU na MDUDE CHADEMA.
Kawaida yenu kutukana mkuu, mshazoeleka
Angalieni hayawani mwingine huyu!
Sasa Kama maccm si wezi wa kura kwanini Mkapa alionyesha hadharani kukosa imani na hao wahuni wa tumeccm? [emoji15]
View attachment 1558524
ila ZUZU wewe kauli za huyo anayejiita KICHAA hujawahi kusikia siyo? 😳