Mkono wangu umevimba ghafla. Tatizo ni nini?

Mkono wangu umevimba ghafla. Tatizo ni nini?

Kuna daktari anaweza kuwa siyo wa mifupa au upasuaji, LAKINI yuko very smart na uzoefu wa kutosha kufanya complex procedures. Huyu utaweza kujua kupitia kazi zake na references.

Binafsi, ninaheshimu hili pia zaidi ya qualifications.
Hapo sasa umefafanua vizuri
 
Kutoa Lupus au Lipoma ngazi yoyote wanatoa kuanzia Primary Health care mpaka Tertially Ni Uelewa wa Daktari Kuhusu Anatomy na kama Hakufeli somo Masomo ya Surgery Shuleni..

Zaidi kama hakuwa Mtegaji Alipokuwa Intenship na Rotation hio ni Just a Simple surgical Procedure
Naelewa, hapo ndo issue ya uelewa na experience. Unaweza kumaliza procedure mkono kwisha kazi yake. Very tricky.

Kujua kwa uhakika una-deal na nini? Kwa kujua kutofautisha.
Unaweza kujikuta umejaa kwenye aneurism.

Just a note:
Kuna intern aliona kutoa lipoma ni simple procedure. Akala mshiko wa bibi wa watu, lipoma iko kwenye cubital fossa. Akagusa big artery, jasho lilimtoka kweli.
Kwenda kwa surgeon anamwambia hikunijulisha kuwa una procedure.

Kitimtim nyumba ya shetani....
 
Bila kushika na kuona kama ni uvimbe laini au mgumu, unaotembea kirahisi, si rahisi kusema kwa uhakikika ni kitu gani.

Ila kwa maelezo yako yaweza kuwa ni :
1: Lipoma (mafuta).

2: Ganglion cyst (uvimbe kutokana na mishipa ya fahamu).

3: Bone cyst (uvimbe kutolana na mfupa).

Hakuna tiba mbadala kwa hali namba 1 na 3 ila upajuaji, kuna utofauti wa jinsi ya kufanya upasuaji husika.

Namba 3, huweza kupotea yenyewe au kupasua pia.

NB: Kutokana na eneo ulipo, ni vyema kumhusisha daktari bingwa wa upasuaji au mifupa, ili kutoleta madhira kwenye mishipa ya damu au fahamu ya eneo husika.

Tofauti na hapo uwe na uhakika wa uzoefu wa mhusika kwenye eneo la upasuaji.
Asante Google asante google jamii forum mwamini yule aliyecommeng wa kwanza wanafuata ni google
 
Glafla unamaanusha umeaka asubuhi na kukuta umevimba hivyo?
Nilikuwa nimekaa kwenye benchi. Sasa wakati nainuka, nikanyanyukia mikono ili nipate balance. Ile nakuja kujitazama mkononi, nakuta tayari kamekwisha tokea
 
Naelewa, hapo ndo issue ya uelewa na experience. Unaweza kumaliza procedure mkono kwisha kazi yake. Very tricky.

Kujua kwa uhakika una-deal na nini? Kwa kujua kutofautisha.
Unaweza kujikuta umejaa kwenye aneurism.

Just a note:
Kuna intern aliona kutoa lipoma ni simple procedure. Akala mshiko wa bibi wa watu, lipoma iko kwenye cubital fossa. Akagusa big artery, jasho lilimtoka kweli.
Kwenda kwa surgeon anamwambia hikunijulisha kuwa una procedure.

Kitimtim nyumba ya shetani....
Hapo lazima uite mizimu Yote ya Nyumbani ije ikusaidie..
Kama ni Mkristo lazma unene kwa Lugha 😅😅
 
Hapo lazima uite mizimu Yote ya Nyumbani ije ikusaidie..
Kama ni Mkristo lazma unene kwa Lugha 😅😅

Unatoka jasho, unatetemeka huku mgonjwa anaona mtaalamu hayuko sawa damu ndo inashika kasi kama kuku kakatwa kichwa.

Ukikumbuka ilikuwa siri 💣 Mgonjwa akikuuliza, vipi?
Jibu ni mmmhhh!!!
 
Back
Top Bottom