Mkono wangu umevimba ghafla. Tatizo ni nini?

Mkono wangu umevimba ghafla. Tatizo ni nini?

Kuna daktari anaweza kuwa siyo wa mifupa au upasuaji, LAKINI yuko very smart na uzoefu wa kutosha kufanya complex procedures. Huyu utaweza kujua kupitia kazi zake na references.

Binafsi, ninaheshimu hili pia zaidi ya qualifications.
Kufanya hivi, na pia maelezo mengine yakayotokea, ni kwa hizi nchi za dunia ya tatu ambapo ukipuyanga tutasema siku yake ilifika, bwana ametwaa
Kwenye nchi zinazojielewa, kwanza kila daktari anatakiwa kuwa na insurance, na kamwe hawezi kufanya procedure ambayo sio fani yake
 
Ni movable?

Hiyo ni Lipoma au Ganglion cyst "Lupus" Mkuu,

Nenda hospitali Inatolewa tu sio kazi kubwa Ndani ya wiki unapona..

Usiiache itasababisha Carpel Tunnel Syndrome
Mimi pia nilipata hiyo Lipoma, madkt wenzio wakasema ni lijifuta tu, hivyo wakalitoa.

Melki the Storyteller Nenda hosp mkuu. Uvimbe wowote sio mzuri, wahi kabla chuma haijawa kubwa ukashindwa hata kupiga nyeto.
 
Back
Top Bottom