Hapo sasa umefafanua vizuriKuna daktari anaweza kuwa siyo wa mifupa au upasuaji, LAKINI yuko very smart na uzoefu wa kutosha kufanya complex procedures. Huyu utaweza kujua kupitia kazi zake na references.
Binafsi, ninaheshimu hili pia zaidi ya qualifications.
Naelewa, hapo ndo issue ya uelewa na experience. Unaweza kumaliza procedure mkono kwisha kazi yake. Very tricky.Kutoa Lupus au Lipoma ngazi yoyote wanatoa kuanzia Primary Health care mpaka Tertially Ni Uelewa wa Daktari Kuhusu Anatomy na kama Hakufeli somo Masomo ya Surgery Shuleni..
Zaidi kama hakuwa Mtegaji Alipokuwa Intenship na Rotation hio ni Just a Simple surgical Procedure
Asante Google asante google jamii forum mwamini yule aliyecommeng wa kwanza wanafuata ni googleBila kushika na kuona kama ni uvimbe laini au mgumu, unaotembea kirahisi, si rahisi kusema kwa uhakikika ni kitu gani.
Ila kwa maelezo yako yaweza kuwa ni :
1: Lipoma (mafuta).
2: Ganglion cyst (uvimbe kutokana na mishipa ya fahamu).
3: Bone cyst (uvimbe kutolana na mfupa).
Hakuna tiba mbadala kwa hali namba 1 na 3 ila upajuaji, kuna utofauti wa jinsi ya kufanya upasuaji husika.
Namba 3, huweza kupotea yenyewe au kupasua pia.
NB: Kutokana na eneo ulipo, ni vyema kumhusisha daktari bingwa wa upasuaji au mifupa, ili kutoleta madhira kwenye mishipa ya damu au fahamu ya eneo husika.
Tofauti na hapo uwe na uhakika wa uzoefu wa mhusika kwenye eneo la upasuaji.
Asante Google asante google jamii forum mwamini yule aliyecommeng wa kwanza wanafuata ni google
Asante dr CHATGPTMedicine remain with it's PRINCIPLES.
Ni Sawa , hata Mimi imewahi kunikuta hiyo Hali, sijatumia dawa yoyote wala kufanya upasuaji. Uvimbe umeyeyuka wenyewe taratibu mpaka umeishaNi mwaka sasa mkuu, uko vile vile
Hapana mkuu, uko fixed, yaani ni kama vile misuli imevimba hivi pasi na maumivuNi movable?
Hiyo ni Lipoma au Ganglion cyst "Lupus" Mkuu,
Nenda hospitali Inatolewa tu sio kazi kubwa Ndani ya wiki unapona..
Usiiache itasababisha Carpel Tunnel Syndrome
Wanafanya upasuaji ama kwa madawa tu?Hiyo ni Lipoma nenda hospital kinatolewa
Mkuu, maelezo kidogo tafadhari ili nielewe vizuri. Vipi kama nitapuuziaThat is a ganglion cyst
[emoji23][emoji23]Yaani Comment yako + Avatar vimenifanya nicheke sana aiseeHapa nikisoma comments za watu plus google naweza nkaandika jambo hadi wote muone mm ni Dr kumbe graduate wa VETA chang'ombe
Mkuu, dawa zenyewe zinaweza gharimu kiasi gani cha pesa?Aende hospital atapewa Dawa akimeza kinapotea chenyewe
Glafla unamaanusha umeaka asubuhi na kukuta umevimba hivyo?Ni mwaka sasa tokea uvimbe huu unitokee kwenye mkono wangu, japokuwa ulitokea ghafla, hauna maumivu yoyote hadi sasa
Shida inaweza kuwa nini?
View attachment 2930101View attachment 2930103
Upo lodge au guest house?Kalinitokea nikiwa darasa la 4 nikapasuliwa wakakatoa.View attachment 2930214
Mkuu, pindi nitakapofika hospitali nitapatiwa dawa na si kufanyiwa upasuaji?Hii sio kweli
Upasuaji, upasuaji mdogo tu ni ganzi hapo usiogopeWanafanya upasuaji ama kwa madawa tu?
Mkuu, pindi nitakapofika hospitali nitapatiwa dawa na si kufanyiwa upasuaji?
π€£π€£π€£[emoji23][emoji23]Yaani Comment yako + Avatar vimenifanya nicheke sana aisee
Nilikuwa nimekaa kwenye benchi. Sasa wakati nainuka, nikanyanyukia mikono ili nipate balance. Ile nakuja kujitazama mkononi, nakuta tayari kamekwisha tokeaGlafla unamaanusha umeaka asubuhi na kukuta umevimba hivyo?
Hapo lazima uite mizimu Yote ya Nyumbani ije ikusaidie..Naelewa, hapo ndo issue ya uelewa na experience. Unaweza kumaliza procedure mkono kwisha kazi yake. Very tricky.
Kujua kwa uhakika una-deal na nini? Kwa kujua kutofautisha.
Unaweza kujikuta umejaa kwenye aneurism.
Just a note:
Kuna intern aliona kutoa lipoma ni simple procedure. Akala mshiko wa bibi wa watu, lipoma iko kwenye cubital fossa. Akagusa big artery, jasho lilimtoka kweli.
Kwenda kwa surgeon anamwambia hikunijulisha kuwa una procedure.
Kitimtim nyumba ya shetani....
Hapo lazima uite mizimu Yote ya Nyumbani ije ikusaidie..
Kama ni Mkristo lazma unene kwa Lugha π π