Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganyaMkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Tunaohitaji mkopo na hatupati kwa kukosa vigezo kibiashara mkopo ni mzuri sanaMkuu haya mabank sio salama kabisa kwa wafanyakazi, nilikopaga benki ya posta, hayo makato yake ...mpka Leo sitamani kukopa tena
Anakatwa 250,000.00 kwa mwezi kwa miaka 6.Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Hebu tulia halafu rejea hiyo habari vizuri.Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Hiyo miezi 6 wewe umeitoa wapiHuu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Utaelewa tu,hebu linganisha bei ya bati Leo na mwaka 2025,bei ya sukari Leo na mwaka 2025,ndugu kopa kwa malengo na haja.Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Hizi hesabu haukuzijua kabla hujakopa??..Au uliona sawa tu??Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
100%So hapo ni asimilia ngapi ?
Unajua maana ya Time value for money??Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !
Umaskini hauishi kamwe.
Rudi darasani mdogo wanguHuu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Sasa hivi narudi darasani dogoRudi darasani mdogo wangu
No! Ni kichaa kabisa mkuu!Huo ni uwendawazimu
Mkuu mbona hesabu za kitoto umepiga hizo mkopo hawapigi hivyo bhn uju kuna miezi 72 sio miezi sitaHuu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Mkopo ni shilingi ngapi? Utakatwa kwa muda gani?Mi nakatwa posta laki 5.5miaka 3