Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 10,083
- 34,850
Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Iko namna hii, Algebra hii na wala sio Albadiri
Kakopa 9m, malipo kila mwezi 250k , muda ni miaka 6 (mwaka 1=miezi 12, zidisha 6mara 12 unapata 72)
Hivyo, fanya namna hii, 250k mara 72=18milioni.
Na hizi bado hajaweka chaji nyingine za kibenki zinazoweza kukaribia mawe kumi
Ila kwa riba ya 100 asilimia naamini hii NMB ya kipekee (wanafanya usury)