Mkopo wa Benki ya Dunia umeonyesha upinzani sio idadi ya ubunge, ni fikra

Mkopo wa Benki ya Dunia umeonyesha upinzani sio idadi ya ubunge, ni fikra

Upinzani wa namna hii ni wa kipumbavu. Zitu ni mpumbav, huwezi kukwamisha msaada ambao ungefaidisha wananchi then ukajiita mwanaharati. Huyu jamaa kinyesi kabisa hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu, huu umekuwa msaada tena?? Mbona unasemwa ni mkopo??

Kinachonishangaza ni kuwa hufahamu misaada/mikopo huambatana na masharti (ndio ubaya wake). Na sharti la mkopo huu kwa kuwa unahisi elimu, ilikuwa ni watoto wa kike lazima wapewe nafasi. Nenda kajifunze kwanini WB inachagua kutumia Women in Development(WID), Women and Development (WAD) and Womenand Gender (WAG). Ndio utaelewa usahihi wa WB na sababu ni kuwa Tanzania ni signatory katika UN initiatives za kushirikisha wanawake katika nyanja za maisha. Hapo bado hujazungumzia Gender Equity and Gender Equality.

Tusilaumu Zitto wala WB. Tujilaumu kwa kuongia katika legally-binding treaties halafu tusitake kuzifuata na kutoa matamko hadharani ya non-compliance.
 
Mabeberu waheshimiwe

Wanatafuta kuitwa waheshimiwa ni hao wenye madaraka wengine tunajali nchi yetu bila siasa. Deni la nchi ni la wote wa Tanzania sio vizuri tukabagua watoto ambao sisi wenyewe na utamaduni wetu ndiyo umefanya wapate mimba halafu kwenye pesa za deni hawapo. Wanaosema wakajisomeshe wenyewe kwani kwenye madeni nawenyewe hawalipi? Hii ni pesa ya Watanzania wote bila ubaguzi na viongozi hawawezi kubagua na sisi eti tukae kimya. Tuiteni majina yote lakini sisi tupo kwenye walipa kodi kila mwaka na hatuwezi kunyamaza. Hivi mtoto wa hawa viongozi wakipata mimba wangeenda kuuza mandazi? Sisi ndyo watetezi wa masikini watoto wa hao mabeberu wanasoma.
 
Sasa zito kwa hili amesign bye bye jimbo la kigoma mjini.
Ifanyike lolote akose jimbo. Tuone hiyo ACT kama itamvumilia. Akose hata diwani. Akose ruzuku.
Mjinga mkubwa huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My national hero!
_20200131_073748.JPG
 
Upinzani wa namna hii ni wa kipumbavu. Zitu ni mpumbav, huwezi kukwamisha msaada ambao ungefaidisha wananchi then ukajiita mwanaharati. Huyu jamaa kinyesi kabisa hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
msaada wa nini tena unapingana na raisi wetu mpendwa kashasema hatuhitaji pesa za mabeberu, sisi ni matajiri tunahela za kuendesha miradi yetu bila kukopa
 
Kama kuna watu walikuwa wanafikiria kwamba kuwabana upinzani, wanahabari na watoa maoni kutafanya chochote kiweze kufanyika wafiliri tena. Dunia ya siku hizi tunategemeana sana kiasi kwamba mtu wa kawaida tu ana uwezo mkubwa sana kuleta na kuzuia mambo mengi kama hamjakubaliana pamoja kama nchi. Angalieni wanaharakati kwenye hili ya mkopo wa shule walivyokuwa na nguvu bila mambo ya ubunge au chama.

Serikali zote sio Tanzania tu zijue wananchi wana uwezo mkubwa sana wa kusimamisha shughuli kupitia migomo ilimradi iwe na hoja tu. Kampuni za ndege kubwa ni mbili tu wanaharakati wana uwezo wa kuzuia ununuzi kwa kuongea na kampuni kama wana hoja.

Mitandao yote ya simu inatumia sofware za kampuni za hao tunaowaita mabeberu kwa urahisi tu wanaweza kusimamisha chochote lakini vilevile Dunia nzima manunuzi na malipo ya kimataifa ni kwa dollar na ndiyo maana US wana nguvu sana kwenye kuweka vikwazo maana ndiyo wenye dollar ni lazima uchukuwe kwa bank za US yaani bank to bank. Hivyo kuna mbinu nyingi sana zinaweza kutumika kuzuia vitu.

Kibaya huwezi kusema kama zamani hatuhitaji mabeberu. Uchumi wetu karibu wote unategemea mabeberu. Madini tuna mikataba na mabeberu, kampuni za simu mikataba na mabeberu, miradi bank za mabeberu, technologia ni za mabeberu, ndege zinatengenezwa na mabeberu, elimu yetu misingi yake ni ya mabeberu, dawa karibu zote zimegunduliwa na mabeberu za India wanapewa leseni tu ya kutengeneza.

Hivyo hii Dunia imekuwa yote ya kibeberu na wanaosema tofauti ni siasa tu. Mitandao yote hii ukiangalia ni kampuni za kibeberu hata hizo barua za serikali na wakaguzi wanatumia micro soft ambayo ni kampuni ya US. Technology ya nishati ya gas na umeme ni hao hao.

Ni muhimu sana kama nchi tujasiliane maana viburi na kutokuelewana ndiko kutaleta haya majanga ya bank ya dunia. Wakati wa Kikwete alikuwa anaongea na watu na wapinzani kwa sababu ya vitu kama hivi. Haya mambo tujue tu yataongezeka kama hatuko wamoja.
Yataongezeka sana tena sana kila mtu nikichaa na ukitaka kujua ukichaa wa mtu nipale anapokuwa na hasira sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mtaje tu ( ngoja tulinde heshima ya jf tusije ambiwa sisi ndio akina Melo)
Hii nchi imegeuzwa kuwa uwanja wa fisi Wabunge wa CCM walikuwa wanajadili jinsi ya kumuua Zitto Kabwe aisee!! nilishtuka sana

Ilibakia kusema tu kuwa wamuwekee Sumu kwenye Ugali wa Udaga na Mgebuka wa Mawese.

Chakula akipendacho
 
Upinzani wa namna hii ni wa kipumbavu. Zitu ni mpumbav, huwezi kukwamisha msaada ambao ungefaidisha wananchi then ukajiita mwanaharati. Huyu jamaa kinyesi kabisa hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mtupu huo mkopo Wala haukuwa wa elimu.Serikali ya awamu ya tano haina interest hata kidogo na Mambo ya elimu
 
Tatizo kubwa la watanzania nI elimu, elimu, elimu!
Hii ingekuwa Kenya 80% ya watu wangekubali kuwa 30% ya watoto wa kike kuadhibiwa kwa kunyimwa haki yao ya kupata elimu bure ya serikali ni janga la taifa. Wala halina mjadala!
 
Hakuna namna unaweza kumbadilisha huyu jamaa zaidi ya kukubali mawazo yake. Atakachosema basi ndiyo hiyo hiyo na ukija na mawazo tofauti utaishia kupotezwa au kumiminiwa risasi. Dawa ni yy akae pembeni ajifunze kupitia wengine.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom