Mkopo wa Benki ya Dunia umeonyesha upinzani sio idadi ya ubunge, ni fikra

Mkopo wa Benki ya Dunia umeonyesha upinzani sio idadi ya ubunge, ni fikra

Sasa zito kwa hili amesign bye bye jimbo la kigoma mjini.
Ifanyike lolote akose jimbo. Tuone hiyo ACT kama itamvumilia. Akose hata diwani. Akose ruzuku.
Mjinga mkubwa huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa time guru au kwa kuwaambia wakurugenzi kukimbia ofisi? USA kituo kinachofuata ni tume huru! Utashangaa Mwaka huu!
 
Akili zako ndogo, hii issue iko nje ya uwezo wako wa kufikili. Mama yako mwenyewe alizaa shuleni.
Ni kweli,hata mambo ya elimu kwa wajawazito kutoendelea na masomo yalikuwepo, ila hakuna aliyejimwambafai hadharani kuwa haitawezekana kwa kipindi changu, bali taratibu watu walitekeleza hiyo sera bila vikwazo. Mie binafsi siungi mkono eti wakijifungua warudi shuleni, watoto wanapaswa waelimishe wasijiusishe na ngono za utotoni, na wanaharakati ni vichaa mara tunataka umri wa kuolewa zaidi ya miaka 18 ili mtoto apate elimu na akuwe,mara akizaa akiwa na miaka 12 shule akachanganyike na watoto wengine wasiozaa,wanajifanya awaelewi kuwa watasababisha kuchochea ngono kwa watoto, na binti yangu shule ila yakimkuta haya atimuliwe tu, taangalia utaratibu mwingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misaada mingapi inakuja, mbona hatujaona faida yake? Hadi mikopo ya kimya kimya kati ya mtu na mpwa wake nayo hatujaona faida yake. Si mlisema elimu bure, na kila mwezi mnapeleka bilioni 20, kuendesha hiyo elimu bure. Lakini matokeo ya kidato cha nne tu yamewatoa nishai. Acheni ulaghai, muda ni ukuta ukishindana nao utaumia.
Upinzani wa namna hii ni wa kipumbavu. Zitu ni mpumbav, huwezi kukwamisha msaada ambao ungefaidisha wananchi then ukajiita mwanaharati. Huyu jamaa kinyesi kabisa hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nae Ridhiwani ndio wa kumlaumu na kumbembesha mateso haya ya watanzania. Alizusha ugomvi wa kijinga na Fred wakiwa bar, ndio ukapelekea kuleta huu utawala wa kifashisti. Tena mbaya zaidi ndie aliemuibua Bashite na kumpa u DC wa Kinondoni. Wakijua fika 2015 Membe ndio atakuwa Rais.
Kikwete aliwakabidhi washamba madaraka makubwa.

Tutapata tabu Sana kipindi hiki cha bashite

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sikubaliani na moto kupata mimba afu aendelee kusoma na watoto watiifu, lakini pia sikubaliani na kauli za kibabe za kuwaachisha masomo niwakati mzuri tuandae mazingira watoto wanapata mimba wawe na shule zao ata ikijengwa moja nchi nzima inatosha kwani idadi yao sio kubwa.
Tatizo lako hapa ni kwamba unaweka lawama za mtoto kupata mimba kwa mtoto ambaye akili yake bado haijakuwa. Mtoto akipata mimba ni tatizo la jamii sio mtoto. Watoto wanafata utamaduni wetu sisi sio kwamba mimba ni ya hawa wazungu. Wapiga mimba wangapi wapo jela? Je mtoto akibakwa inakuwaje hapo makosa ni yake? Je tunajua watoto wangapi wanabakwa kwenye jamii zetu zingine huko?. Kisheria mtu mzima ukipata mimba na mtoto ni kubaka! hakuna utongozaji wa watoto ambao upo kisheria!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajuaje hizo ela kama zingepelekwa sehemu tajwa? Pesa za kujenga mji wa chato zinapitishwa nanani? Acha kukariri Ccm wanatafuta ela kwa matumizi yao binafsi sio kwa maslahi ya Watanzania. Narudia Tanzania tuna ela nyingi tunaweza kuwakopesha Mabeberu. OVER.
Upinzani wa namna hii ni wa kipumbavu. Zitu ni mpumbav, huwezi kukwamisha msaada ambao ungefaidisha wananchi then ukajiita mwanaharati. Huyu jamaa kinyesi kabisa hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahihi mkuu ila mijitu ya Ccm akiri zimeganda inabidi tuichemshe kwanza ipate moto.
Mkuu, huu umekuwa msaada tena?? Mbona unasemwa ni mkopo??

Kinachonishangaza ni kuwa hufahamu misaada/mikopo huambatana na masharti (ndio ubaya wake). Na sharti la mkopo huu kwa kuwa unahisi elimu, ilikuwa ni watoto wa kike lazima wapewe nafasi. Nenda kajifunze kwanini WB inachagua kutumia Women in Development(WID), Women and Development (WAD) and Womenand Gender (WAG). Ndio utaelewa usahihi wa WB na sababu ni kuwa Tanzania ni signatory katika UN initiatives za kushirikisha wanawake katika nyanja za maisha. Hapo bado hujazungumzia Gender Equity and Gender Equality.

Tusilaumu Zitto wala WB. Tujilaumu kwa kuongia katika legally-binding treaties halafu tusitake kuzifuata na kutoa matamko hadharani ya non-compliance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom